Ukweli ndio huo
Watanganyika hua mnafuata nini zanzibar?
Mbona sioni sababu ya msingi ya ninyi kwenda huko na sioni mnalofuata huko,
Bakini kwenu mjenge kwenu wale wakija wakaribisheni, wala msiwabague namuwafahamu wale ni watu wabinafsi na wabaguzi sana na wenye choyo.
sio kwamba haihitaji tu, ni kwamba Tanganyika haijawahi kufaidika na chochote toka Zanzibar,

1. Mzanzibar anamiliki ardhi hapa bara, sisi NO.
2. Mzanzibar anaajiriwa serikali Tanganyika, sisi kwao No.
3. Mzanzibar ana vitambulisho bara na visiwani, sisi bara tu. kule ni wageni.
4. kero za wazanzibar tu zinatatuliwa, zetu hazijawahi kutatuliwa. zitajeni kama zipo.
5...............the list goes on and on.
 
umeshawahi kufika zanzibar?kajionee mwenyewe kuna wabara wangapi wanafanya kazi kwenye tourism industry, zanzibar hata inasaidia tanzagiza kujulikana nje wengi hamlijui hilo labda …
Kwani kuna mtu amesema hakuna watanganyika wanaofanya kazi zanzibar?!! Kinachozungumziwa hapa ni nani mnufaikaji mkubwa wa huu muungano, mbona lisu amefafanua vizuri, eti li ccm linakuja na hoja nyepesi eti tumeoleana!! Jibuni hoja hizo
 
Tanganyika...

 

Attachments

  • Mhella (1).3gp
    1 MB · Views: 3
Kwani kuna mtu amesema hakuna watanganyika wanaofanya kazi zanzibar?!! Kinachozungumziwa hapa ni nani mnufaikaji mkubwa wa huu muungano, mbona lisu amefafanua vizuri, eti li ccm linakuja na hoja nyepesi eti tumeoleana!! Jibuni hoja hizo
ni watanganyika gani wanafanya kazi kwenye serikali ya zanzibar? mtaje hata mmoja tu. kule hata wakitangaza ajira kitambulisho cha mzanzibar ni cha kwanza kuonyesha. wakati huku kuna maelfu ya wazanzibar wanafanya kazi serikalini. yaani kwetu wapate, sisi kwao tusipate. tunaongelea ajira serikalini, sio hizo za mtaani za kufanya kazi hotelini. serikali ya Tanganyika imeajiri wazanzibar, ila serikali yao ni marufuku kuajiri mtanganyika.
 
ni watanganyika gani wanafanya kazi kwenye serikali ya zanzibar? mtaje hata mmoja tu. kule hata wakitangaza ajira kitambulisho cha mzanzibar ni cha kwanza kuonyesha. wakati huku kuna maelfu ya wazanzibar wanafanya kazi serikalini. yaani kwetu wapate, sisi kwao tusipate. tunaongelea ajira serikalini, sio hizo za mtaani za kufanya kazi hotelini. serikali ya Tanganyika imeajiri wazanzibar, ila serikali yao ni marufuku kuajiri mtanganyika.
Bosi wa ZRA. Yusuf Juma Mwenda.
 
Nimevumilia vya kutosha nikidhani kama kuna mtu anayekerwa na fumbuzi wa matatizo ya muungano yaliyotolea kwenye kikao cha pamoja kati ya Mh. Lowassa na Mh. Nahodha.

Kitu kinachonitisha ni kwamba yale mambo waliowaamulia wananchi yatapelekwa bungeni october kwa ajili ya "constitutional reforms".

Kwa upande wangu sikubaliana na ufumbuzi waliofikia kwa 100%
Check this out:

1) mineral and oil exploration be co-opted into the national debate on the future of the political federation.

-debate is good but mineral and oil exploration should not be political.

2)Tanzania Petroleum Development Corporation (TPDC) should have an equal number of representatives from either side.

-Equal number kwa vigezo gani? Idadi ya watu? Tuelezene mlivyokuja na hiyo soultion equal number of people.

3)consultant on the distribution of wealth generated through mining and oil extraction be hired to advise the Union government on how it can be shared equitably.

-Please kama ni hivyo na huo muungano hatuutaki. For what?

4)It was decided that 50 per cent of the income would be used to finance the operations of the authority and the other 50 per cent be distributed on the basis of 60 per cent for the Mainland and 40 per cent for Zanzibar.

-Hivi hizo hesabu mnafanyaje? How did you come up with 60%, ardhi, watu,?????

Najua watanzania hawataki kuongelea muungano wakiogopa mizimu ya Mwalimu. Kwa upande wangu kuna mambo mawili tu hapa ambayo yanaweza kuleta ufumbuzi wa kudumu kwanza kuuvunja muungana na Zanzibar ikawa nchi kama ilivyo Kenya na tutaendelea kushirikian nao kama tunavyoshirikiana na Kenya, au Zanzibar uwe mkoa. zanzibar kuna watu wasiozidi 3 mil wakati mkoa wa Dar tu una watu 4 mil. Hapo utajiuliza ni kivitu tugawane nusu kwa nusu?

Kama watu hamtaki kuongela hili sual basi mwezi October linaingia kwenye katiba.

Mkataba wa makubaliano ya kuanzisha muungano wa Tanganyika na Zanzibar ukisainiwa mwaka 1964.

Mkataba wenyewe (uliosainiwa) umeambatanishwa kama attachment.


Naona Lissu kapiga chini ya mkanda kwenye hili swala. Wengi wanakubaliana na Lissu kwamba kuna ubaguzi mkubwa sana hasa kwenye umiliki na uongozi wa wananchi wa hizi nchi. Haiwezekani mkuu wa wilaya anaweza kuwa Mzanzibari lakini watu kutoka bara waonekane kama wageni na wasioweza kupewa uongozi
 
Bosi wa ZRA. Yusuf Juma Mwenda.
huyo alikuwa meya wa kinondoni? ongelea kwenye sector zote, ukija bara, kila sector ya serikali hii kuanzia halmashauri yadi taifa kuna wazanzibar maelfu kwa maelfu, na sisi tunaona sio mbaya wacha wafanye kazi, ni watanzania. ila sisi huko mmesema tusitume hata cv.
 
huyo alikuwa meya wa kinondoni? ongelea kwenye sector zote, ukija bara, kila sector ya serikali hii kuanzia halmashauri yadi taifa kuna wazanzibar maelfu kwa maelfu, na sisi tunaona sio mbaya wacha wafanye kazi, ni watanzania. ila sisi huko mmesema tusitume hata cv.
Samahani. Ulitaka utajiwe mmoja.
 
Samahani. Ulitaka utajiwe mmoja.
hapana, taja wengi. huyo ni wa kuteuliwa, sio wa kuajiriwa.

GMfDbyWWEAApYhX.jpeg
 
Hili suala hata mimi niliwahi kusema si suala la Lowassa na Vuai!

Hivi CCM na viongozi wake ni lini watakubaliana kuwa watanzania wana mawazo nao wanaweza kuchangia?

Kuhusu muungano ninakubaliana na wewe ni vema tuuvunje kwanza au iundwe serikali moja hata ukisoma kitabu cha Mwalimu uongozi na ... alishauri serikali moja kwa sababu alisema muundo wa muungano ni serilaki mbili kuelekea serkali moja baadaye. Lakini zanzibar cini ya CUF na CCM wenye we huko wanataka serikali tatu ili waendelee kutunyonya zaidi!!


Sawa haya ya (Lowaasa na Vuai )yakipelekwa bungeni yakapitishwa yatakuwa mabaya zaidi kuliko hata ya Nyerere na Karume . Hawa watu wa bara wataumia zaidi lakini hao hao wa bara wamekuwa kama

walinyweshwa dawa kuhuu muungano hawataki kabisa kuungolea!!!


Hapa ndipo huwa ninakubaliana na Mtikila!
Njia sahihi ni kuitisha kura ya maoni kwa kila nchi wananchi waseme km wanataka muungano au hawautaki,wananchi ambao ndo walitakiwa kuamua hatma ya nchi yao hawajawahi kushirikishwa kamwe,ndo maana nasemaga huu ni muungano fake wa Nyerere na ccm
 
Wazanzibari nimeamini Shukrani Hawana

Nilikuwa kijiwe kimoja pale Kisiwandui Zanzibar
Baadhi ya wazanzibari walalamika Raisi Samia kuwapa wazanzibari ajira Bara kuwa wanaharibika na kuua utamaduni wa kizanzibari

Kuwa wakipata ajira Bara wanaharibika na kuwa walevi na Malaya na wasio zingatia Dini Wala utamaduni wa Zanzibari wakiharibiwa na watanganyika wanakofanya kazi au kuishi mitaani
 
Nimecheka sana 😆😆😆😆. Kwamba wakija bara tunawafundisha uhuni. Hata hivyo dunia ya sasa ni utandawazi, tamaduni nyingi zinakufa na huwezi zuia
 
Wazanzibari nimeamini Shukrani Hawana

Nilikuwa kijiwe kimoja pale Kisiwandui Zanzibar
Baadhi ya wazanzibari walalamika Raisi Samia kuwapa wazanzibari ajira Bara kuwa wanaharibika na kuua utamaduni wa kizanzibari

Kuwa wakipata ajira Bara wanaharibika na kuwa walevi na Malaya na wasio zingatia Dini Wala utamaduni wa Zanzibari wakiharibiwa na watanganyika wanakofanya kazi au kuishi mitaani
1000437986.jpg
 
Hii clip ya mheshimiwa mmoja hapo Zanzibar ambaye anasema mzanzibari yeye automatiki ni mtanzania na ana haki ya kumiliki ardhi huku tanzania bara ila mtanzania Bara yeye sio mzanzibari na hana haki ya kumiliki ardhi akiwa Zanzibar imenipa ukakasi sana katika hili suala la muungano.. maana halisi ya muungano ni nini??
 

Attachments

  • VID-20240601-WA0002.mp4
    2.7 MB
Back
Top Bottom