Msaada kwa anayejua utaratibu wa kumpeleka mtu kwenye wodi ya vichaa

Bongotunacheza

JF-Expert Member
Dec 7, 2018
750
1,722
Wakuu heshima kwenu, Nina ndugu yangu yupo Mwanza mjini. He is a black sheep in our family. MATENDO Na vituko anavyo vifanya tumejidhihirisha kwamba ana matatizo ya akili.

Amevuta bangi Kwa Muda mrefu Sana ( Thanks God hatumii cocaine)

Huko Mwanza ni Kwa Bibi kizaa mama. Nyumbani kwetu ni Dar ES salaam.

Mwanza alienda mwenyewe, Na hapo Kwa Bibi kizaa mama amezingua Sasa hivi anakaa Kwa Bibi yetu WA kambo ( mke mwingine wa babu/ can u imagine this kind of disgrace and embarrassment to our family)

Huko nako amekuwa ni matukio juu ya matukio. Tumempa mafuta ya Mwamposa Hadi tumekoma. Tumeenda karibu Kila Mahali all in vain.

Kibaya Zaidi ni kwamba ameanza tabia ya wizi, tunahofia anaweza kuuwawa.

So Mimi nimesuggest kwamba apelekwe kwenye wodi ya vichaa Kwa ajili ya usalama wake akae huko hata Kwa mwaka mmoja.

Kwa mienendo yake najua akipmwa akili lazima atakutwa Tu something is missing in his head.

Please Kwa mwenye ufahamu Na experience, Ni upi utaratibu wa kumpeleka mtu wodi ya vichaa.

Nini zitakua faida Na hasara?

Msaada wenu tafadhali
 
Nipe uzoefu mkuu. Mlimpeleka hospitali?
Hili la kumpa mafuta ya Mwamposa nalo limewafanya na nyie muonekane kama hamna akili timamu! BTW kama tatizo ni bangi imemfanya hivyo basi kuna hospital centers zina-deal na watu wa aina hii. Kuna jamaa yangu alumpeleka mdogo wake lakini sikukumbuki alimpeleka wapi. Yeye tatizo lilikuwa bangi.
 
Wakuu heshima kwenu, Nina ndugu yangu yupo Mwanza mjini. He is a black sheep in our family. MATENDO Na vituko anavyo vifanya tumejidhihirisha kwamba ana matatizo ya akili.

Amevuta bangi Kwa Muda mrefu Sana ( Thanks God hatumii cocaine)

Huko Mwanza ni Kwa Bibi kizaa mama. Nyumbani kwetu ni Dar ES salaam.

Mwanza alienda mwenyewe, Na hapo Kwa Bibi kizaa mama amezingua Sasa hivi anakaa Kwa Bibi yetu WA kambo ( mke mwingine wa babu/ can u imagine this kind of disgrace and embarrassment to our family)

Huko nako amekuwa ni matukio juu ya matukio. Tumempa mafuta ya Mwamposa Hadi tumekoma. Tumeenda karibu Kila Mahali all in vain.

Kibaya Zaidi ni kwamba ameanza tabia ya wizi, tunahofia anaweza kuuwawa.

So Mimi nimesuggest kwamba apelekwe kwenye wodi ya vichaa Kwa ajili ya usalama wake akae huko hata Kwa mwaka mmoja.

Kwa mienendo yake najua akipmwa akili lazima atakutwa Tu something is missing in his head.

Please Kwa mwenye ufahamu Na experience, Ni upi utaratibu wa kumpeleka mtu wodi ya vichaa.

Nini zitakua faida Na hasara?

Msaada wenu tafadhali
Dodoma pale kuna hospitali maarufu sana inaitwa MILEMBE jaribuni kumpeleka
 
Daktari ndiye anaye amua kama mgonjwa ana matatizo ya akili au la. Nyie kazi yenu ni kumfikisha hospitali.

Maana wabongo hamna dogo nyie, mtu akiwa na mawazo tofauti na jamii basi inaonekana kichaa.
 
Wakuu heshima kwenu, Nina ndugu yangu yupo Mwanza mjini. He is a black sheep in our family. MATENDO Na vituko anavyo vifanya tumejidhihirisha kwamba ana matatizo ya akili.

Amevuta bangi Kwa Muda mrefu Sana ( Thanks God hatumii cocaine)

Huko Mwanza ni Kwa Bibi kizaa mama. Nyumbani kwetu ni Dar ES salaam.

Mwanza alienda mwenyewe, Na hapo Kwa Bibi kizaa mama amezingua Sasa hivi anakaa Kwa Bibi yetu WA kambo ( mke mwingine wa babu/ can u imagine this kind of disgrace and embarrassment to our family)

Huko nako amekuwa ni matukio juu ya matukio. Tumempa mafuta ya Mwamposa Hadi tumekoma. Tumeenda karibu Kila Mahali all in vain.

Kibaya Zaidi ni kwamba ameanza tabia ya wizi, tunahofia anaweza kuuwawa.

So Mimi nimesuggest kwamba apelekwe kwenye wodi ya vichaa Kwa ajili ya usalama wake akae huko hata Kwa mwaka mmoja.

Kwa mienendo yake najua akipmwa akili lazima atakutwa Tu something is missing in his head.

Please Kwa mwenye ufahamu Na experience, Ni upi utaratibu wa kumpeleka mtu wodi ya vichaa.

Nini zitakua faida Na hasara?

Msaada wenu tafadhali
Sasa kati ya yeye nanyie mnayempa mafuta ya mwamposa nani anastahili kutangulia wodi ya vichaa??
 
Kuna mjomba wangu karuhusiwa kama wiki tatu zimepita, na yeye dish liliyumba kidogo, alipelekwa bugando akachekiwa ikagindulika ana tatizo la akili.

Wodi ya wenye matatizo ya akili ipo kwenye matengenezo bugando hivyo wapo bukumbi kwa sasa, nilikuwa nikienda kumwona, daah kule kuna walorukwa akili kwa sababu mbalimbali na madawa ya kulevya kama sababu pia.

Hivyo panatumikà kama Rehab centre, wanapiga dawa zao na chakula wanapewa, sema anko tulikuwa tukimpelekea chakula. Ila bei ya matibabu hayo sifahamu.
 
Wakuu heshima kwenu, Nina ndugu yangu yupo Mwanza mjini. He is a black sheep in our family. MATENDO Na vituko anavyo vifanya tumejidhihirisha kwamba ana matatizo ya akili.

Amevuta bangi Kwa Muda mrefu Sana ( Thanks God hatumii cocaine)

Huko Mwanza ni Kwa Bibi kizaa mama. Nyumbani kwetu ni Dar ES salaam.

Mwanza alienda mwenyewe, Na hapo Kwa Bibi kizaa mama amezingua Sasa hivi anakaa Kwa Bibi yetu WA kambo ( mke mwingine wa babu/ can u imagine this kind of disgrace and embarrassment to our family)

Huko nako amekuwa ni matukio juu ya matukio. Tumempa mafuta ya Mwamposa Hadi tumekoma. Tumeenda karibu Kila Mahali all in vain.

Kibaya Zaidi ni kwamba ameanza tabia ya wizi, tunahofia anaweza kuuwawa.

So Mimi nimesuggest kwamba apelekwe kwenye wodi ya vichaa Kwa ajili ya usalama wake akae huko hata Kwa mwaka mmoja.

Kwa mienendo yake najua akipmwa akili lazima atakutwa Tu something is missing in his head.

Please Kwa mwenye ufahamu Na experience, Ni upi utaratibu wa kumpeleka mtu wodi ya vichaa.

Nini zitakua faida Na hasara?

Msaada wenu tafadhali
lolz pengine tatizo sio bangi
 
Gharama zinabadilika inabidi apimwe, akianza matibabu ndo mtafahamu
Kama mpo mbali mtakua mnalipia kama mtu wa hostel tu ila wengine wanatorokaga milembe

Wakati mwingine solution inayo baki ni kumwachia Mungu tu... Kama mmejaribu sana
 
Back
Top Bottom