Naomba msaada wa ushauri jinsi ya kupata laini za uwakala

Nahitaji laini za wakala

Tigo. (TigoPesa)
Halotel (halopesa)
Vodacom (m pesa)
Airtel (Airtel money)
Kwa atakayeweza kunisaidia

Nipo Dar es salaam
njoo inbox zote zinapatikana

ila tigo kwa sasa wanasumbua kutoa balaa inaweza kukubali au lah

halotel wamesitisha kwa sasa mpaka watakaposema wao

nyingine fresh
 
Back
Top Bottom