Hance Mtanashati
JF-Expert Member
- Sep 7, 2016
- 17,765
- 21,666
Kula sana vyakula vya wanga (carbohydrate)Habarini wana JF,
Nini kifanyike ili kuongeza mwili (unene) ili niwe na muonekano mzuri wa kiafya unaovutia?
Nahitaji kunenepa.
Kula sana vyakula vya wanga (carbohydrate)Habarini wana JF,
Nini kifanyike ili kuongeza mwili (unene) ili niwe na muonekano mzuri wa kiafya unaovutia?
Nahitaji kunenepa.
Ale wanga kiasi ila mboga za majani kwa wingi 🤣🤣🤣🤣🤣Kula matunda kwa wingi hasa parachichi, mboga mboga za majani, samaki kwa wingi ila nyama na wanga kiasi( isiwe sana), japo mimi sio mtumiaji ila kuna kitoweo flani hivi ningeshauri ila isivyo bahati kwa wengi ni haramu. hivyo tubakie humu humu tu
Protein hainenepeshi.Rahisi sanaa
Kula protein kwa wingi ikiwezekana kila siku kula mayai 10 pekee ya kukaanga
Punguza sex
Lala sanaaa mchana lalaa mno
Week mbili kama hujanenepa utakuwa ulikula rambo
Hivi n kweli parachichi linanenepesha!?No stress
Kubweteka
Kula parachichi,mtindi na meats zenye mafuta
Bia
Hivi n kweli parachichi linanenepesha!?
Na siku ukihitaji kupungua utani-tag mkuu!Habarini wana JF,
Nini kifanyike ili kuongeza mwili (unene) ili niwe na muonekano mzuri wa kiafya unaovutia?
Nahitaji kunenepa.
Kula steroids kijanaHabarini wana JF,
Nini kifanyike ili kuongeza mwili (unene) ili niwe na muonekano mzuri wa kiafya unaovutia?
Nahitaji kunenepa.
Nusu roast ya kitimoto na beer mbili, wiki mbili tu.Habarini wana JF,
Nini kifanyike ili kuongeza mwili (unene) ili niwe na muonekano mzuri wa kiafya unaovutia?
Nahitaji kunenepa.
Very true. Stress nyoko aisee.Kumbe kunenepa ndio Afya,
Shule gani hiyo unayosoma/Uliyosoma?
Kinachokufanya usinenepe ni Stress tu,ukiwa na stress hata ule vyakula vya aina gani bado tatizo litakuwepo,kitu cha kwanza ni kupunguza stress kisha mengine ndio yafuate,
Anza kwa kucheki afya yako kama huna magonjwa yeyote.
Bia fafanua,No stress
Kubweteka
Kula parachichi,mtindi na meats zenye mafuta
Bia
Kunywa Maji mengi, kula vizuri na kuhakikisha unashiba, Takatisha mawazo yako....stress free zone...piga vyuma kula mara tatu ya unavyokula miezi miwili tuuh majibu utayapata ukienda kwenye mizani
Ndiyo cuteHivi n kweli parachichi linanenepesha!?
ulifanyaje ukaongezekaBia fafanua,
Mm
Nilikuaga mwembamba sana yaan nikikutana na watu hubakia na mshangao.....
Yaan #ASAP nimekua na mwili aise kilo 85
Utanenepa tu mimi sikuwahi zidi kilo 60 mara nyingi nlikuwa na kilo 58 ila sasa nauchukia mwili nilionao. Kuna kipindi hata nlitaka kunumua dawa za kuongeza hamu ya kula lakini sikununua sasa nmenenepa nimekuqa mzembe sanaHabarini wana JF,
Nini kifanyike ili kuongeza mwili (unene) ili niwe na muonekano mzuri wa kiafya unaovutia?
Nahitaji kunenepa.
Sikuwai kuupenda wembamba wangu....
Mzembe wa nini na nini?? Fafanua Kwa manufaa ya UMMA?🤓Utanenepa tu mimi sikuwahi zidi kilo 60 mara nyingi nlikuwa na kilo 58 ila sasa nauchukia mwili nilionao. Kuna kipindi hata nlitaka kunumua dawa za kuongeza hamu ya kula lakini sikununua sasa nmenenepa nimekuqa mzembe sana