Vichekesho
JF-Expert Member
- Mar 28, 2024
- 204
- 382
Wakati mashabiki wenzangu wa Simba tukiendelea kusherehekea ushindi huu, tuweke akilinini mwetu ukweli huu kuwa tajiri akizira tunayatimba.
Atanunua usedIfike kipindi sasa Mo atununulie na private jet, tunakuwaje club ya kwanza tajiri hatuna mwewe wetu??
Hata hiyo mbona fresh tu.Atanunua used
Na mnavyojua kutukanaHata ikiwa ya 6 fresh tuu tupo nayo mpk ishuke daraja...
😀 😀 😀 😀 unatusingizia jirani..Na mnavyojua kutukana
Mnang'oa na viti 😂😀 😀 😀 😀 unatusingizia jirani..
Ushindi upi mnaosherehekea?Wakati mashabiki wenzangu wa Simba tukiendelea kusherehekea ushindi huu, tuweke akilinini mwetu ukweli huu kuwa tajiri akizira tunayatimba.
View attachment 2967785
Kwani ww unatakaje?Ushindi upi mnaosherehekea?
Simba ina utajiri upi? Au utajiri wa Mwamedi ndio utajiri wa Simba?
Kwanini akizira mnaendaga kupiga magoti?Kwamba hakuna wawekezaji wengine??akili za utopoll buana
Sasa ishuke daraja kabisa kama stand unitedWakati mashabiki wenzangu wa Simba tukiendelea kusherehekea ushindi huu, tuweke akilinini mwetu ukweli huu kuwa tajiri akizira tunayatimba.
View attachment 2967785
Kuna watu hamfai kupewa kalamu,maana mtaandika hata ujinga mnaofanyiwa na bwana zenu!Wakati mashabiki wenzangu wa Simba tukiendelea kusherehekea ushindi huu, tuweke akilinini mwetu ukweli huu kuwa tajiri akizira tunayatimba.
View attachment 2967785