CONSISTENCY
Senior Member
- Feb 16, 2023
- 135
- 307
Profesa wa Chuo kikuu cha Dodoma (UDOM), Julius Nyahongo amesema kuwa miaka mitano ijayo, wakazi waishio Dar es Salaam watalazimika kutembea na oksijeni kutokana na ongezeko la joto.
Profesa Nyahongo amesema kuwa ongozeko hilo la joto linachangiwa na ukataji wa miti kiholela hali inayohatarisha mazingira.
Aidha Profesa amemuomba Makamu wa Rais Dkt. Philip Mpango kuwasihi wakandarasi wote nchini wanapotaka kujenga wakumbuke kuhifadhi mazingira kwani miti imeota kwa shida.
Amesema hayo leo April 15, 2024 katika mdahalo wa kumbukizi wa miaka 102 ya kuzaliwa kwa Baba wa Taifa, Julius Nyerere uliofanyika Dar es salaam.
Chanzo: Azam TV
Profesa Nyahongo amesema kuwa ongozeko hilo la joto linachangiwa na ukataji wa miti kiholela hali inayohatarisha mazingira.
Aidha Profesa amemuomba Makamu wa Rais Dkt. Philip Mpango kuwasihi wakandarasi wote nchini wanapotaka kujenga wakumbuke kuhifadhi mazingira kwani miti imeota kwa shida.
Amesema hayo leo April 15, 2024 katika mdahalo wa kumbukizi wa miaka 102 ya kuzaliwa kwa Baba wa Taifa, Julius Nyerere uliofanyika Dar es salaam.
Chanzo: Azam TV