Mwanamke hawezi kukutii kama hakupendi hata uwe tajiri namba moja Duniani

Ogopa Mungu na teknolojia aisee Ruge alikuwa ni noma yaani unayakana maneno yako .

Ngoja nikuwekee ushahidi ukiwa muongo uwe na kumbukumbu.

Na rudia tena hakuna fundi wa mapenzi dunia hii na wala hatokuja kuwepo mpaka mwisho wa dunia hii , na huu msemo utakuja kuukumbuka pale huyo muigizaji wako uliye naye atatimiza malengo ya uigizaji wake kwako.

Nime kuuliza utamtambuaje mwamke anaye kupenda kweli na yule anaye kuigizia, lakin mpaka sasa sijaona jibu lako, ukimia wako ni jibu tosha kuwa hakuna tofauti kati ya mapenzi ya kweli na ya kuigiza na ndio maana nime kuomba udhibitisho wa uaminifu wa mke wako umeshindwa kunipa kwa sababu huna uhakika na mapenzi ya mkeo kwako maana hujui iwapo ni ya kweli au ni ya kuigiza.
View attachment 2762747
Kwan mnogombania nini?
 
Kwema Wakuu!

Bado nipo natoa mafunzo Kwa ninyi vijana wa Forex, Watoto wa kubet ambao Maisha yanawachanganya.

Vijana tatuteni Pesa kwaajili ya Wanawake wanaowapenda ili wawaheshimu na kuwatii.
Kama unatafuta pesa kwa ajili ya wanawake wakutii na kukuheshimu basi haujakomaa kiakili. Maana utatumia pesa nyingi sana kwaajili ya kuwafurahisha wanawake.
  • Kuna watu waliwasomesha wanawake wakijua watawatii na kuwaheshimu lkn matokeo yake waliachwa kwa aibu kubwa.
  • Kuna watu wamewanunulia kila wanachohitaji mwanamke kwa lengo la kuwatii na kuwaheshimu lkn matokeo yake mwanamke anatoka na house boy. Tena pesa zako ndizo anahongea
 
Hapana, ila asikuambie, pesa ni kila kitu, ungesema hakuheshimu kwa dhati sawa, ila heshima tu? Hela inannua.

Angalia Mawaziri na wana siasa wanavyo abudu na kusifia uongo mpaka unashangaa wana akili kweli?

Pesa sio kila kitu mkuu.

Hela hainunui heshima ila inaleta woga na unafiki
 
Kwema Wakuu!

Bado nipo natoa mafunzo Kwa ninyi vijana wa Forex, Watoto wa kubet ambao Maisha yanawachanganya.

Vijana tatuteni Pesa kwaajili ya Wanawake wanaowapenda ili wawaheshimu na kuwatii. Elewa kuwa Pesa haimfanyi Mwanamke akutii (akupende) isipokuwa Pesa inachochea furaha ya mwanamke Kwa sababu ya kutimiza mahitaji yake ya kimwili.

Mwanamke hana nguvu yoyote Kwa mwanaume anayempenda. Hilo weka akilini. Ongezea Hii, Mwanamke siku zote humtii na kumsikiliza mwanaume anayempenda.

Kama Mwanamke Hakupendi atakuigizia anakupenda lakini unajua nini kitatokea?

Sikiliza, Mwanamke ataigiza anakutii Kwa Pesa zako kipindi cha mwanzoni tuu na hakitazidi miaka kumi. Hapo atatafuta na kuyaona mapungufu yako hasa ya kimwili, mathalani Hupigi show vizuri au unapiga Nusu dakika kama jogoo wa Segera. Au ataona unakakibamia Kako na hapo ndipo utamuelewa vizuri Mwanamke.

Mwanamke akikupenda muda wote atawaza jinsi ya kukusaidia uwe na furaha. Yaani ukiumia naye anaumia. Ukisema anafanya. Hakunaga show mbovu Kwa Mwanamke anayekupenda. Atakutii Kwa sababu anakupenda.

Zingatia upendo wa Mwanamke na Sisi wanaume ni tofauti. Kutokana na utofauti wa kihisia na kiakili uliopo baina ya Mwanamke na Mwanaume.

Pesa na utajiri unavyotafuta ili uheshimiwe na kutiiwa elewa kuwa unatafuta utiifu na heshima ya mchongo (bandia) na uhakika ni kuwa siku ukiwa na hizo Pesa utagundua kuwa licha ya kuwa unapesa lakini bado Mwanamke uliyenaye hakutii na hakuheshimu. Utajaribu kutafuta wapi umekosea lakini kimsingi ni kuwa ulioa Mwanamke asiyekupenda.

Ukiwa na Akili na ukapata neema ya Mungu basi Oa Mwanamke anayekupenda kisha tafuta Pesa kwaajili yake. Kwa sababu huyo atakutii na kuheshimu hata usipozipata hizo Pesa zenyewe.

Wapo Watu wapo kwenye majumba makubwa ambao wanalazwa Mzungu WA nne na Wake zao, tena ukimuona huyo Mwanamke sio ajabu hata form four hajafika, kazi Hana lakini Moto anaomuwashia Mumewe sio Pouwa.
Kisa na mkasa hakumpenda, alipendea Pesa zake. Au Mwanamke aliolewa ili tuu naye aonekane kaolewa, au muda ulikuwa umemuishia.

Ndugu zangu, hata uwe Rais au Mfalme wa Hii Dunia. Kama Mkeo hakupendi jua upo kwenye shimo la Giza, utapasuka tuu. Ni suala la muda. Kanuni kuu ya Wanawake ni kukusubiri pale nguvu zako zinapokuwa zimekuishia, miaka hamsini hivi, huna cha kumfanya, na kama utaleta ngebe Watoto wataungana na Mama Yao kukudhibiti wewe.

Zingatia kuwa, Mkeo akikupenda lazima ataungana na wewe kupambana na maadui wowote hata wangekuwa ni Watoto mliowazaa. Lakini kama alikuwa hakupendi hiyo vita umepoteza.

Ndio maana nawaambia Vijana, kamwe usilazimishe Mapenzi. Mwanamke kama hakupendi usi-force. Ni hatari.
Bahati nzuri ni rahisi kujua Kabisa Mwanamke ambaye anakupenda na ambaye hakupendi. Ila Kwa Wanawake ni ngumu kumtambua mwanaume anayempenda.

Ujanja tulionao wanaume ni nyakati za Ujana mpaka miaka arobaini hivi. Baada ya hapo Maisha yetu yapo mikononi mwa Wake na watoto wetu.

Sijasema msitafute Pesa. Tafuteni Sana. Lakini Pesa haina maana yeyote kama Mkeo hakupendi. Anakuigizia utiifu na kutafuta areas of your weakness.

Na Mwanaume akishajua kuwa Mkewe kajua udhaifu wake labda Hana Ile uwezo na nguvu za kiume au anaupungufu wa kimaumbile anakuwa ameshaingia katika mtego wa Mwanamke.

Kijana, Mwanamke anayekupenda atakuvumilia na kukutii hata ukiwa katika nyakati za hatari. Au siku unaudhaifu au akikukuta na udhaifu Fulani. Hutakuwa mtumwa wake Bali utakuwa mume kwake milele zote.

Kijana elewa kuwa Mwanamke haogopi kufokewa na Mwanaume asiyempenda. Yaani kama Mkeo hakupendi hata ukimfokea wala haumii Sana. Hata ukijiliza liza ooh sijui MKE wangu hufuati maadili, hunisikilizi. Hayo hayatilii maanani. Ni Kwa sababu hakupendi, na kama hakupendi automatically hakusikilizi. Hajajisalimisha kwako.

Sio ajabu Mwanamke anaweza akawa amekosea na bado asikuombe Msamaha ni Kwa sababu Hakupendi.
Elewa kuwa Mwanamke akikupenda hata kama huna Pesa na amekuzidi Pesa atakupa Pesa zake ili umpe yeye😀😀.
Lakini kama hakupendi hata umpe Dunia nzima kamwe hataridhika bado ataona kuna Pesa umeificha somewhere na unahonga Wanawake wengine.

Usiombe uumwe kisukari au presha ambayo ikafifisha nguvu za kiume alafu ulioa Mwanamke asiyekupenda. Utajuta Maisha yako yote.
Lakini Mwanamke akikupenda, huna hofu yoyote. Ni kama Mwanamke akipendwa na Mwanaume hapaswi kuwa na hofu.

Unaweza ukawa na Pesa nyingi Sana lakini nyumba yako ikawa inaongozwa na Mwanaume mwingine nje ya nyumba yako. Yaani hiyo inaitwa Ukoloni mamboleo katika Ndoa.
Mkeo hakupendi na anamwanaume mwingine anayempenda ambaye huenda umemzidi kipato na mamlaka. Kila unachokifanya huyo Mwanaume anakijua, na pengine maamuzi mengine anayotoa Mkeo hapo nyumbani yanatoka Kwa huyo Mwanaume.

Ndio maana inashauriwa mwanaume asisikilize ushauri wa Mkewe hasa Yule MKE ambaye anajua kabisa hampendi na alifosi Mapenzi. Kwa sababu Wanawake wengi Duniani hawawezi kufanya maamuzi pasipo kuchukua ushauri Kutoka Kwa Watu wanaowapenda ambao ndio huwaamini. Hivyo ni rahisi Mkeo kuchukua ushauri Kwa Mama yake, Shoga yake au Ex wake aliyempenda Sana.

Vijana tatuteni Pesa ili mtumie na Wanawake ambao wanawapenda ninyi hata kama msingekuwa na hizo Pesa.
Mkiendelea kubisha Mimi simo.

Robert Heriel
Taikon wa Fasihi
Kwa sasa Dar es salaam
Mwanamke hakuumbwa kupenda, fahamu huo ukweli kwanza.
 
Wanawake ni wanadamu. Wana mioyo. Wanapenda. Ingawaje upendo wao ni tofauti na wanaume.

Kama hujawahi kupendwa sema sijawahi kupendwa. Na sio useme wanawake hawapendi.
wao upendo wao upo kwenye vitu mkuu. Na hivyo vitu unaweza ukawa navyo hata kwenye mwili wako.

Pili wanawake ni chombo na wameamriwa hata na aliye waumba kututii na siyo kutupenda. Hii kusema wanapenda chunguza vizuri utakuja kugundua siyo upendo bali ni tamaa zilizojificha katika upendo wa vitu visivyoeleweka
 
Hapa hii ni point. Sema tu umekosea kaluli moja. Kupenda. Mwanamke akikuahidi kukupenda,ujue umeisha. Utapendwa na wanao au na wewe utapenda wanao. Watu wengine ni sanaa tu
 
Mbona huwafundishi waganyaje Ili wapendwe?neno linatufunza tuwatii waume nao waume watupende Sasa mbona unahamiasha majukumu?Wafundishe watafute Hela,watupende,watu teaty vyema lazima TUWATII
 
Mbona huwafundishi waganyaje Ili wapendwe?neno linatufunza tuwatii waume nao waume watupende Sasa mbona unahamiasha majukumu?Wafundishe watafute Hela,watupende,watu teaty vyema lazima TUWATII

Sitaki kuwafundisha kuwa Mabwege.
Wanafunzi waliofuzu kwangu wanaenjoy maisha ya ndoa na wake zao wananishukuru
 
Nyie ndo mnawapa wanawake haki ambazo kiukweli sio zao. Mwanamke hana haki ya kupenda, wajibu wake ni kumtii mumewe, kumburudisha mumewe na kuwa submissive kwa mumewe basi

Nawakubali sana waarabu kwenye hili, mwanamke analetewa tu mumewe hana haja ya kuchagua eti kampenda au la, mwanaume ndie anaependa na kuchagua.

Watu wenye mentality kama yako ndio wameongeza wimbi la feminists na kuharibu Natural World Order wakiwa vibaraka wa New World Order bila kujijua
Biblia hiyohiyo inasema amri kuu ni upendo, kwa hiyo hiii haiwahusu wanawake sio?
 
Kwema Wakuu!

Bado nipo natoa mafunzo Kwa ninyi vijana wa Forex, Watoto wa kubet ambao Maisha yanawachanganya.

Vijana tatuteni Pesa kwaajili ya Wanawake wanaowapenda ili wawaheshimu na kuwatii. Elewa kuwa Pesa haimfanyi Mwanamke akutii (akupende) isipokuwa Pesa inachochea furaha ya mwanamke Kwa sababu ya kutimiza mahitaji yake ya kimwili.

Mwanamke hana nguvu yoyote Kwa mwanaume anayempenda. Hilo weka akilini. Ongezea Hii, Mwanamke siku zote humtii na kumsikiliza mwanaume anayempenda.

Kama Mwanamke Hakupendi atakuigizia anakupenda lakini unajua nini kitatokea?

Sikiliza, Mwanamke ataigiza anakutii Kwa Pesa zako kipindi cha mwanzoni tuu na hakitazidi miaka kumi. Hapo atatafuta na kuyaona mapungufu yako hasa ya kimwili, mathalani Hupigi show vizuri au unapiga Nusu dakika kama jogoo wa Segera. Au ataona unakakibamia Kako na hapo ndipo utamuelewa vizuri Mwanamke.

Mwanamke akikupenda muda wote atawaza jinsi ya kukusaidia uwe na furaha. Yaani ukiumia naye anaumia. Ukisema anafanya. Hakunaga show mbovu Kwa Mwanamke anayekupenda. Atakutii Kwa sababu anakupenda.

Zingatia upendo wa Mwanamke na Sisi wanaume ni tofauti. Kutokana na utofauti wa kihisia na kiakili uliopo baina ya Mwanamke na Mwanaume.

Pesa na utajiri unavyotafuta ili uheshimiwe na kutiiwa elewa kuwa unatafuta utiifu na heshima ya mchongo (bandia) na uhakika ni kuwa siku ukiwa na hizo Pesa utagundua kuwa licha ya kuwa unapesa lakini bado Mwanamke uliyenaye hakutii na hakuheshimu. Utajaribu kutafuta wapi umekosea lakini kimsingi ni kuwa ulioa Mwanamke asiyekupenda.

Ukiwa na Akili na ukapata neema ya Mungu basi Oa Mwanamke anayekupenda kisha tafuta Pesa kwaajili yake. Kwa sababu huyo atakutii na kuheshimu hata usipozipata hizo Pesa zenyewe.

Wapo Watu wapo kwenye majumba makubwa ambao wanalazwa Mzungu WA nne na Wake zao, tena ukimuona huyo Mwanamke sio ajabu hata form four hajafika, kazi Hana lakini Moto anaomuwashia Mumewe sio Pouwa.
Kisa na mkasa hakumpenda, alipendea Pesa zake. Au Mwanamke aliolewa ili tuu naye aonekane kaolewa, au muda ulikuwa umemuishia.

Ndugu zangu, hata uwe Rais au Mfalme wa Hii Dunia. Kama Mkeo hakupendi jua upo kwenye shimo la Giza, utapasuka tuu. Ni suala la muda. Kanuni kuu ya Wanawake ni kukusubiri pale nguvu zako zinapokuwa zimekuishia, miaka hamsini hivi, huna cha kumfanya, na kama utaleta ngebe Watoto wataungana na Mama Yao kukudhibiti wewe.

Zingatia kuwa, Mkeo akikupenda lazima ataungana na wewe kupambana na maadui wowote hata wangekuwa ni Watoto mliowazaa. Lakini kama alikuwa hakupendi hiyo vita umepoteza.

Ndio maana nawaambia Vijana, kamwe usilazimishe Mapenzi. Mwanamke kama hakupendi usi-force. Ni hatari.
Bahati nzuri ni rahisi kujua Kabisa Mwanamke ambaye anakupenda na ambaye hakupendi. Ila Kwa Wanawake ni ngumu kumtambua mwanaume anayempenda.

Ujanja tulionao wanaume ni nyakati za Ujana mpaka miaka arobaini hivi. Baada ya hapo Maisha yetu yapo mikononi mwa Wake na watoto wetu.

Sijasema msitafute Pesa. Tafuteni Sana. Lakini Pesa haina maana yeyote kama Mkeo hakupendi. Anakuigizia utiifu na kutafuta areas of your weakness.

Na Mwanaume akishajua kuwa Mkewe kajua udhaifu wake labda Hana Ile uwezo na nguvu za kiume au anaupungufu wa kimaumbile anakuwa ameshaingia katika mtego wa Mwanamke.

Kijana, Mwanamke anayekupenda atakuvumilia na kukutii hata ukiwa katika nyakati za hatari. Au siku unaudhaifu au akikukuta na udhaifu Fulani. Hutakuwa mtumwa wake Bali utakuwa mume kwake milele zote.

Kijana elewa kuwa Mwanamke haogopi kufokewa na Mwanaume asiyempenda. Yaani kama Mkeo hakupendi hata ukimfokea wala haumii Sana. Hata ukijiliza liza ooh sijui MKE wangu hufuati maadili, hunisikilizi. Hayo hayatilii maanani. Ni Kwa sababu hakupendi, na kama hakupendi automatically hakusikilizi. Hajajisalimisha kwako.

Sio ajabu Mwanamke anaweza akawa amekosea na bado asikuombe Msamaha ni Kwa sababu Hakupendi.
Elewa kuwa Mwanamke akikupenda hata kama huna Pesa na amekuzidi Pesa atakupa Pesa zake ili umpe yeye😀😀.
Lakini kama hakupendi hata umpe Dunia nzima kamwe hataridhika bado ataona kuna Pesa umeificha somewhere na unahonga Wanawake wengine.

Usiombe uumwe kisukari au presha ambayo ikafifisha nguvu za kiume alafu ulioa Mwanamke asiyekupenda. Utajuta Maisha yako yote.
Lakini Mwanamke akikupenda, huna hofu yoyote. Ni kama Mwanamke akipendwa na Mwanaume hapaswi kuwa na hofu.

Unaweza ukawa na Pesa nyingi Sana lakini nyumba yako ikawa inaongozwa na Mwanaume mwingine nje ya nyumba yako. Yaani hiyo inaitwa Ukoloni mamboleo katika Ndoa.
Mkeo hakupendi na anamwanaume mwingine anayempenda ambaye huenda umemzidi kipato na mamlaka. Kila unachokifanya huyo Mwanaume anakijua, na pengine maamuzi mengine anayotoa Mkeo hapo nyumbani yanatoka Kwa huyo Mwanaume.

Ndio maana inashauriwa mwanaume asisikilize ushauri wa Mkewe hasa Yule MKE ambaye anajua kabisa hampendi na alifosi Mapenzi. Kwa sababu Wanawake wengi Duniani hawawezi kufanya maamuzi pasipo kuchukua ushauri Kutoka Kwa Watu wanaowapenda ambao ndio huwaamini. Hivyo ni rahisi Mkeo kuchukua ushauri Kwa Mama yake, Shoga yake au Ex wake aliyempenda Sana.

Vijana tatuteni Pesa ili mtumie na Wanawake ambao wanawapenda ninyi hata kama msingekuwa na hizo Pesa.
Mkiendelea kubisha Mimi simo.

Robert Heriel
Taikon wa Fasihi
Kwa sasa Dar es salaam
100% kwenye heading.
mengine sijasoma
 
Back
Top Bottom