Naomba msaada wa kufahamu juu ya namna gani nitalipwa mafao yangu baada ya ajira yangu kukoma. Niliajiriwa katika kampuni binafsi na niliajiriwa nje ya taaluma yangu.
Kwa mujibu wa utaratibu wao kulipwa mafao yako yote hutegemea level yako ya elimu. Kuanzia diploma na kuendelea unatapata 33.3% ya mshahara wako wa mwisho na utapata io hela kila mwisho kwa mwezi kwa miezi isiosidi 6 na Wenye elimu chini ya diploma wanalipwa mafao yao yote hii ni kulingana na sheria ya kinyonyaji iliowekwa
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.