kimbomba25
JF-Expert Member
- Jan 27, 2017
- 269
- 529
Unawafahamu watu wangapi walioridhika na kikokotoo?mie nadhani kwa muajiriwa mpya hakuna haja ya kusumbuana na serikali. Kama huridhiki na mshahara na kikokotoo, si uwe muungwana tu, uachane na hiyo kazi na uende kutafuta na kufanya ile ambayo utafurahia, ili uwape fursa wale ambao wameridhika na sheria ya kikokotoo iliyopo waendelee na kazi 🐒
mbona ni rahisi tu lakini unajitahidi kuifanya kua ngumu 🐒