kotinkarwak
JF-Expert Member
- Aug 5, 2010
- 376
- 115
I know it is heady to mention such a a figure, na nikiangalia kiwango ambacho mimi mwenyewe ninaweza kuwa nacho bado in 5Million TSH kwa hivyo will come clean on my plans.
Elimu has been mentioned a few times in this forum lakini bado jukumu la kuendeleza elimu imeachiwa serikali na hivi sasa private entities wametuletea mchanganyiko wa syllabus kutoka kona zote za dunia. Nikizingatia hayo mawili, naona kuwa panakosekana mwelekeo madhubuti kujua ni ipi system inatumika Tanzania na je changamoto zipi zinatumika kuhakikisha kizazi kijacho kinapewa elimu sahihi na itakayohitajika in the coming future.
Education costs zinatafuna at least 25% of most families take home money ya mshahara na njia endelevu basi inahitajika katika ku'invest hii pesa on our childrens behalf.
Hiyo ndio personal brief on the idea, but here follows the figures na mapendekezo.
Kuwekeza 5M kwenye project itakayosisimua sector ya elimu kwa kuwaunganisha stakeholders approx 2500 ambao pia watawekeza kiasi hicho cha pesa. Capital base kama hii inaiwezesha hiyo jumuiya kufanya mambo makubwa katika elimu, kufungua independent schools ambazo zitatoza fees ya bei nafuu ili kuhakikisha kuwa uwezo wa kuipata elimu bora haitakuwa limited kwa watu wachache.
Katika kuwekeza, patakuwa na malengo tofauti kati ya hao wawekezaji, capital investors labda wanatarajia capital returns + a profit margin, wawekezaji wengine wanatarajia return of capital na wengine pia kuwa wamechangia education for the country hence no real need of the capital return.
Kumbadirisha stakeholder from one type to another ina/ita tegemea performance of the whole project hence from a management point of view, it will be assumed kuwa return + margins of profit zinatarajiwa.
Stakeholder mwingine pia anaweza kuwa anaji'commit kuwekeza hizi pesa, mwanae apate elimu pale na mwishowe akaitoa hiyo capital (minus some deductions plus normal fees as usual) hapa lengo likiwa ni ku'capitalize the project for further investments at the given time, kwa hiyo, hiyo investment ya stakeholder huyu itakuwa pia imezaa matunda mengi for the jumuiya.
Michango katika thread hii itasaidia kuelewa viewpoints za walio wengi kwa mfumo kama huu wa collective bringing resources for same goals. Pia naomba tuwe na assumptions zifuatazo
1). Management structures zipo
2). Security of investment ipo
3). Audit facilities zipo ku'manage hii business
Hata kama assumption ni kuwa issues hapo juu zipo, pia unaweza kuchangia mapungufu/ issues unazoweza kuziona.
Elimu has been mentioned a few times in this forum lakini bado jukumu la kuendeleza elimu imeachiwa serikali na hivi sasa private entities wametuletea mchanganyiko wa syllabus kutoka kona zote za dunia. Nikizingatia hayo mawili, naona kuwa panakosekana mwelekeo madhubuti kujua ni ipi system inatumika Tanzania na je changamoto zipi zinatumika kuhakikisha kizazi kijacho kinapewa elimu sahihi na itakayohitajika in the coming future.
Education costs zinatafuna at least 25% of most families take home money ya mshahara na njia endelevu basi inahitajika katika ku'invest hii pesa on our childrens behalf.
Hiyo ndio personal brief on the idea, but here follows the figures na mapendekezo.
Kuwekeza 5M kwenye project itakayosisimua sector ya elimu kwa kuwaunganisha stakeholders approx 2500 ambao pia watawekeza kiasi hicho cha pesa. Capital base kama hii inaiwezesha hiyo jumuiya kufanya mambo makubwa katika elimu, kufungua independent schools ambazo zitatoza fees ya bei nafuu ili kuhakikisha kuwa uwezo wa kuipata elimu bora haitakuwa limited kwa watu wachache.
Katika kuwekeza, patakuwa na malengo tofauti kati ya hao wawekezaji, capital investors labda wanatarajia capital returns + a profit margin, wawekezaji wengine wanatarajia return of capital na wengine pia kuwa wamechangia education for the country hence no real need of the capital return.
Kumbadirisha stakeholder from one type to another ina/ita tegemea performance of the whole project hence from a management point of view, it will be assumed kuwa return + margins of profit zinatarajiwa.
Stakeholder mwingine pia anaweza kuwa anaji'commit kuwekeza hizi pesa, mwanae apate elimu pale na mwishowe akaitoa hiyo capital (minus some deductions plus normal fees as usual) hapa lengo likiwa ni ku'capitalize the project for further investments at the given time, kwa hiyo, hiyo investment ya stakeholder huyu itakuwa pia imezaa matunda mengi for the jumuiya.
Michango katika thread hii itasaidia kuelewa viewpoints za walio wengi kwa mfumo kama huu wa collective bringing resources for same goals. Pia naomba tuwe na assumptions zifuatazo
1). Management structures zipo
2). Security of investment ipo
3). Audit facilities zipo ku'manage hii business
Hata kama assumption ni kuwa issues hapo juu zipo, pia unaweza kuchangia mapungufu/ issues unazoweza kuziona.