RUKUKU BOY
JF-Expert Member
- Sep 8, 2015
- 1,479
- 1,674
Hello mambers,
Naomba sana msaada wenu, niliomba kazi kwenye shirika moja la wa Norway, juzi nikatumiwa email kuwa nimekuwa shortlisted hivyo nitafanya interview via zoom.
Naomba kuuliza maana nilipewa link lakini nki-click ata hai-load. Na je unaweza kufanya zoom Kwa kutumia simu na sio computer? Na je itabidi uwe na Zoom app kwenye simu Yako?
Na je Meeting ID, na passcode zinamaanisha Nini?
Nisaidie wakuu nisije kuhaibika mbele ya wa Norway.
Naomba sana msaada wenu, niliomba kazi kwenye shirika moja la wa Norway, juzi nikatumiwa email kuwa nimekuwa shortlisted hivyo nitafanya interview via zoom.
Naomba kuuliza maana nilipewa link lakini nki-click ata hai-load. Na je unaweza kufanya zoom Kwa kutumia simu na sio computer? Na je itabidi uwe na Zoom app kwenye simu Yako?
Na je Meeting ID, na passcode zinamaanisha Nini?
Nisaidie wakuu nisije kuhaibika mbele ya wa Norway.