Gift mzalendo
JF-Expert Member
- Dec 13, 2019
- 1,089
- 1,276
Naamini kuna mambo mengi yanayochangia migogogoro na kuvunjika kwa ndoa nyingi kwa wakati huu
Ila Naomba nielezee hii sababu majawapo ambayo ni
Wanaume wengi au vijana pengine niwaite wavulana kuingia kwenye ndoa wakidhani wanawake wao watawasaidia baadhi ya majukumu na wengine wajinga wakitamani wasaidie hata majukumu yote
Kigezo kikubwa kwa mwanaume na jukumu la kwanza ni kuoa mwanamke anayempenda na kumvutia kwa asilimia kubwa tabia sura na hata maumbile
Na hapa tunatofautiana Kila mtu ana tabia sura na maumbile yanayomvutia
Ukifanikiwa kwenye kigezo na jukumu la kwanza hayo mengine yote ni rahisi
Jukumu la pili na muhimu ambalo wanaume wengi haswa wa wakati wanalikimbia wakidhani watabaki salama ni
Kumuhudumia mke wako kwa Kila kitu kuanzia Nguo yake ya NDANI mavazi ya nje mahitaji yote muhimu kwa mwanamke ni jukumu la mwanaume kumuhudumia
Tatu mahitaji yote ya familia ni jukumu la mwanaume kuhudumia hata Kama mwanamke ana mshahara ana hiari ya kuchangia mahitaji ya familia au la
Hata akichangia weka akilini mwako kwamba anakusaidia majukumu yako usibweteke,
Siku akijisikia kutochangia Basi ukubaliane na hali na umshukuru walau kwa kile alichochangia
Kwenye maandiko jukumu la mwanamke kubwa ni uzazi na kumtii mume wake
Ukiona mwanaume ambae kigezo chake kikubwa anataka mwanamke mwenye kazi au mshahara au mpambanaji hiyo ni dalili ya hao wanaume
Nashauri hakikisha unakuwa na msingi mzuri wa kipato kabla ya kuoa Bora uchelewe kuoa ili
Uoe mwanamke unayempenda na mwenye uwezo wa kumuhudumia
Kwa asili
Wanawake hawaji kuongeza kipato Ila kutumia kile kipato chako
Uanaume ni kazi Sana na uwajibikaji wake ni mkubwa
Sio rahisi kuwa mwanaume na Wakati mwingine kuwa baba wa familia
Ila Naomba nielezee hii sababu majawapo ambayo ni
Wanaume wengi au vijana pengine niwaite wavulana kuingia kwenye ndoa wakidhani wanawake wao watawasaidia baadhi ya majukumu na wengine wajinga wakitamani wasaidie hata majukumu yote
Kigezo kikubwa kwa mwanaume na jukumu la kwanza ni kuoa mwanamke anayempenda na kumvutia kwa asilimia kubwa tabia sura na hata maumbile
Na hapa tunatofautiana Kila mtu ana tabia sura na maumbile yanayomvutia
Ukifanikiwa kwenye kigezo na jukumu la kwanza hayo mengine yote ni rahisi
Jukumu la pili na muhimu ambalo wanaume wengi haswa wa wakati wanalikimbia wakidhani watabaki salama ni
Kumuhudumia mke wako kwa Kila kitu kuanzia Nguo yake ya NDANI mavazi ya nje mahitaji yote muhimu kwa mwanamke ni jukumu la mwanaume kumuhudumia
Tatu mahitaji yote ya familia ni jukumu la mwanaume kuhudumia hata Kama mwanamke ana mshahara ana hiari ya kuchangia mahitaji ya familia au la
Hata akichangia weka akilini mwako kwamba anakusaidia majukumu yako usibweteke,
Siku akijisikia kutochangia Basi ukubaliane na hali na umshukuru walau kwa kile alichochangia
Kwenye maandiko jukumu la mwanamke kubwa ni uzazi na kumtii mume wake
Ukiona mwanaume ambae kigezo chake kikubwa anataka mwanamke mwenye kazi au mshahara au mpambanaji hiyo ni dalili ya hao wanaume
Nashauri hakikisha unakuwa na msingi mzuri wa kipato kabla ya kuoa Bora uchelewe kuoa ili
Uoe mwanamke unayempenda na mwenye uwezo wa kumuhudumia
Kwa asili
Wanawake hawaji kuongeza kipato Ila kutumia kile kipato chako
Uanaume ni kazi Sana na uwajibikaji wake ni mkubwa
Sio rahisi kuwa mwanaume na Wakati mwingine kuwa baba wa familia