Ibney
JF-Expert Member
- Feb 26, 2017
- 331
- 265
Kwan mnogombania nini?Ogopa Mungu na teknolojia aisee Ruge alikuwa ni noma yaani unayakana maneno yako .
Ngoja nikuwekee ushahidi ukiwa muongo uwe na kumbukumbu.
Na rudia tena hakuna fundi wa mapenzi dunia hii na wala hatokuja kuwepo mpaka mwisho wa dunia hii , na huu msemo utakuja kuukumbuka pale huyo muigizaji wako uliye naye atatimiza malengo ya uigizaji wake kwako.
Nime kuuliza utamtambuaje mwamke anaye kupenda kweli na yule anaye kuigizia, lakin mpaka sasa sijaona jibu lako, ukimia wako ni jibu tosha kuwa hakuna tofauti kati ya mapenzi ya kweli na ya kuigiza na ndio maana nime kuomba udhibitisho wa uaminifu wa mke wako umeshindwa kunipa kwa sababu huna uhakika na mapenzi ya mkeo kwako maana hujui iwapo ni ya kweli au ni ya kuigiza.
View attachment 2762747