Habari,
Naomba msaada/Muongozo jinsi ya kufikisha rufaa kwa Rais.
Nilipeleka rufaa tume ya utumishi wakaikataa, zaidi nimeongezewa kosa ambalo silitambui.
Na Mwajiri hakufuata kanuni za Utumishi, niliweka hayo malalamiko kwenye rufaa ya mwanzo ila hawajajibu wameconclude kuwa adhabu niliyopewa ni sawa.
Naomba kujua rufaa kwa Rais inabidi niende Ikulu au natumia njia gani.
Naomba msaada/Muongozo jinsi ya kufikisha rufaa kwa Rais.
Nilipeleka rufaa tume ya utumishi wakaikataa, zaidi nimeongezewa kosa ambalo silitambui.
Na Mwajiri hakufuata kanuni za Utumishi, niliweka hayo malalamiko kwenye rufaa ya mwanzo ila hawajajibu wameconclude kuwa adhabu niliyopewa ni sawa.
Naomba kujua rufaa kwa Rais inabidi niende Ikulu au natumia njia gani.