Naomba kujuzwa kuhusu uandishi wa sasa wa barua za Serikali

tutafikatu

JF-Expert Member
Dec 17, 2011
3,249
4,486
Hivi karibuni kumekuwa na uandishi wa barua za serikali ambao kila aya inakuwa na namba. Kinachonishangazaa ni kwamba barua zote hazina aya ambayo iko labelled 1, ila zote zina aya ambayo iko labelled 2. Najiuliza kwanini aya namba 1 haipo?

Bahati mbaya kila sehemu inatumika template hii hii ambayo aya ambayo iko labelled ni 2, na hakuna mtu anaye question aya namba 1 iko wapi.

Je, ni mimi nimekosea au kuna jamaa aliwaingiza chaka watumishi wa serikali, wameamua kukariri tu template iliyokosewa?

Barua-kwendaTaasisi-UDHIBITI-WA-MATUMIZI-YA-RASILIMALI-ZA-TEHAMA-NA-MITANDAO-1.jpg
 
Hivi karibuni kumekuwa na uandishi wa barua za serikali ambao kila aya inakuwa na namba. Kinachonishangazaa ni kwamba barua zote hazina aya ambayo iko labelled 1, ila zote zina aya ambayo iko labelled 2. Najiuliza kwanini aya namba 1 haipo?

Bahati mbaya kila sehemu inatumika template hii hii ambayo aya ambayo iko labelled ni 2, na hakuna mtu anaye question aya namba 1 iko wapi.

Je, ni mimi nimekosea au kuna jamaa aliwaingiza chaka watumishi wa serikali, wameamua kukariri tu template iliyokosewa?
hiyo watakuwa wamekosea aisee na kuingia chaka, huwezi kuanza na aya ya 2 ikiwa hakuna ya 1
 
Nilihoji hili sana nikiwa Kaliua, Afisa Mipango akanambia namba moja inawakilishwa na kichwa cha barua!
 
Kama wewe ni mtumishi wa umma nadhani ofisi yako mlipokea waraka wa serikali wa maelekezo ya uandishi wa barua na madokezo mbali mbali hasa kwenye format, font size, numbering, uandishi wa majina ya signatories etc.

Barua iko sahihi na tumekua tukitumia tangu mwaka jana.
 
Hivi karibuni kumekuwa na uandishi wa barua za serikali ambao kila aya inakuwa na namba. Kinachonishangazaa ni kwamba barua zote hazina aya ambayo iko labelled 1, ila zote zina aya ambayo iko labelled 2. Najiuliza kwanini aya namba 1 haipo?

Bahati mbaya kila sehemu inatumika template hii hii ambayo aya ambayo iko labelled ni 2, na hakuna mtu anaye question aya namba 1 iko wapi.

Je, ni mimi nimekosea au kuna jamaa aliwaingiza chaka watumishi wa serikali, wameamua kukariri tu template iliyokosewa?

View attachment 2494444
I apologize for forgetting my first point.

 
Back
Top Bottom