JS Dairy Farm
JF-Expert Member
- Feb 13, 2022
- 308
- 685
PingiliUnapanda mbegu au shina ?mbegu au shina. Kuna maswali pale hujayajibu.
Kama hilo shina unakata kata ndiyo mbegu,zinakuwa na vifundo 3. Kama inavyopandwa miwa.
PingiliUnapanda mbegu au shina ?mbegu au shina. Kuna maswali pale hujayajibu.
sawa.PingiliView attachment 2838746
Kama hilo shina unakata kata ndiyo mbegu,zinakuwa na vifundo 3. Kama inavyopandwa miwa.
Mbuzi na kondoo nazo unauza ?PingiliView attachment 2838746
Kama hilo shina unakata kata ndiyo mbegu,zinakuwa na vifundo 3. Kama inavyopandwa miwa.
Ndiyo ila watakuwa tayari April 2024.Mbuzi na kondoo nazo unauza ?
Umepata mbegu mapacha ? Hao ulionao umewanunua wapi.Hapana ndiyo nimeanza,bado wachache.
Uamuzi ni wako mimi wangu nawalisha majani hayo ninayolima na yanatosha.Ninachoongeza ni majani ya mikunde,majani ya viazi vitamu hybrid na miti malisho ili kuwaongezea vitamins,madini na protini.sawa.
Mbuxi 100 wanakula mwaka mzima hio heka. Hawajitaji majani mengine.
Halafu umeonesha sample moja tu. Nyinhine vipi ?
Sasa swali lisema hao mbuzi 100 unawalisha heka 1 mwaka mzima ?Uamuzi ni wako mimi wangu nawalisha majani hayo ninayolima na yanatosha.Ninachoongeza ni majani ya mikunde,majani ya viazi vitamin hybrid na miti malisho ili kuwaongezea vitamins,madini na protini.
Miti nayo unapanda ? Au ya porini ?Uamuzi ni wako mimi wangu nawalisha majani hayo ninayolima na yanatosha.Ninachoongeza ni majani ya mikunde,majani ya viazi vitamin hybrid na miti malisho ili kuwaongezea vitamins,madini na protini.
Shamba lipo Ruvu karibu na Mlandizi-Kibaha.Umepata mbegu mapacha ? Hao ulionao umewanunua wapi.
Nipo ktk fikra ya kuamua niweke ranchi au nilime mazao. Najaribu kutafuta mbuzi wa mapacha walio wanene
Kama unahua alie nai wazuri unujulishe. Shamba lako lipo wapi ?
Ndiyo kila mwezi unavuna majani,mfano tarehe 1 Jan. Unavuna mashinaSasa swali lisema hao mbuzi 100 unawalisha heka 1 mwaka mzima ?
Miti nayo unapanda ? Au ya porini ?
Miti nayo unapanda ? Au ya porini ?
Bado najifunza japo umenipa mengi.Ndiyo kila mwezi unavuna majani,mfano tarehe 1 Jan. Unavuna mashina
200,mpaka tarehe 30 Jan. unakuwa umevuna mashina 6000,ukifika shina la 6000,unarudi kuvuna mashina 200 uliyovuna Jan 1.Yanachipua kwa haraka pia yana mchipukizi mengi yanayofika 100 kwenye shina moja.Kwahiyo unakuwa unarudia rudia kuvuna na kama ni mengi unayahifadhi(saileji)
Shamba langu lipo mpakani mwa Songea na Njombe. Nimesoma mtandaoni kuwa heka moja inatosha kulisha mbuzi 8. Sasa naona tofauti na maelezo yako kuwa heka 1 mbuzi 100.Ndiyo kila mwezi unavuna majani,mfano tarehe 1 Jan. Unavuna mashina
200,mpaka tarehe 30 Jan. unakuwa umevuna mashina 6000,ukifika shina la 6000,unarudi kuvuna mashina 200 uliyovuna Jan 1.Yanachipua kwa haraka pia yana mchipukizi mengi yanayofika 100 kwenye shina moja.Kwahiyo unakuwa unarudia rudia kuvuna na kama ni mengi unayahifadhi(saileji)
Kimsingi soko lipo Dar es salaamNi kweli, ila siyo kwamba ndiyo ninaanza kihivyo. Hapa nataka tu kuingia kwa gia kubwa. Mpaka sasa ninafuga mbuzi na ng’ombe ila kwa scale ndogo. Ilikuwa kama mradi wa majaribio, sasa nahisi nipo tayari kuliamsha dude.
Ndiyo maana nataka kusikiliza ushauri wenu pia.
Je mbuzi unawasafiriisha kwa staili gani ?Ndiyo kila mwezi unavuna majani,mfano tarehe 1 Jan. Unavuna mashina
200,mpaka tarehe 30 Jan. unakuwa umevuna mashina 6000,ukifika shina la 6000,unarudi kuvuna mashina 200 uliyovuna Jan 1.Yanachipua kwa haraka pia yana mchipukizi mengi yanayofika 100 kwenye shina moja.Kwahiyo unakuwa unarudia rudia kuvuna na kama ni mengi unayahifadhi(saileji)
Kama Kuna mtu unayemfahamu Songea mwambie akutafutie,sipo huko, au subiri niwaulizie watu ninaowafahamu nikipata mawasiliano yao nitakupatia.Bei inategemewa 30,000-70,000 inategemea wakati gani wakati wa mavuno inapanda wakati wa mvua (kifuku)inashuka.Je mbuzi unawasafiriisha kwa staili gani ?
Je hio mbegu ya mapacha ni nzuri kwenye kuongezeka uzito. Bei za hao wa Songea zipoje.
Unawasafirisha kwenye gari pickup au Lori.Kama Kuna mtu unayemfahamu Songea mwambie akutafutie,sipo huko, au subiri niwaulizie watu ninaowafahamu nikipata mawasiliano yao nitakupatia.Bei inategemewa 30,000-70,000 inategemea wakati gani wakati wa mavuno inapanda wakati wa mvua (kifuku)inashuka.
Haya majani ninalima kisasa,ninamwagilia,ninaweka mbolea ya samadi na kiwandani na ninapima afya ya ardhi kwa mwaka mara 2.Ninamwagilia kwa wiki mara 3 ndiyo maana kila baada ya siku 30 ninavuna,mashina mawili tu yanatosha kulisha mbuzi 1 kwa siku. Majani yake ni marefu,mapana na shina moja linafikia machipukizi 100.Shamba langu lipo mpakani mwa Songea na Njombe. Nimesoma mtandaoni kuwa heka moja inatosha kulisha mbuzi 8. Sasa naona tofauti na maelezo yako kuwa heka 1 mbuzi 100.
Kitu kingine je, ranchi lazima iwe na mabanda au wanalala tu popote. Nimewahi pita kitulo kwenye ng'ombe sijaona mabanda.
Sijawahi ona ranchi ya mbuzi
Shamba langu lipo mpakani mwa Songea na Njombe. Nimesoma mtandaoni kuwa heka moja inatosha kulisha mbuzi 8. Sasa naona tofauti na maelezo yako kuwa heka 1 mbuzi 100.
Kitu kingine je, ranchi lazima iwe na mabanda au wanalala tu popote. Nimewahi pita kitulo kwenye ng'ombe sijaona mabanda.
Sijawahi ona ranchi ya mbuzi