mbona sioni panapotamkwa neno'' tanzania'' mara baada ya kuungana? ina maana tz ilizaliwa lini kama haimo kwenye waraka huu?
 
mbona sioni panapotamkwa neno'' tanzania'' mara baada ya kuungana? Ina maana tz ilizaliwa lini kama haimo kwenye waraka huu?
ndugu yangu uisiwaze sana na sisi watanganyika tumechoka tena sana ni kero kuwa na muungano ambao hauna tija ni vyema tuwaache waende tu tutaonana nao baada ya theory ikapoprove failure .binafsi nimechoka kabisa kusikia hizi kelele kwa kweli
 
Ninajiuliza sana kwa nini hawa wazanzibar wanalalamika sana lakini sipati jibu. Yaani wamekuwa kero kama mtoto alie mgongoni mwa mama yake anapiga makeleleee, anabembelezwa lakini anaona anafanyiwa ubaya tu. Haoni wema hata kidogo kwa mama yake. Kwa haya makelele yaliyopo Zanzibar hatuwezi kufanya kitu chochote cha maendeleo zaidi ya kila kukicha muungano na kuchochea mavurugu. Kwa siasa za Zanzibar tukiziendekeza tutakuja kujikuta tupo vipande vipande hata sisi wenyewe huku bara kwa sababu ni vurugu tupu. Hawa wajamaa wamesha kuwa na sumu ya ubinafsi walivyohamasishana na ndio maana kwenye magazeti yao wanawatukana sana watu wa bara, na wanatudharau sana huku bara.

Yaani pamoja na upendeleo wanaopewa hawariziki kila saa kulia tu, sijui wanataka waiongoza TZ au la? Tumeshaona tusilazimishe mambo wao waache wajitenge na wafanye mambo yao kama nchi na sisi tufanye mambo yetu kama nchi. Wao kama wameshindwa kujiletea maendeleo wenyewe ni nani atawalatea hayo wanayotaka bila kufanya kazi, labda wanamsubiri Gadaffi ahamishe vile visima vya mafuta kule Libya ahamishie Zanzibar. Wao wanakusanya kodi wenyewe, wanaendesha serikali yao wenyewe bila kuingiliwa na wabara leo wanaona wabara ndio wabayaa. Tena ikiwezekana wabaki kwenye jumuiya ya Afrika Mashariki. Tunapoteza muda mwingi kujadili kitu ambacho jibu lake ni kuvunja huo muungano ndio amani itapatikana na watu waishi kwa amani.

Kama wameweza kupiga kura ya maoni kuhusu serikali yao na wamekubaliana, wakarekebisha katiba hatujawauliza, huyu mbara amekosea nini anaitwa mkoloni mweusi? Labda viongozi watuweke wazi hapo ndani kuna nini ndio maana hawataki kuuvunja. Tunawaomba viongozi wetu huo muda wanaotumia kujadili mambo ya muungano wajadili kwa nini watanzania ni masikini.
 
Haya mengine leo nawaletea
Tunafahamu muungano wetu ni baina ya nchi 2 huru zilizo ungana,ambazo mke na mume tukazaa tunda la muungano,katika serikali ya muungano,katika kumpata rais mchakato mzima lazima akubalike sehemu zote mbili,yaani tanganyika na zanzibar.

Cha kushangaza sasa katika uchaguzi wa 2010,Lipumba ndio aliongoza zaidi tena asilimia kubwa hapa zanzibar ukilinganisha na kikwete,sasa tujiulize vipi huyu atakuwa rais wa tanzania ambaye hajakubalika upande mmoja ?

Hili ndio tatizo moja kubwa la muungano,na sio kero,ni makusudi hasa,haya maradhi ya muda mrefu sasa,mi sizani kuwa rais wa tanzania amekubalika ipasavyo.

Jengine pia rais wa zanzibar Shein eti yeye apate kura nyingi kuliko maalim seif wakati lipumba amepata zaid ya maalim seif hivi kweli haya ? Inamana lipumba anapendwa zaidi kuliko maalim seif hapa zanzibar ?

Sizani kuwa Rais wa tanzania na zanzibar wanakubalika ipasavyo kuwa rais,kutokana na mchakato mzima ulivyokwenda,

Mfumo wa Muungano ni mbovu,Zanzibar tumetawaliwa,tunawekewa rais ambaye sio chaguo la wananchi,na hili ndio tatizo kubwa ambalo wazanzbari linawakera,kutokana ubabe wa tanganyika kutumia dola kumueka mkereketwa wao wa ccm ,sio mteuzi wa wananchi.

Lazima tuuvunje muungano,Hakubaliki Rais wa TZ wala zanzbar,Tunapelekana tu hewawa bwana.

MUPOOOOOOOOOOOOOOOO
 
Bana ee amueni kama vipi mtambae. Kila siku jambo hilo tu. Tunaacha kufanya kazi za kimaendeleo_Ondokeni hatutapoteza kitu. Watu mnashindwa kutumia fursa za muungano kama vile ardhi kubwa, soko kubwa la bidhaa, vyuo vya elimu ya juu kwa bei poa,ajira..na mengine mengi..nyie kila siku muungano tu...tambaeni..hatutapoteza kitu. Mbaya zaidi mnafikia kumkashifu J.K wa kwanza...mtu aliyeamini katika usawa wa binadamu..hakuwa mdini wala mkabila.Nyie vipi? mnafikiri mkijitenga kuna mtu atawaleteeni maendeleo bila kufanya kazi...dunia imebadilika..hata hao waarabu mnaowategemea wawasaidie baada ya kujitenga..hawatawaondolea umasikini kama hamtafanya kazi kwa bidii...Mnaamini katika dini ipi? maana najua uislamu unaamini ardhi yote ni sawa ndo maana hata kuzika mnaruhusiwa kuzika popote sasa iweje kuishi mtake kuishi zanzibar tu....Someni habari pia ..jiografia ya hali ya hewa inasema visiwa hivyo vitakuja zama.Sijui mtakimbilia Kenya mkawe wakimbizi? Chukua hii toka moyoni mwangu "bara hatutapoteza kitu...na tutabaki wamoja mpaka mwisho wa dunia"
 
Haya mengine leo nawaletea
Tunafahamu muungano wetu ni baina ya nchi 2 huru zilizo ungana,ambazo mke na mume tukazaa tunda la muungano,katika serikali ya muungano,katika kumpata rais mchakato mzima lazima akubalike sehemu zote mbili,yaani tanganyika na zanzibar.

Cha kushangaza sasa katika uchaguzi wa 2010,Lipumba ndio aliongoza zaidi tena asilimia kubwa hapa zanzibar ukilinganisha na kikwete,sasa tujiulize vipi huyu atakuwa rais wa tanzania ambaye hajakubalika upande mmoja ?

Hili ndio tatizo moja kubwa la muungano,na sio kero,ni makusudi hasa,haya maradhi ya muda mrefu sasa,mi sizani kuwa rais wa tanzania amekubalika ipasavyo.

Jengine pia rais wa zanzibar Shein eti yeye apate kura nyingi kuliko maalim seif wakati lipumba amepata zaid ya maalim seif hivi kweli haya ? Inamana lipumba anapendwa zaidi kuliko maalim seif hapa zanzibar ?

Sizani kuwa Rais wa tanzania na zanzibar wanakubalika ipasavyo kuwa rais,kutokana na mchakato mzima ulivyokwenda,

Mfumo wa Muungano ni mbovu,Zanzibar tumetawaliwa,tunawekewa rais ambaye sio chaguo la wananchi,na hili ndio tatizo kubwa ambalo wazanzbari linawakera,kutokana ubabe wa tanganyika kutumia dola kumueka mkereketwa wao wa ccm ,sio mteuzi wa wananchi.

Lazima tuuvunje muungano,Hakubaliki Rais wa TZ wala zanzbar,Tunapelekana tu hewawa bwana.

MUPOOOOOOOOOOOOOOOO
Usishangae ya Zanzibari. Hata katika Tanganyika Slaa aliongoza kwa asilimia kubwa ukilinganisha na Kikwete lakini NEC wakaamua kuwa Kikwete ndiye ameshinda.
 
Huu muungano ulikuwa wa watu wawili, sasa tunaitaji referendum toune kama ulikawa unakubalika kwa pande zote. Tanganyika peke yao na kwa hiari yao, na Zanzibari peke :mmph:yao kwa hiari yao.
 
Sam,

Inasikitisha sana kusoma huo mswada unaotegemewa kufanywa sheria katika siku za usoni , swali langu mimi ni moja tuu Watanzania ni nani aliyetuloga ? Kwa nini atufikirii kabla ya kufanya maamuzi ?

Kweli , kuna haja ya kuwa rocket scientist kujua ya kuwa huo mswada ni ujinga na ni kuwatukana wazalendo ? Yaani mapato ya madini yagawanywe katika uwiano wa 60% bara na 40 % zanzibar ....Ni vigezo gani wametumia kupata hizi figure ? kwanza zanzibar ina population ya watu wangapi .

Sam , naona utakuwa unaumiza kichwa tuu . Hawa viongozi awajali watu wa kawaida wanachodai ni masilahi yao binafsi ! siasa za bongo ni upotevu wa muda kwani wananchi wako so dormant na mara nyingi wanaishia kulalamika tuu .kikifika kipindi cha uchaguzi wanapitishiwa mswada wa kuwapa pilau " wanahongwa pilau " then wanawachagua kwa asilimia 80%.

muungano ukifa sisi tutafurahi sana. ufisadi utaishia huko huko bara. tutatangaza islamic state. ukizini ua, ukiiba kata mkono, ukifisadi chinja. wananchi wapewe haki ya uhuru. sisi hatuna raha na mapinduzi. maisha ya unguja na pemba ni magumu sana kutokana na sera za kibarabara. enzi za karume tuliweza kuwa na uchumi imara. karume alituletea maji na umeme hadi vijijini. tulijengewa na makazi mazuri huku kwetu vijijini. leo njaa tupu, ufisadi mtupu. hata nyumba alizoziwacha karume mpaka leo hazijamalizika kujengwa.
 
Ninauhakika kabisha kuwa Shein hakushinda ule uchaguzi, ni basi tuu Maalim aliamua kuepusha shari, hapo inaonesha ni kwa nini huu muungano upo kwa ajili ya kunufaisha watu wachache tuu.
 
Haya mengine leo nawaletea
Tunafahamu muungano wetu ni baina ya nchi 2 huru zilizo ungana,ambazo mke na mume tukazaa tunda la muungano,katika serikali ya muungano,katika kumpata rais mchakato mzima lazima akubalike sehemu zote mbili,yaani tanganyika na zanzibar.

Cha kushangaza sasa katika uchaguzi wa 2010,Lipumba ndio aliongoza zaidi tena asilimia kubwa hapa zanzibar ukilinganisha na kikwete,sasa tujiulize vipi huyu atakuwa rais wa tanzania ambaye hajakubalika upande mmoja ?

Hili ndio tatizo moja kubwa la muungano,na sio kero,ni makusudi hasa,haya maradhi ya muda mrefu sasa,mi sizani kuwa rais wa tanzania amekubalika ipasavyo.

Jengine pia rais wa zanzibar Shein eti yeye apate kura nyingi kuliko maalim seif wakati lipumba amepata zaid ya maalim seif hivi kweli haya ? Inamana lipumba anapendwa zaidi kuliko maalim seif hapa zanzibar ?

Sizani kuwa Rais wa tanzania na zanzibar wanakubalika ipasavyo kuwa rais,kutokana na mchakato mzima ulivyokwenda,

Mfumo wa Muungano ni mbovu,Zanzibar tumetawaliwa,tunawekewa rais ambaye sio chaguo la wananchi,na hili ndio tatizo kubwa ambalo wazanzbari linawakera,kutokana ubabe wa tanganyika kutumia dola kumueka mkereketwa wao wa ccm ,sio mteuzi wa wananchi.

Lazima tuuvunje muungano,Hakubaliki Rais wa TZ wala zanzbar,Tunapelekana tu hewawa bwana.

MUPOOOOOOOOOOOOOOOO
 
Sababu za kihistoria na kujuana ndio sifa za muungano wa tanganyika na Zanzibar.

sitaki kusikia Muungano tena kwenye katiba mpya kwa kuwa;

1. Gharama za kuwalipa viongozi wa zanzibar ni kubwa kwa kuwa wana ratio kubwa ya (viongozi: watu) ukilinganisha na bara. wapiga kura kama 400,000:5,000,000 hivi wamechagua wabunge kama 45 na viti maalumu lukuki.

2. Zanzibar wamesema LIVE bila chenga mafuta yao watajipaka wenyewe na tanganyika wasitegemee chochote.

3. Zanzibar wanalipa bei ndogo kwenye umeme ukifananisha na tanzania bara.

4. Zanzibar wana sheria zao kali kama za kumiliki ardhi, kusoma kwao, kuishi kule na kufanya biashara..Vyote hivi ni vizuizi lakini wao hawataki kwa wawekewe huku bara.

5. Matusi na Kejeli za viongozi waandamizi wa zanzibar katika maswala mengi ya kitaifa. NOTE: Kama unafuatilia siasa hapa nchini utafahamu haya. Sitaki kuyasema saana.

6. Bodi ya mikopo HESLB wanataka kulipiwa ada lakini "inaaminika" serikali ya SMZ haichangii chochote zaidi ya kuchangia wanafunzi wasomeshwe.

7. la mwisho ni aya au ibara mbalimbali za muswada mpya wa katiba unaoonekana kama una nia ya kuibeba zanzibar tuendelee kuungana nao wakati hawatufai hata tone. Kwa hili nimeona post nyingi hapa JF zinaongelea kwa hiyo sita-duplicate vitu hapa.


Pamoja!!
 
Sababu za kihistoria na kujuana ndio sifa za muungano wa tanganyika na Zanzibar.<br />
<br />
sitaki kusikia Muungano tena kwenye katiba mpya kwa kuwa;<br />
<br />
1. Gharama za kuwalipa viongozi wa zanzibar ni kubwa kwa kuwa wana ratio kubwa ya (viongozi: watu) ukilinganisha na bara. wapiga kura kama 400,000:5,000,000 hivi wamechagua wabunge kama 45 na viti maalumu lukuki.<br />
<br />
2. Zanzibar wamesema LIVE bila chenga mafuta yao watajipaka wenyewe na tanganyika wasitegemee chochote.<br />
<br />
3. Zanzibar wanalipa bei ndogo kwenye umeme ukifananisha na tanzania bara.<br />
<br />
4. Zanzibar wana sheria zao kali kama za kumiliki ardhi, kusoma kwao, kuishi kule na kufanya biashara..Vyote hivi ni vizuizi lakini wao hawataki kwa wawekewe huku bara.<br />
<br />
5. Matusi na Kejeli za viongozi waandamizi wa zanzibar katika maswala mengi ya kitaifa. NOTE: Kama unafuatilia siasa hapa nchini utafahamu haya. Sitaki kuyasema saana.<br />
<br />
6. Bodi ya mikopo HESLB wanataka kulipiwa ada lakini &quot;inaaminika&quot; serikali ya SMZ haichangii chochote zaidi ya kuchangia wanafunzi wasomeshwe.<br />
<br />
7. la mwisho ni aya au ibara mbalimbali za muswada mpya wa katiba unaoonekana kama una nia ya kuibeba zanzibar tuendelee kuungana nao wakati hawatufai hata tone. Kwa hili nimeona post nyingi hapa JF zinaongelea kwa hiyo sita-duplicate vitu hapa.<br />
<br />
<br />
Pamoja!!
<br />
<br />
Umeyaweka ya nini hapa kama hupendi kusikia? Yaani hupendi kusikia halafu unajisikilizisha!
 
Sababu za kihistoria na kujuana ndio sifa za muungano wa tanganyika na Zanzibar.

sitaki kusikia Muungano tena kwenye katiba mpya kwa kuwa;

1. Gharama za kuwalipa viongozi wa zanzibar ni kubwa kwa kuwa wana ratio kubwa ya (viongozi: watu) ukilinganisha na bara. wapiga kura kama 400,000:5,000,000 hivi wamechagua wabunge kama 45 na viti maalumu lukuki.

2. Zanzibar wamesema LIVE bila chenga mafuta yao watajipaka wenyewe na tanganyika wasitegemee chochote.

3. Zanzibar wanalipa bei ndogo kwenye umeme ukifananisha na tanzania bara.

4. Zanzibar wana sheria zao kali kama za kumiliki ardhi, kusoma kwao, kuishi kule na kufanya biashara..Vyote hivi ni vizuizi lakini wao hawataki kwa wawekewe huku bara.

5. Matusi na Kejeli za viongozi waandamizi wa zanzibar katika maswala mengi ya kitaifa. NOTE: Kama unafuatilia siasa hapa nchini utafahamu haya. Sitaki kuyasema saana.

6. Bodi ya mikopo HESLB wanataka kulipiwa ada lakini "inaaminika" serikali ya SMZ haichangii chochote zaidi ya kuchangia wanafunzi wasomeshwe.

7. la mwisho ni aya au ibara mbalimbali za muswada mpya wa katiba unaoonekana kama una nia ya kuibeba zanzibar tuendelee kuungana nao wakati hawatufai hata tone. Kwa hili nimeona post nyingi hapa JF zinaongelea kwa hiyo sita-duplicate vitu hapa.


Pamoja!!

Tuuvunje Muungano au tuuboreshe ili ku address hayo mapungufu?
 
kila chenye mwanzo hakikosi mwisho, utavunjika kwa wakati wake, hamna haja ya kulazimisha uvunjike leo
 
Muungano usivunjike, ila serikali ya Tanganyika itoke huko ilikojificha maana wazanzibar wameshaishtukia
 
Wavunjilie mbali shensi type, wazanzibari wamekuwa kula kulala tangu 1964, na wamepora ardhi zetu. Pia wameharibu harakati zetu za kujikomboa kwa kafu kufunga ndowa na sisemu.

Ukivunjika tu wafunge virago warudi makwao wanatutia joto na karaa. Wakishuhulikiwa na serikali huko kwao wasikimbilie kwetu.

Nenda mwana kwenda!
 
Back
Top Bottom