Naomba kujua tofauti ya Rappers na Mcee ni ipi?

Hii mada ilishawahi kuletwa humu na nilijibu hivi

Unapoongelea elements za MC unatakiwa uelewe kwamba ni lazima awe na uwezo wa kuwakilisha jamii

MC anatakiwa awe na uwezo wa kuwakilisha, kuwasilisha na kufikisha taarifa kwa jamii. Na pia anaweza akawa na vinasaba vya upande wa biashara

Jambo ambalo wengi wanashindwa kuelewa ni kua MC ni rapper pia lakini utofauti kati ya MC na rapper ni kwamba rapper mara nyingi huongea kuhusu personal issues.

Mfano mzuri kama madee "nani kamwaga pombe yangu" au young killer "sina swaga" nk. Unaona kabisa kua hivyo ni vitu ambavyo vinamuhusu yeye

MC sasa tukichukulia mfano wa mtu kama Professa j na mtu kama fid q unaweza ukaaona ni watu wenye uwezo wa kuelezea mambo ya kukufundisha, haimuhusu yeye tu bali jamii kiujumla

MC huongea kama mtu wa tatu anapo delivery ujumbe wake. Mfano wa mzuri ni hii verse ya fid Q "ongea maisha ya kuunga unga hii shuhuli mi naiweza, hapa utaambulia ushauri tu ukihitaji msaada wa kifedha.../"
 
My best Mcees are KRS1, Jin Au-Yeung, known professionally as MC Jin (
Jin
Ngoma yake Kali Ni Learn Chinese album yake yote Ni Kali sana)
, Canabus and Mzungu A Little Slim Shaddy Eminem.

My best Rappers are Mase, Tupac and Fredro Starr
Sawa sawa KRS 1 ni hatari, vipi kwa marehemu Sean price, immortal technique au Vinnie paz??

Sent from my Infinix X665 using JamiiForums mobile app
 
Hii mada ilishawahi kuletwa humu na nilijibu hivi

Unapoongelea elements za MC unatakiwa uelewe kwamba ni lazima awe na uwezo wa kuwakilisha jamii

MC anatakiwa awe na uwezo wa kuwakilisha, kuwasilisha na kufikisha taarifa kwa jamii. Na pia anaweza akawa na vinasaba vya upande wa biashara

Jambo ambalo wengi wanashindwa kuelewa ni kua MC ni rapper pia lakini utofauti kati ya MC na rapper ni kwamba rapper mara nyingi huongea kuhusu personal issues.

Mfano mzuri kama madee "nani kamwaga pombe yangu" au young killer "sina swaga" nk. Unaona kabisa kua hivyo ni vitu ambavyo vinamuhusu yeye

MC sasa tukichukulia mfano wa mtu kama Professa j na mtu kama fid q unaweza ukaaona ni watu wenye uwezo wa kuelezea mambo ya kukufundisha, haimuhusu yeye tu bali jamii kiujumla

MC huongea kama mtu wa tatu anapo delivery ujumbe wake. Mfano wa mzuri ni hii verse ya fid Q "ongea maisha ya kuunga unga hii shuhuli mi naiweza, hapa utaambulia ushauri tu ukihitaji msaada wa kifedha.../"
Sasa kuna mwana anasema Roma sio Mc ni rapper
 
Sasa kuna mwana anasema Roma sio Mc ni rapper
Roma ni Mc

Kuna kitu ambacho kinawaweka watu kwenye mkanganyiko sana

Kuwa Mc haina maana kila siku we utakuwa unaandika contents za kuigusa jamii tu au siku uki rap kuhusu mambo yako binafsi basi unakuwa regarded kama Rapa

Kipimo kizuri cha kutofautisha ni Roma na Lunya

Roma kaimba Pastor, Tanzania, Mr president nk. Nyimbo zake 85℅ kaizungumzia jamii

Lakini hatuwezi kusema Roma ni Rapper kwasababu kaimba "usimsahau mchizi" na zile collabo na Stamina ambazo wamejiongelea sana wao kuliko kuigusa jamii.

Njoo sasa kwa Lunya, huyu nyimbo zake zote 90℅ kaimba kuhusu mambo personally, mademu l, magari sijui pesa nk.

Huyu sasa ndio Rapper
 
Roma ni Mc

Kuna kitu ambacho kinawaweka watu kwenye mkanganyiko sana

Kuwa Mc haina maana kila siku we utakuwa unaandika contents za kuigusa jamii tu au siku uki rap kuhusu mambo yako binafsi basi unakuwa regarded kama Rapa

Kipimo kizuri cha kutofautisha ni Roma na Lunya

Roma kaimba Pastor, Tanzania, Mr president nk. Nyimbo zake 85℅ kaizungumzia jamii

Lakini hatuwezi kusema Roma ni Rapper kwasababu kaimba "usimsahau mchizi" na zile collabo na Stamina ambazo wamejiongelea sana wao kuliko kuigusa jamii.

Njoo sasa kwa Lunya, huyu nyimbo zake zote 90℅ kaimba kuhusu mambo personally, mademu l, magari sijui pesa nk.

Huyu sasa ndio Rapper
Shukrani Kaka. So Ngwair anakaa wapi???
 
My best Mcees are KRS1, Jin Au-Yeung, known professionally as MC Jin (
Jin
Ngoma yake Kali Ni Learn Chinese album yake yote Ni Kali sana)
, Canabus and Mzungu A Little Slim Shaddy Eminem.

My best Rappers are Mase, Tupac and Fredro Starr

Mkuu, jifunze hata kusoma na kuelewa kwanza.
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom