mkaa mweusi
Member
- Jan 14, 2011
- 69
- 26
Wakuu, Nilifanikiwa kulipwa Ile 33.3% ya NSSF, naomba kufahamu Kwa yoyote mwenye kujua, inachukua mda gani na hatua mpaka kupata malipo yaliyobaki baada ya kutimiza miezi 18. Natanguliza shukrani..
......Wakuu, Nilifanikiwa kulipwa Ile 33.3% ya NSSF, naomba kufahamu Kwa yoyote mwenye kujua, inachukua mda gani na hatua mpaka kupata malipo yaliyobaki baada ya kutimiza miezi 18. Natanguliza shukrani..