Sio South Africa ni Congo. Wimbo unaitwa " Muchana" muimbaji kanda bongo manWakuu naombeni mnisaidie jina la msanii au wimbo ule wa zamani wa mdada wa SOUTH AFRIKA sikumbuk vizuri maneno yake ila kibongo bongo tulikuwa tunaimba pale kwenye kiitikio "tamu sana,aaaii enisi eeh"
inshallahSio South Africa ni Congo. Wimbo unaitwa " Muchana" muimbaji kanda bongo man
😂😂😂😂😂aiseeeeSio South Africa ni Congo. Wimbo unaitwa " Muchana" muimbaji kanda bongo man
nimeupata tayaqi asante mkuuSio South Africa ni Congo. Wimbo unaitwa " Muchana" muimbaji kanda bongo man
Wewe ni zaidi ya googleSio South Africa ni Congo. Wimbo unaitwa " Muchana" muimbaji kanda bongo man
Yaani kwa jinsi mleta uzi alivojichanganya, na wewe umetembelea mule mule kumsaidia, no worry utakuwa na IQ kubwaSio South Africa ni Congo. Wimbo unaitwa " Muchana" muimbaji kanda bongo man
Namuchana - Kanda Bongo manWakuu naombeni mnisaidie jina la msanii au wimbo ule wa zamani wa mdada wa SOUTH AFRIKA sikumbuk vizuri maneno yake ila kibongo bongo tulikuwa tunaimba pale kwenye kiitikio "tamu sana,aaaii enisi eeh"
Namuchana ngaaii.....Kanda BongomanWakuu naombeni mnisaidie jina la msanii au wimbo ule wa zamani wa mdada wa SOUTH AFRIKA sikumbuk vizuri maneno yake ila kibongo bongo tulikuwa tunaimba pale kwenye kiitikio "tamu sana,aaaii enisi eeh"
Huu wimbo kwenye graduation ukiusikia unapigwa ujue watu wako kwenye foleni ya msosiWakuu naombeni mnisaidie jina la msanii au wimbo ule wa zamani wa mdada wa SOUTH AFRIKA sikumbuk vizuri maneno yake ila kibongo bongo tulikuwa tunaimba pale kwenye kiitikio "tamu sana,aaaii enisi eeh"
Kanda bongo manWakuu naombeni mnisaidie jina la msanii au wimbo ule wa zamani wa mdada wa SOUTH AFRIKA sikumbuk vizuri maneno yake ila kibongo bongo tulikuwa tunaimba pale kwenye kiitikio "tamu sana,aaaii enisi eeh"
Safi sanaEnjoy yourself!