southernboy
JF-Expert Member
- Sep 27, 2015
- 826
- 1,018
habari waku,nina mpango wa kuanzisha biashara ya kuuza mazao ya chakula kama mahindi,maharage na mengine .kwasasa nimeshafanya michakato ya kupata fremu ya kuuzia ila sijajua naanzia wapi kufanya usajili ,leseni yake pamoja na gharama zake. mwenye kujua anisaidie
Sent using Jamii Forums mobile app
Sent using Jamii Forums mobile app