Mwanza City: The Photo Gallery

Makalla hana mbambamba kanyoosha mulemule Yaani Sangara anasafirishwa kwa Roli mpaka Nairobi ndo anaenda Ulaya, Vivyo hivyo kwa madini na abiria kwakweli hii ilikua ni adhabu hii, Shukran sana Serikari kwa hili mmeupiga mwingi mno!


View: https://youtu.be/dm4WCL7ueFk?si=Xd2J0ymWDkCLa83p

Mmh mbon kun kutokuelewan hapo inaonekn iyo hela n ya kumalizia jengo na kuleta mitambo kitu km sio jengo jipya Tena
 
Nimesikiliza vizuli aisee nahisi ni kweli hawajengi jengo jipya , ni kama wanakamilisha hilo hilo na kuongeza facilities nyingine kama uzio, Parking, Barabara za kuingia na kutoka na mifumo mingine itayoliwezesha kuwa la kimataifa
Mmh mbon kun kutokuelewan hapo inaonekn iyo hela n ya kumalizia jengo na kuleta mitambo kitu km sio jengo jipya Tena
 
Nimesikiliza vizuli aisee nahisi ni kweli hawajengi jengo jipya , ni kama wanakamilisha hilo hilo na kuongeza facilities nyingine kama uzio, Parking, Barabara za kuingia na kutoka na mifumo mingine itayoliwezesha kuwa la kimataifa
Duh ndo bilion 29
 
Wanajenga jingne la bil 30 halimshaul ya ilemela wamerushia ile bil 2 yao iliokua inaleta mgogoro
Wanamalizia jengo la zamani, au TAA pamoja na serikali tukiwemo sisi wadau wa Mwanza tulilidhiaki ilo jengo kwa maneno mengi ikiwemo kuliita godown au supermarket, hivi karibuni alisikika mkuu wa wilaya ya Nyamagana, ndugu Amina Makilagi akisema ilo jengo watalifanya supernarket na watajengo jengo jipya la hadhi ya kimataifa cha ajabu hao hao wanafiki wanamalizia jengo walilosema halina kiwango chochote na wala halina kigezo cha kimataifa..

Hapa kuna mambo mengi ya mkanganyiko, hapa kwa sisi wa jicho la tatu tunaona bado kuna figisu juu ya huu uwanja, huu ukarabati hauwezi kutufanya tuwe wakimataifa hata siku kwa bilion 29, hapa wanaweza kuuita international airport lakini sijaona bado kigezo cha kimataifa.

Tukija kwenye thamani ya mradi tukilinganisha na pesa ilitajwa na serikali kuwa itatumika naona kama vile sijui serikali inatuchukuliaje sisi watu wa Mwanza, jengo ilo la abiria lilikuwa limeisha bado vitu vidogo ikiwemo parking hata hiyo parking ya magari wanayosema watajenga tayari blocks kwaajili ya pavement za parking tyr zilikuwa zimejengwa tena nyingi sana kutosha eneo lote la mradu, tukisema mashine za ndani tayari mchina alikuwa ameleta machine mbili za kufunga, hizo bilion 29 zinatumika wapi???? kama barabara ya kuingia kupaki gari haziwezi kuzidi mita 100, kama finishing na nini na madoido mengine bilion 5 ilikuwa inatosha.

Swali kwanini wameendeleza jengo lisilokuwa na viwango vya kimataifa?
Zile bilion 30 za mwanzo walizosema hawali na wakati wa kusaini wakasema 29 bilion je hiyo bilion moja ipo wapi?
Je wakikamilisha ilo jengo je kweli uwanja wetu wa Mwanza utakidhi vigezo vya kimataifa?
Je thamani ya mradi na hizo pesa zilizowekwa na serikali je vinaendana?

N.B Nalikumbusha shirika la NSSF wakumbuke ahadi yao ya kujenga hotel ya nyota nne hapo uwanja wa ndege hii kidogo itainua hadhi ya uwanja huo na sio hizi ngonjera za kitoto za hii serikali(TAA).
 
IMG_20240325_115321.jpg
IMG_20240325_115323.jpg
IMG_20240325_121449.jpg

chuo Cha IFM
 
Wanajamvi habari zenu na Poleni na Majukumu, Leo nimekuja tofauti kidogo hivi mnaionaje kanda yetu kinachozalishwa na tunachorejeshewa na serikali,embu fikiria kutoka mgodi wa GGM ulipo mpaka pale Kakola ni kama 70km migodi miwili mikubwa sana lakini barabara ni vumbi vijiji vya huko maji tabu miundombinu hoi, kutoka kakola mpaka kahama km kama 75 nako Kuna Mgodi mkubwa miaka na miaka ndo juzi wamekumbukwa angalau lami, kutoka kakola mpaka mgodi mpya Nyanzaga ni kama 45 km tu nako hali ni tete sana, nenda shinyanga Almasi inachimbwa toka mkoloni yupo mpaka leo, Nenda Bunda hapo kuona wanyama ni nauli yako tu, Mwambao wa fukwe za ziwa Victoria salale ni kagera, Geita, Mwanza, Mara nafikiri na Simiyu, ilipaswa walau tuwe na mji au jiji moja kubwa la dhahabu kama kwingine wanakoita miji yao mara ya kibiashara, mara ya kitalii ilimladi tu wapate sababu za kupendelea huko, Rudi kwenye jiji letu la Mwanza figisu za wazi wazi yaani zile siasa za kizamani za viongozi kusema uongo ndio ziko huku, Mtu anakwambia soko kuu ni 93% toka December mpaka leo hata zabuni za kugawa vyumba hatujasikia, Limladi lenu la maji butimba limegeuka la kupigia picha maji hawajasambaza popote, Huo uwanja wa ndege ndio unatumika watu kujifua uwezo wao wa kudanganya, barabara zetu sasa nenda tu kisumu hapo mji population ndogo kabisa ila miundombinu babu kubwa, Huwezi kusikia Makao makuu ya Taasisi yoyote ya serikali ipo huku au inajengwa huku, Sijui kujenga chuo kikuu cha serikali hakuna hata tetesi, tunapata tabu cement tunanunua karibu mara mbili ya bei za wenzetu wa kanda zingine ila huwezi kusikia mpango walau wa kujenga kiwanda cha cement kanda ya ziwa, kiufupi wametudamp vibaya mno na ile kwamba ni jiji namba mbili sooni tunaenda kupokwa, je nini kifanyike?
Shida yetu, Madiwani wetu ni waoga, hawajui kupambana, kutafuta wadau Wala kubuni miradi.

Wapo wapo tu.

Barabara kama Halmashauri (TARURA) haiiwezi waipambanie ipande hadhi kwenye TANROADS
 
Back
Top Bottom