Mwanaumke wa mithali
JF-Expert Member
- Apr 10, 2024
- 424
- 860
NATAFUTA KAZI,
Elimu yangu kidato cha 4 tu pia ninao ujuzi wa uhudumu wa afya ngazi ya cheti,Duka la dawa/Ninaweza kuhudumu dispensary/kituo cha afya,
Ninaweza kufanya kazi as mtoa huduma ya kwanza
Ninaishi Dar es salaam
Umri wangu ni miaka 25/26
Ninahitaji kazi yeyote ile iwe, Dukan,hotel,kufanya usafi, grocery,viwandani,kwenye mashirika,kampuni,kituo cha mafuta, Ninahitaji ambayo haivunji Sheri za Mungu na haivunji Sheria za nchi
Elimu yangu kidato cha 4 tu pia ninao ujuzi wa uhudumu wa afya ngazi ya cheti,Duka la dawa/Ninaweza kuhudumu dispensary/kituo cha afya,
Ninaweza kufanya kazi as mtoa huduma ya kwanza
Ninaishi Dar es salaam
Umri wangu ni miaka 25/26
Ninahitaji kazi yeyote ile iwe, Dukan,hotel,kufanya usafi, grocery,viwandani,kwenye mashirika,kampuni,kituo cha mafuta, Ninahitaji ambayo haivunji Sheri za Mungu na haivunji Sheria za nchi