lulu za uru
JF-Expert Member
- Aug 7, 2015
- 2,225
- 2,772
Hayuko Sentro Sasa hivi Yuko Ziza ila anapwaya.....Babooo sijui Kenda wapiKahamia kwenye Tv kipindi kinaitwa sentro
Hayuko Sentro Sasa hivi Yuko Ziza ila anapwaya.....Babooo sijui Kenda wapiKahamia kwenye Tv kipindi kinaitwa sentro
Nimemzungumzia barbara hassanmusa hussein ni dada?
Ndio ni dadamusa hussein ni dada?
Hivi ukiwa mtangazaji wa jahazi lazima uwe mlevi?Musa Husein analewa ssna bar flan iko bwawani au Wazo mashamba ya Jesh
naona umekuja kujipigia promo hapa ila uko vizur mussa mimi mwenyewe shabiki yako..Yuko wapi huyu mwamba alifanya jahazi kuwa kipindi kizuri sana ni muda sijapata kumsikia popote pale..
Je alikuwepo kwenye msiba wa G??
Sio kweliKahamia kwenye Tv kipindi kinaitwa sentro
Kwann aliacha kazi?Mh babra alichaachana na clouds
Do you want a beer?Hivi ukiwa mtangazaji wa jahazi lazima uwe mlevi?
Hayuko Sentro Sasa hivi Yuko Ziza ila anapwaya.....Babooo sijui Kenda wapi
Yupo bado jahazi. Ila tu alikua kwenye maandalizi ya documentary flani kuhusu utalii, yupo na watu wa tanapa toka march. Hata gadner walikua pamoja huko kabla ya kurudi kqa ugonjwa na kulazwa.View attachment 2980251
Atakua voice over artist katika ile documentary yupo jahazi bado. Project ile ina watu wa clouds na wasafiAtuuh..Baba Hashbangangaa..Huyu jamaa ni mtangazaji bora sana..kinachonivutia kwake ni Uwezo wa Kujenga hoja na kuuliza maswali muhimu..ukimsikiliza lazima ucheke..Na ni bonge moja la MC...Jamaa anajua arudi bhana Jahazini..Ana'post yuko Mbuga za wanyama na Tanapa sijui ndo kahamia uko may be.
Atakua voice over artist katika ile documentary yupo jahazi bado. Project ile ina watu wa clouds na wasafi