Ushimen
JF-Expert Member
- Oct 24, 2012
- 37,703
- 87,047
Mambo mrembo 😊Duh aiseee
Mambo mrembo 😊Duh aiseee
Tulia wewee
Mambo mrembo 😊
SI KWELIIla jiji la Dar es salaam linashangaza sana. Kwanini kuna joto la kutisha mwaka mzima
Mkuu mtaani kugumu yaani hapo ajala, halafu mwijaku akamdanganya muue morocco unafikiri akili itakua sawa😂😂Boss vp uko sawa??
Naona umepost mada kuhusiana na Dar kwenye International forum.
Je MuscatVipi kuhusu Khartoum Sudani ushawai fika hapo!?
jamaniii.Nikafikiri hata unazungumzia ile mitaro inayotoa harufu mbaya 24/7 kuanzia posta hadi gongo la mboto, na ikisafishwa ndo kamaimepandishwa mashetani
Sent using Jamii Forums mobile app
Ko Dar joto kali kisa Ushoga? Na ushoga ndo Laana?Hamna Cha laana nchi zilizobaki bila ushoga ni chache zaidi
Ungetaja hiyo miji mingine uliyotembeleaNimetembelea baadhi ya miji hapa Africa. Miji Hali ya hewa ni kawaida. Kuna kipindi kunakuwa na joto lakini sio wakati wote
Ila jiji la Dar es salaam linashangaza sana. Kwanini kuna joto la kutisha mwaka mzima. Miji mwingine Africa haiko hivyo. Hali ya hewa ni mchanganyiko Ila Dar ni joto mwaka mzima.
Nahisi jiji la Dar es salaam limekumbwa na laana
Sio kweli dar kuna miti mingi sanaMji na Mkoa wa Dar Es Salaam ni eneo ambalo miale ya jua inapiga nyuzi 90.
Yaani jua linapiga Dar moja kwa moja kwa hiyo lazima joto lizidi.
Kingine kichochangia ni uwepo wa bahari na pia miti siyo ya kutosha.
Dar kuna joto sababu humidity ni kubwa ina range 82 mwaka mzima ndo maana joto ni kaliSio laana ila jeographia yake imechangia hilo.
Dar kuna joto sababu humidity ni kubwa ina range 82 mwaka mzima ndo maana joto ni kaliJoto linasababishwa na mabadiliko ya Hali ya hewa.
USIKARIRI MKUU.
KaziKweliKweli/JobTrueTrue
Dar kuna joto sababu humidity ni kubwa ina range 82 mwaka mzima ndo maana joto ni kaliHata tabia ya Nchi haujui?!
Sio kweli dar kuna miti mingi sana
Dar kuna joto sababu humidity ni kubwa ina range 82 mwaka mzima ndo maana joto ni kali
Baki na ujinga wakoUsiniambie siyo kweli
Mleta mada hajawai fika Khartoum. Kule ni motoni 😂😂😂Vipi kuhusu Khartoum Sudani ushawai fika hapo!?