Erythrocyte
JF-Expert Member
- Nov 6, 2012
- 118,500
- 220,150
Miongoni mwa viongozi wa CCM enzi za Jiwe, alikuwepo Mwanajeshi mmoja akiitwa Lubinga, kiburi cha madaraka cha huyu jamaa kilipitiliza, japo hakikuvuma sana.
Sasa tunauliza tu kwamba huyu jamaa yuko wapi leo na anafanya nini?
Sasa tunauliza tu kwamba huyu jamaa yuko wapi leo na anafanya nini?