DALA
JF-Expert Member
- Aug 24, 2009
- 2,221
- 4,524
Nawasalimu wote wana jukwaa,
Moja kwa moja kwenye hoja. Nakusudia kuanzisha ufugaji wa Ng’ombe, Mbuzi na Kuku.
Naomba kwa wenye uzoefu mnipe maoni yenu, hususani juu ya:
1. Mikoa sahihi kwa biashara hii
2. Faida na hasara za biashara yenyewe
3. Changamoto na fursa
4. Wanunuzi wakubwa wa ng’ombe na mbuzi wa nyama (soko)
5. Chochote ambacho unadhani natakiwa kulizingatia kabla ya kuingia mzigoni.
Natanguliza shukurani.
Moja kwa moja kwenye hoja. Nakusudia kuanzisha ufugaji wa Ng’ombe, Mbuzi na Kuku.
Naomba kwa wenye uzoefu mnipe maoni yenu, hususani juu ya:
1. Mikoa sahihi kwa biashara hii
2. Faida na hasara za biashara yenyewe
3. Changamoto na fursa
4. Wanunuzi wakubwa wa ng’ombe na mbuzi wa nyama (soko)
5. Chochote ambacho unadhani natakiwa kulizingatia kabla ya kuingia mzigoni.
Natanguliza shukurani.