Atoto
JF-Expert Member
- Jul 19, 2013
- 82,491
- 159,883
Yaani utafikiri mishetani🙆🙆Ukweli ni kwamba kila mtu anataka mwanae apate a better start, hivyo nyie mnaomwambia sijui shule ni free mjifikiri au labda sio wazazi.
Yaani utafikiri mishetani🙆🙆Ukweli ni kwamba kila mtu anataka mwanae apate a better start, hivyo nyie mnaomwambia sijui shule ni free mjifikiri au labda sio wazazi.
Wanawake wa bongo bwana they have nothing more to offer than sex. Sasa kuolewa kumemshinda, kusomesha mtoto nako kumemshinda.🤣🤣🤣🤣🤣Wakati mnaachana ulijiona mjanja!
Pambana na jeuri yako
Itakuwa alaidanganywa na njemba huko kuwa usijali nitakuhudumia mpenzi...sasa jamaa ndio kala mbususu kajisepea zake🤣🤣🤣🤣Kesi Kama hii ukikutana na wanaume wa Aina yangu ni kujitafutia tuu chuki tena Kama hatukuachana vizuri.
Kama hutaki kuishi na mwanao basi Mpeleke Mahakamani,
Mtoto wa miaka 9 Kama umeshindwa kumlea si umuachie Baba yake.
Kinachokufanya umng'ang'anie ni nini wakati huwezi kumtunza,
Kuna Mwanamke nilizaa naye aisee, Kila siku anataka Hela, Kuna siku akasema mtoto anahitajika kutoa Hela ya research shilingi laki Moja, nikauliza mtoto wa darasa la tatu anafanya research ya nini?Kwa nini asimpeleke Mtoto Kwa Baba yake?
Baba kamwe wala hatamuomba hata senti yake yoyote.
Kama Hana uwezo asilazimishe, shida ya wanawake wengi hutumia watoto kama kitega uchumi kwao.
Jambo ambalo wanaume wote Duniani hawawezi kuvumilia kitu Kama hicho.
MRudishe kwa baba yakeNaomba msaada wa namna bora au mwanasheria atakayenisaidia kumpeleka mahakaman baba mtoto wangu ili angalau awe analipa ada tu.
Mtoto ana miaka 9 yuko darasa la nne siku zote nimekua nikimlipia ada na matumizi yote lakini safari hii hali imekua ngumu nimeshindwa na nimemuambia kiungwana tu kakataa kasema hana hela niuze nyumba nimlipie ada mtoto.
Alikua ni mtoto wa kwenye ndoa ila tuliachana kabla mtoto hajaanza shule.
Darasa la nne hamna ada, sijui huyo dada anafeli wapi? Kama kampeleka private school, je alijadiliana na mzazi mwenza kabla? Au aliona mtoto wa shosti wake anachukuliwa na school bus naye akatamani?🤣🤣🤣🤣 Aisee yaani wanawake kwa kutusema sie wanaume suruali ila wao sijui tuwaite wanawamke mbususu tuu ama....mtoto ulie mtoa kwenye mbususu yako mwenyewe unashindwa kumsomesha kweli una akili au matope humo kichwani
Huyu ndio mbomoaji asie kuwa na ufikirio kielekea mtoto.Tamaa gani hapo sasa? Unajua sababu za wao kuachana au mnaelezea hisia zenu za masahibu yenu? Mmevurugwa akili hata hamuwazi kujenga ni kubomoa tu kumewajaa vichwani. Ni malezi mabovu mlopitia au mna shida gani?Tafuteni dawa kabla hamjaokota makopo.
Hapo hawezi kupata kitu Kwa sababu kama ni haki ya mtoto kupata Elimu serikali ipo imetoa Elimu Bure na hakuna kifungu kinasema elimu iwe na ubora wa kiwango gani, lakin Mzazi mwenzie amesema hana uwezo wa kusomesha huko English medium kamruhusu auze nyumba, kumbe hata nyumba kaachiwa maana yake hajataka wagawane Mali maana kungekuwa na kugawana wangeuza wagawane pasu kwa pasu ndioo suala la malez ya watoto lianze. Huyo mwanamke hana akili ashaona amepoteza hivyoo anataka afosi kingi kupitia mtoto, na huyo aliyemoa jeuri atakuwa ameingia mitinimambo yamekwama ama hayajakwama, ukweli ni kwamba kuna mentality kuwa shule hizi za English Medium ni nzuri kwa watoto na yeye anataka the best for mwanae,na mimi sioni tatizo, mpaka kulileta humu labda anajua mzazi mwenzake anazo hela anabana tuu....mimi nakushauri mtoa mada uende mahakamani,ila jiandae kama kucheza sadakalawe,kuna kukosa na kupata... 😆
Kuna Mwanamke nilizaa naye aisee, Kila siku anataka Hela, Kuna siku akasema mtoto anahitajika kutoa Hela ya research shilingi laki Moja, nikauliza mtoto wa darasa la tatu anafanya research ya nini?
Wamama wanazingua sana
Akahesabiwe. Huenda hajatembelewa na karani wa sensa😆😅😂🤣Peleka malalamiko yako ofisi za kata.
Wee hawa wana wake hamna cha usperwoamn wala nini ni njaaa tuu zinawasumbua.Darasa la nne hamna ada, sijui huyo dada anafeli wapi? Kama kampeleka private school, je alijadiliana na mzazi mwenza kabla? Au aliona mtoto wa shosti wake anachukuliwa na school bus naye akatamani?
Hapo hawezi kupata kitu Kwa sababu kama ni haki ya mtoto kupata Elimu serikali ipo imetoa Elimu Bure na hakuna kifungu kinasema elimu iwe na ubora wa kiwango gani, lakin Mzazi mwenzie amesema hana uwezo wa kusomesha huko English medium kamruhusu auze nyumba, kumbe hata nyumba kaachiwa maana yake hajataka wagawane Mali maana kungekuwa na kugawana wangeuza wagawane pasu kwa pasu ndioo suala la malez ya watoto lianze. Huyo mwanamke hana akili ashaona amepoteza hivyoo anataka afosi kingi kupitia mtoto, na huyo aliyemoa jeuri atakuwa ameingia mitini
Hicho ndio ninachokiona Kwa ndugu mtoa madaKiufupi wanawake wanapenda sana show off ,mie mzazi mwezangu kamuhamisha mtoto darasa la NNE kumpeleka shule ya kiingereza baada ya miezi 8 kamrudisha kule kule kwa serikali
Ugomvi wetu mkubwa mie nitoe hela ya kusoma huko alikotaka yeye kwa vile nilijua huu ni mtego nikagoma
Kiufupi hakuna mwanaume asiyependa kulea mwanae ila viburi na maneno ya mama zao pamoja na kuwalisha sumu ,ukifikikia hela unayotoa unampa mamake unaghaili kabisa
Malezi bora ya mtoto wa nje yanategemea mawasiliano bora ya mama na baba sio unitukane afu uniambie nitume hela ya mtoto
Sent from my TECNO CF7 using JamiiForums mobile app
Vipi Kama Baba wa mtoto au wakili wake akimuuliza Hilo swali unazani atakuwa na uwezo wa kulijibu?Hata hakimu mwanae kampeleka private school,hawezi kumuuliza swali hilo atakuwa hypocrite.
Darasa la nne hamna ada, sijui huyo dada anafeli wapi? Kama kampeleka private school, je alijadiliana na mzazi mwenza kabla? Au aliona mtoto wa shosti wake anachukuliwa na school bus naye akatamani?
Huko kwa baba yake ndio kuna guarantee mtoto ataenda private school. Hilo libaba lisiloona mtoto wake ndio victim au mtoto wake ha deserve kwenda international school wakati ana uwezo...ni limwanaume suruali nalo.