Bila bila
JF-Expert Member
- Dec 20, 2016
- 21,575
- 37,964
- Thread starter
- #61
SamĆ hani Mkuu Mimi ni mmoja wa waliokupinga. Leo Nakiri ulikuwa sahihi Sana.Kipindi ameondolewa Dodoma watu wakalalamika humu, probably wenye maslahi nae, niliandika humu the guy si overrated.
Mtaka ana haiba ya kupendeza, lakini haimaanishi ni kiongozi mzuri, tatizo la waTz huwa wanadhani kiongozi anayefaa ni yule wanaye mpenda "kimahaba". š