SaulGoodman
JF-Expert Member
- Nov 12, 2020
- 365
- 811
Guys I hope you good, let's skip formalities and jump right into the topic.
Ninaomba msaada kwa anayefahamu dawa nzuri (ninapo sema dawa nzuri namaanisha dawa yenye matokeo hasi kidogo sana "having least side effects") ya kupunguza au kuondoa kabisa michirizi.
Itakua vyema sana kama Ushauri utatoka kwa mtaalamu wa ngozi (dermatologist) au mtu ambaye ana uzoefu wa kua nazo na kuzitibu.
Natanguliza shukran za dhati🙏
Ninaomba msaada kwa anayefahamu dawa nzuri (ninapo sema dawa nzuri namaanisha dawa yenye matokeo hasi kidogo sana "having least side effects") ya kupunguza au kuondoa kabisa michirizi.
Itakua vyema sana kama Ushauri utatoka kwa mtaalamu wa ngozi (dermatologist) au mtu ambaye ana uzoefu wa kua nazo na kuzitibu.
Natanguliza shukran za dhati🙏