Naomba msaada kulielewa jambo hili

Faana

JF-Expert Member
Dec 12, 2011
32,353
34,114
Kwa anaye lielewa hili jambo kwa kina anisaidie nami kulielewa.

Tunasema Mungu aliumba mbingu, nchi na vilivyomo kwa siku sita na siku ya saba akapumzika, hiyo siku ya saba ni Jumamosi ambayo Wasabato kupumzika. Lakini siku hiyo ya saba iko termed ni Jumamosi kwa maana ni siku ya kwanza kutokana na neno mosi kumaanisha moja.

Siku moja nilimsikia Sheikh akisema siku sahihi ya kupumzika kwa mujibu wa maandiko ni Ijumaa ambayo ni siku ya saba katika wiki.

Ukija upande huu mwingine tunasali Jumapili tukisema ndiyo siku ya mapumziko. Swali ni kwamba ni nani alirekodi hizo siku na kuja na siku hizo mtofautiano wa mapumziko ya Mungu? Nini siri iliyopo nyuma ya mtofautiano huo?

Natanguliza shukurani kwa wachangiaji chanya wote
 
Hata we unaweza jipea j3 kua ndo siku yako ya saba ukapumzika


Ila subiri waje wakupe muongozo
 
Nikuongezee ugumu wa maswali unayojiuliza.

Idadi ya siku katika wiki na urefu wa siku unategemea upo wapi. Ukiwa sayari nyingine, mfano Mars, wiki haina siku saba au masaa 24 kwa siku moja kama hapa duniani. Swali la ziada kwako, wakati Mungu anaumba mbingu na nchi alikuwa amesimama duniani hadi uumbaji wake uhesabiwe kwa muda na masaa ya hapa duniani? Hizo siku saba na mfano hiyo jumamosi ni ya hapa duniani au ya sayari ya Neptune?? Au ni wapi?
 
Nikuongezee ugumu wa maswali unayojiuliza.

Idadi ya siku katika wiki na urefu wa siku unategemea upo wapi. Ukiwa sayari nyingine, mfano Mars, wiki haina siku saba au masaa 24 kwa siku moja kama hapa duniani. Swali la ziada kwako, wakati Mungu anaumba mbingu na nchi alikuwa amesimama duniani hadi uumbaji wake uhesabiwe kwa muda na masaa ya hapa duniani? Hizo siku saba na mfano hiyo jumamosi ni ya hapa duniani au ya sayari ya Neptune?? Au ni wapi?
Kwao wao waongeao na Mungu watusaidie
 
Acha kujichosha na maswali yasiyo na kichwa wala miguu,mambo ya Mungu yanakuhitaji uamini hivyo hivyo bila fact. ukisema huu apply fact & logic utagundua ni upuzi mtupu.

By the way idadi ya siku,miezi na masaa pamoja na majina kama Jumamosi na Jumapili ni watu waliamu ku rename hizo siku hivyo-hayana maana yoyote.
Kama ambavyo ww unazaa mtoto unaamua umupe jana x or y
 
Kwa anaye lielewa hili jambo kwa kina anisaidie nami kulielewa.

Tunasema Mungu aliumba mbingu, nchi na vilivyomo kwa siku sita na siku ya saba akapumzika, hiyo siku ya saba ni Jumamosi ambayo Wasabato kupumzika. Lakini siku hiyo ya saba iko termed ni Jumamosi kwa maana ni siku ya kwanza kutokana na neno mosi kumaanisha moja.

Siku moja nilimsikia Sheikh akisema siku sahihi ya kupumzika kwa mujibu wa maandiko ni Ijumaa ambayo ni siku ya saba katika wiki.

Ukija upande huu mwingine tunasali Jumapili tukisema ndiyo siku ya mapumziko. Swali ni kwamba ni nani alirekodi hizo siku na kuja na siku hizo mtofautiano wa mapumziko ya Mungu? Nini siri iliyopo nyuma ya mtofautiano huo?

Natanguliza shukurani kwa wachangiaji chanya wote
Wayahudi wanasali Jumamosi
Wasabato wanadali Jumamosi
Wakristo wengine ni Jumapili
Waislamu ni Ijumaa


Katika dhana za kihistoria inasemekana Jumamosi ndio siku ya Saba. Kwa sababu Warumi walipinga ukristo, kipindi hicho walikuwa wanaabudu Jua, ukristo ulivyokomaa ikabidi watengeneze namna ya ku-blend in na ukristo ikabidi jumapili siku yao igeuzwe kuwa ndio siku ya wakristo tena waliokuwa wakatoliki.

Wakristo wengine wakaona miyeyusho, wakajitenga na kuanzisha madhehebu mengine kwa sababu waliona kama Ukristo unapotoshwa, ndio mpaka leo tuna madhehebu mengi kwa sababu kila mmoja anamuona mwenzake kuna sehemu anakosea...

Wasabato ndio wakaja na kuamua kurudisha Jumamosi kuwa ndio siku ya saba... Ndio maana ya neno wasabato (Seventh Day Adventists au Sabbath Day Adventists) wakiwa na maana ya kuilinda siku ya saba
 
Wayahudi wanasali Jumamosi
Wasabato wanadali Jumamosi
Wakristo wengine ni Jumapili
Waislamu ni Ijumaa


Katika dhana za kihistoria inasemekana Jumamosi ndio siku ya Saba. Kwa sababu Warumi walipinga ukristo, kipindi hicho walikuwa wanaabudu Jua, ukristo ulivyokomaa ikabidi watengeneze namna ya ku-blend in na ukristo ikabidi jumapili siku yao igeuzwe kuwa ndio siku ya wakristo tena waliokuwa wakatoliki.

Wakristo wengine wakaona miyeyusho, wakajitenga na kuanzisha madhehebu mengine kwa sababu waliona kama Ukristo unapotoshwa, ndio mpaka leo tuna madhehebu mengi kwa sababu kila mmoja anamuona mwenzake kuna sehemu anakosea...

Wasabato ndio wakaja na kuamua kurudisha Jumamosi kuwa ndio siku ya saba... Ndio maana ya neno wasabato (Seventh Day Adventists au Sabbath Day Adventists) wakiwa na maana ya kuilinda siku ya saba
Ubarikiwe sana Mtumishi nimekuelewa vilivyo
 
Wayahudi wanasali Jumamosi
Wasabato wanadali Jumamosi
Wakristo wengine ni Jumapili
Waislamu ni Ijumaa


Katika dhana za kihistoria inasemekana Jumamosi ndio siku ya Saba. Kwa sababu Warumi walipinga ukristo, kipindi hicho walikuwa wanaabudu Jua, ukristo ulivyokomaa ikabidi watengeneze namna ya ku-blend in na ukristo ikabidi jumapili siku yao igeuzwe kuwa ndio siku ya wakristo tena waliokuwa wakatoliki.

Wakristo wengine wakaona miyeyusho, wakajitenga na kuanzisha madhehebu mengine kwa sababu waliona kama Ukristo unapotoshwa, ndio mpaka leo tuna madhehebu mengi kwa sababu kila mmoja anamuona mwenzake kuna sehemu anakosea...

Wasabato ndio wakaja na kuamua kurudisha Jumamosi kuwa ndio siku ya saba... Ndio maana ya neno wasabato (Seventh Day Adventists au Sabbath Day Adventists) wakiwa na maana ya kuilinda siku ya saba
Haujajibu hoja na wala hauna uelekeo wa kujibu hoja zaidi ya kutaka kupromote usabato tu. Rudi kwenye hoja kuu za mada
 
Haujajibu hoja na wala hauna uelekeo wa kujibu hoja zaidi ya kutaka kupromote usabato tu. Rudi kwenye hoja kuu za mada
Wewe kichwa nazi ndio hujaelewa... Niliyemjibu kaelewa na kasema Asante... Wewe kipara ngoto unakuja na kubisha hoja zangu ukihisi natetea usabato... Kwanza mimi sio msabati, mimi ni mlutherani (Lutheran), lakini hiyo ndio fact... Soma Historia vizuri dogo, acha kuendeshwa na Udini na umadhehebu... Soma Historia ya kuanza kuabudu jumapili
 
Wewe kichwa nazi ndio hujaelewa... Niliyemjibu kaelewa na kasema Asante... Wewe kipara ngoto unakuja na kubisha hoja zangu ukihisi natetea usabato... Kwanza mimi sio msabati, mimi ni mlutherani (Lutheran), lakini hiyo ndio fact... Soma Historia vizuri dogo, acha kuendeshwa na Udini na umadhehebu... Soma Historia ya kuanza kuabudu jumapili
Ok, jibu basi hoja ya msingi basi. Usihame kwenye mada. Lengo langu ni hilo tu kukurudisha kwenye mada mkuu. I'm sorry kwa kukukwaza.
 
Kwa anaye lielewa hili jambo kwa kina anisaidie nami kulielewa.

Tunasema Mungu aliumba mbingu, nchi na vilivyomo kwa siku sita na siku ya saba akapumzika, hiyo siku ya saba ni Jumamosi ambayo Wasabato kupumzika. Lakini siku hiyo ya saba iko termed ni Jumamosi kwa maana ni siku ya kwanza kutokana na neno mosi kumaanisha moja.

Siku moja nilimsikia Sheikh akisema siku sahihi ya kupumzika kwa mujibu wa maandiko ni Ijumaa ambayo ni siku ya saba katika wiki.

Ukija upande huu mwingine tunasali Jumapili tukisema ndiyo siku ya mapumziko. Swali ni kwamba ni nani alirekodi hizo siku na kuja na siku hizo mtofautiano wa mapumziko ya Mungu? Nini siri iliyopo nyuma ya mtofautiano huo?

Natanguliza shukurani kwa wachangiaji chanya wote
Sisi tunatumia mfumo wawiki kwa siku za karabu ndoman siku ya saba ni ijumaa
Ila jumamosi nisiku ya saba ya juma
Ambayo ni sabato
Na wakristo wengine huabudu nakukusanyika siku ya jumapili kwakuwa ndo siku ya kwanza ya juma kulingana na kalenda ya kiyahudi.
Ambapo mitume walikusanyika sikuio aliyofufuka Yesu.
 
Wayahudi wanasali Jumamosi
Wasabato wanadali Jumamosi
Wakristo wengine ni Jumapili
Waislamu ni Ijumaa


Katika dhana za kihistoria inasemekana Jumamosi ndio siku ya Saba. Kwa sababu Warumi walipinga ukristo, kipindi hicho walikuwa wanaabudu Jua, ukristo ulivyokomaa ikabidi watengeneze namna ya ku-blend in na ukristo ikabidi jumapili siku yao igeuzwe kuwa ndio siku ya wakristo tena waliokuwa wakatoliki.

Wakristo wengine wakaona miyeyusho, wakajitenga na kuanzisha madhehebu mengine kwa sababu waliona kama Ukristo unapotoshwa, ndio mpaka leo tuna madhehebu mengi kwa sababu kila mmoja anamuona mwenzake kuna sehemu anakosea...

Wasabato ndio wakaja na kuamua kurudisha Jumamosi kuwa ndio siku ya saba... Ndio maana ya neno wasabato (Seventh Day Adventists au Sabbath Day Adventists) wakiwa na maana ya kuilinda siku ya saba
mtu anayekomaa na suala la Sabato , ni mtu ambaye hajaelewa dhana ya Ukristo. mara nyingi wanakimbilia kusema hakujaa kutengua bali kuikamilisha Sabato. hii ni kujifariji lakini ukiielewa dhana ya Ukristo huwezi kukomaa na sabato
 
Qur'an 2:255. Mwenyezi Mungu - hapana mungu ila Yeye Aliye hai, Msimamia mambo yote milele. Hashikwi na usingizi wala kulala. Ni vyake pekee vyote viliomo mbinguni na duniani. Ni nani huyo awezaye kuombea mbele yake bila ya idhini yake? Anayajua
yaliyo mbele yao na yaliyo nyuma yao; wala wao hawajui chochote katika vilio katika ujuzi wake, ila kwa atakalo mwenyewe. Enzi yake imetanda mbinguni na duniani; na wala haemewi na kuvilinda hivyo. Na Yeye ndiye aliye juu, na ndiye Mkuu. 255
 
Kwa anaye lielewa hili jambo kwa kina anisaidie nami kulielewa.

Tunasema Mungu aliumba mbingu, nchi na vilivyomo kwa siku sita na siku ya saba akapumzika, hiyo siku ya saba ni Jumamosi ambayo Wasabato kupumzika. Lakini siku hiyo ya saba iko termed ni Jumamosi kwa maana ni siku ya kwanza kutokana na neno mosi kumaanisha moja.

Siku moja nilimsikia Sheikh akisema siku sahihi ya kupumzika kwa mujibu wa maandiko ni Ijumaa ambayo ni siku ya saba katika wiki.

Ukija upande huu mwingine tunasali Jumapili tukisema ndiyo siku ya mapumziko. Swali ni kwamba ni nani alirekodi hizo siku na kuja na siku hizo mtofautiano wa mapumziko ya Mungu? Nini siri iliyopo nyuma ya mtofautiano huo?

Natanguliza shukurani kwa wachangiaji chanya wote
Inategemea waswahili waliotunga hizi majina za siku walikuwa na mitazamo gani kwa kipindi hicho, sijawahi kupata maana kwanini waliita jumamosi ndio siku ya mosi. Kuanzia Ulaya hadi Uarabuni siku ya kwanza ni jumapili.

Ndio maana kuna wanaoabudu siku ya sita kama siku muhimu ya kuumbwa kwa Adam(Friday), pia kuna wanaoabudu siku ya kwanza kama siku muhimu kwa ulimwengu kupata nuru(sunday) na kuna wanaoabudu siku ya saba(saturday).

Kwa lugha ya kingereza siku zilipewa majina kwa maana ifuatayo:
Sunday - siku ya nuru(jua)
Monday - siku ya mwezi
Tuesday - Tyr’s day
Wednesday - wodin’s day
Thursday - Thor’s day
Friday - Frigg’s day
Jumanne hadi ijumaa wamezipa majina hayo after their Norse gods( Miungu ya ki Nordic).
 
Kwa anaye lielewa hili jambo kwa kina anisaidie nami kulielewa.

Tunasema Mungu aliumba mbingu, nchi na vilivyomo kwa siku sita na siku ya saba akapumzika, hiyo siku ya saba ni Jumamosi ambayo Wasabato kupumzika. Lakini siku hiyo ya saba iko termed ni Jumamosi kwa maana ni siku ya kwanza kutokana na neno mosi kumaanisha moja.

Siku moja nilimsikia Sheikh akisema siku sahihi ya kupumzika kwa mujibu wa maandiko ni Ijumaa ambayo ni siku ya saba katika wiki.

Ukija upande huu mwingine tunasali Jumapili tukisema ndiyo siku ya mapumziko. Swali ni kwamba ni nani alirekodi hizo siku na kuja na siku hizo mtofautiano wa mapumziko ya Mungu? Nini siri iliyopo nyuma ya mtofautiano huo?

Natanguliza shukurani kwa wachangiaji chanya wote
njoo kanisani, kanisa la full gospel bible fellowship, alhamisi saa10 jioni nitakuepo ofisini kwaajili yako na Jambo lako,
Amen....
 
Nikuongezee ugumu wa maswali unayojiuliza.

Idadi ya siku katika wiki na urefu wa siku unategemea upo wapi. Ukiwa sayari nyingine, mfano Mars, wiki haina siku saba au masaa 24 kwa siku moja kama hapa duniani. Swali la ziada kwako, wakati Mungu anaumba mbingu na nchi alikuwa amesimama duniani hadi uumbaji wake uhesabiwe kwa muda na masaa ya hapa duniani? Hizo siku saba na mfano hiyo jumamosi ni ya hapa duniani au ya sayari ya Neptune?? Au ni wapi?
Mleta mada akikuelewaa nipo pale kwenye handaki la hamas Gazaaa
 
Qur'an 2:255. Mwenyezi Mungu - hapana mungu ila Yeye Aliye hai, Msimamia mambo yote milele. Hashikwi na usingizi wala kulala. Ni vyake pekee vyote viliomo mbinguni na duniani. Ni nani huyo awezaye kuombea mbele yake bila ya idhini yake? Anayajua
yaliyo mbele yao na yaliyo nyuma yao; wala wao hawajui chochote katika vilio katika ujuzi wake, ila kwa atakalo mwenyewe. Enzi yake imetanda mbinguni na duniani; na wala haemewi na kuvilinda hivyo. Na Yeye ndiye aliye juu, na ndiye Mkuu. 255
Kikakao cha mwishoo na Mud pale makha tulikubaliana lugha ni mojaaa Tu ya kiarabu mbinguni kwa Allah......
 
Haujajibu hoja na wala hauna uelekeo wa kujibu hoja zaidi ya kutaka kupromote usabato tu. Rudi kwenye hoja kuu za mada
Mazoea ya Kikristo ya kuadhimisha Jumapili kama Sabato, inayojulikana kama Siku ya Bwana, yanatokana na mapokeo ya kidini badala ya kuhusishwa na tukio la Yesu. Jumapili ilipitishwa kuwa siku ya ibada na pumziko kwa Wakristo kwa sababu inahusishwa na ufufuo wa Yesu Kristo.

Katika Agano Jipya la Biblia, inatajwa kwamba Yesu alifufuka kutoka kwa wafu siku ya kwanza ya juma, ambayo ni Jumapili. Tukio hili linachukuliwa kuwa la umuhimu mkubwa katika theolojia ya Kikristo. Kwa hiyo, Wakristo wa mapema walianza kukusanyika kwa ajili ya ibada na kuumega mkate siku ya kwanza ya juma (Jumapili) ili kuadhimisha ufufuo wa Yesu.

Baada ya muda, zoea hili la kuadhimisha Jumapili kama Sabato ya Kikristo lilipoimarika zaidi na kuunganishwa katika mapokeo ya Kikristo. Mababa wa kanisa la kwanza, kama vile Ignatius wa Antiokia na Justin Martyr, pia waliandika kuhusu maadhimisho ya Kikristo ya Jumapili kama siku ya ibada.

Ni muhimu kutambua kwamba mpito kutoka Sabato ya Kiyahudi (Jumamosi) hadi maadhimisho ya Kikristo ya Jumapili kama siku ya mapumziko na ibada ilitokea hatua kwa hatua na haikuwa matokeo ya uamuzi wa mtu mmoja. Iliathiriwa na maendeleo ya kitheolojia na kihistoria ndani ya Ukristo wa mapema. Leo, Jumapili inasalia kuwa siku kuu ya ibada na mapumziko kwa madhehebu mengi ya Kikristo, ingawa baadhi ya vikundi vya Kikristo, kama vile Waadventista Wasabato, huadhimisha Sabato ya Siku ya Saba (Jumamosi) kulingana na tafsiri yao ya Biblia.

Swali ni Je tuendelee kufata siku ya kufufuka kwa YESU au tufate hile sabath ya siku ya saba baada ya MUNGU kuumba ulimwengu
 
Back
Top Bottom