Ridomil gold
JF-Expert Member
- Aug 22, 2020
- 2,784
- 2,218
Kama kichwa kinavyosema mwaka huu nataka kuanza kufuga ng'ombe wa maziwa je wataalamu naomba msaaada wa changamoto na wenye uzoefu na kila kitu kinachohusu ufugaji huuu asante
Naomb japo machache tumsaidie mwenzetu ajue hata gharama za uendeshaj pia faida katk mradiUsisubiri kuonyeshwa changamoto ww anza kama ulivyotaka mengine yapo tu utayamudu
Sitaki kufuga kwa ajili ya nyumbni mkuuu nataka kufanya biashara ya maziwa mkuu hyo ndio ombi langu nimekuja hapaKama ni ng`ombe 1(wa nyumbani kwa ajili yako),hakuna changamoto za kutisha,nunua mbegu nzuri,tengeneza banda halafu tenga muda kwa ajili ya kuwa na ng`ombe wako..
Kipi unataka msaada hebu kuwa straight maana ufugaji haupo limited kwamba changamoto mpya zinajitokeza kila uchao...Sitaki kufuga kwa ajili ya nyumbni mkuuu nataka kufanya biashara ya maziwa mkuu hyo ndio ombi langu nimekuja hapa
Sample ngo'mbe ndio nataka sana na soko la maziwaKipi unataka msaada hebu kuwa straight maana ufugaji haupo limited kwamba changamoto mpya zinajitokeza kila uchao...
Unataka usaidiwe kwenye kipi..sampu ya ng'ombe,soko la maziwa,madawa,magonjwa,eneo la kufugia au bei ya ng`ombe...
.Sample ngo'mbe ndio nataka sana na soko la maziwa
Niko morogoro ila nataka kufugia mbeya.
Upo mkoa gan
Safi sana..,hapa mbeya kuna kampuni inaitwa MBARALI ESTATES LTD,hapo panafugwa ng`ombe mpaka utashangaa halafu zote ni mbegu za kisasa...Niko morogoro ila nataka kufugia mbeya
Je nataka kununua ng'ombe mwenye mimba ndio nataka kuazia hapo je hili nalo linawwzekanSafi sana..,hapa mbeya kuna kampuni inaitwa MBARALI ESTATES LTD,hapo panafugwa ng`ombe mpaka utashangaa halafu zote ni mbegu za kisasa...
kama upo seriaz watafute hata kwenyd website yao unaweza kupata pa kuanzia
Nafikili kuhusu wataalamu hilo wala si tatzo sana mkuuu kila kitu kina changamoto maana hata wa kienyeji inatakiwa kuwa na wataalamu kila kitu kina hitaji usimamizi mzuri hata kwenye ngazi ya ustawi wa familia1) Perishable goods zote changamoto kubwa ya kwanza ni soko …katika mazingira yako una uhakika wa hilo?
2) una eneo kubwa la ufugaji na malisho bila ya kugombana na Serikali pamoja na jamii mf.wakulima ?
3) Ng'ombe hasa wa kisasa wanakabiliwa sana na maradhi …jee eneo lako lipo accessible na Wataalam pamoja na dawa?
tuanzie hapa kwanza?
ni sawa kabisa lakini mara zote hakuna mradi mwepesi lazima tu utakumbana na changamoto za hapa na paleNaomb japo machache tumsaidie mwenzetu ajue hata gharama za uendeshaj pia faida katk mradi
Ulilifanikisha jambo lako?Kama kichwa kinavyosema mwaka huu nataka kuanza kufuga ng'ombe wa maziwa je wataalamu naomba msaaada wa changamoto na wenye uzoefu na kila kitu kinachohusu ufugaji huuu asante