Naomba kujuzwa haya kuhusu leseni ya biashara

Habari wa JF,

Samahani nina swali kuhusu upatikanaji wa leseni ya biashara .Iwapo nina TIN number.

Je, ni documents gani natakiwa kuwa nazo ili kukamikisha upatikanaji wa leseni na pia muongozo wa upatikanaji ukoje na inachukua mda gani na gharama zake.

NB: Ni duka la Nguo za Mitumba.
1-NIDA (Namba au kitambulisho chenyewe)ili upate TIN pale TRA.
2-Mkataba wa upangaji au hati ya nyumba ufanyapo
/unapotegemea kufanya biashara.
3.Barua ya utambulisho kutoka serikali ya mtaa/kata unapoishi au kufanyia biashara.
Vyote hivyo utawasilisha halmashauri ya mji/manispaa au jiji ili uandaliwe leseni.
KUMBUKA kuuliza gharama ya leseni uitakayo ili uiandae kulipa.
 
Je hii WT na Provisional tax all ni TRA wana clear zote au online pia naweza fanya bila kwenda ofisini?
Kama una TIN# ya huyo mwenye nyumba wako na details zingine unafanya tu online(Tax Payer Portal) na kwenye provisinal hapo unafanya self assessment, ukilipa unaenda TRA kuprocess tax clearance ambapo watakuomba TIN# yako wataangalia ulicholipa,then wanaprint tax clearance certificate ...
 
Ha
Habari wa JF,

Samahani nina swali kuhusu upatikanaji wa leseni ya biashara .Iwapo nina TIN number.

Je, ni documents gani natakiwa kuwa nazo ili kukamikisha upatikanaji wa leseni na pia muongozo wa upatikanaji ukoje na inachukua mda gani na gharama zake.

NB: Ni duka la Nguo za Mitumba

Habari wa JF,

Samahani nina swali kuhusu upatikanaji wa leseni ya biashara .Iwapo nina TIN number.

Je, ni documents gani natakiwa kuwa nazo ili kukamikisha upatikanaji wa leseni na pia muongozo wa upatikanaji ukoje na inachukua mda gani na gharama zake.

NB: Ni duka la Nguo za Mitumba.
Habari, wasiliana na ofisi za Halmashauri au Manispaa unayofanyia biashara kwaajili ya msaada zaidi.
 
Habari, kwa upande wa BRELA unaweza kusajili biashara yako kama jina la biashara au kampuni, usajili unafanyika moja kwa moja kupitia mtandao wetu wa ors.brela.go.tz au unaweza kutembelea katika tovuti yetu ya www.brela.go.tz
Kumbe mpo huku safi.

Nimebadili details za biashara kwenye mfumo wa ors,sasa nimeambiwa niambatanishe form 6,where do I upload this form??
 
Kumbe mpo huku safi.

Nimebadili details za biashara kwenye mfumo wa ors,sasa nimeambiwa niambatanishe form 6,where do I upload this form??

Habari, baada ya kupakua fomu namba 6 ya mabadiliko ya taarifa za jina la biashara utatakiwa kuijaza fomu husika na kuipakia katika ombi lako la mabadiliko ya taarifa za jina la biashara kupitia mfumo wa BRELA ORS.
 
Back
Top Bottom