X_INTELLIGENCE
JF-Expert Member
- Mar 25, 2014
- 9,721
- 12,329
hapana Rafiki yangu... nilikuwa kwenye kampuni ya ULINZA...!Ulikua mradi wa ujenzi nini?
hapana Rafiki yangu... nilikuwa kwenye kampuni ya ULINZA...!Ulikua mradi wa ujenzi nini?
Uthibitisho wa mahakama toa hiyo kitu haitakiwi,Ebwana kwa uelewa wangu Mwanachama atapata mafao yake endapo ataachishwa kazi kwa sababu yoyote ile isipo kuwa kuacha kazi yeye mwenyewe hapo atakuwa hana sifa ya kupata mafao, pili mwanachama atapata mafao yake endapo atafikisha umri wa kustaafu kwa hiari miaka 55-59 kwa hiari na miaka 60 kwa lazima. Na ili uweze kupata mafao yako unatakiwa kuwa na kitambulisho chako cha uanachama, barua ya kuachichwa kazi, kitambulisho cha NIDA, uthibitisho kutoka Mahakamani, Akaunti ya benki ambayo ipo inafanya kazi pamoja na mambo mengine utaambiwa hapo.
Hakikisha una termination letter/End if contract na Certificate of service