Habari Wapendwa, Mimi ni kijana wa kike Nina umri wa miaka 35, Elimu yangu kidato cha nne na Nina certificate ya secretarial.
Natafuta kazi kati ya hizi:-
Nipo Mkoa wa Arusha na Niko tayari kufanya kazi katika Mkoa wa Arusha, Manyara, Dodoma.
Ahsanteni.
Natafuta kazi kati ya hizi:-
- Secretary
- Stationary
- Reception
- Costumer care
Nipo Mkoa wa Arusha na Niko tayari kufanya kazi katika Mkoa wa Arusha, Manyara, Dodoma.
Ahsanteni.