Kaka yake shetani
JF-Expert Member
- Feb 1, 2023
- 3,701
- 8,905
Kuna tatizo kidogo kwenye kiswahili maana kwa viongozi hata wakimaliza mda wao wanatanguliza vyeo walivotumia na kumalizia mstaafu.
mfano raisi mstaafu,waziri mstaafu.
ila kwa wengine ijalishi ni polisi,mwalimu,dokta wanatanguliziwa mstaafu wala sio cheo alichotumikia ili linakuwaje
mfano wastaafu wa east afrika
mfano raisi mstaafu,waziri mstaafu.
ila kwa wengine ijalishi ni polisi,mwalimu,dokta wanatanguliziwa mstaafu wala sio cheo alichotumikia ili linakuwaje
mfano wastaafu wa east afrika