Utabiri: Mechi ya Yanga na Simba ya tarehe 20/04/24 inaweza isifanyike kwasababu ambazo hazitaeleweka kwa mashabiki wa soka au mchezo kuvunjika

Salary Slip

JF-Expert Member
Apr 3, 2012
47,090
144,541
Katika mechi iyayo ya Simba na Yanga, yoyote anaweza kupoteza au wakatoa sare japo wengi wanaona Simba ana nafasi kubwa ya kupoteza huo mchezo. Kwenye soka, lolote linaweza kutokea na ndio maana Simba hii dhaifu bado naipa nafasi ya kuweza kushinda au hata kutoa sare japo hata mashabiki wenyewe wa Simba ni kama wameshakata tamaa.

Hata hivyo, ni hatari zaidi kwa mustakabali wa Simba iwapo Simba itafungwa kuliko kama Yanga akifungwa. Kwa lugha nyinine, Simba akifungwa, madhara yanaweza kuwa makubwa wakati Yanga akifungwa, itachukuliwa tu ni moja ya matokeo ya mchezo wa soka na Yaga itabaki salama.

Nayasema haya kutokana na mwenendo mzima wa timu ya Simba kwenye ligi na katika mechi za kimataifa hasa katika michezo ya hivi karibuni na reaction ya mashabiki wa Simba kwa viongozi wa Club na mfddhili wa club yao, MO Dewji.

Hivyo kutokana na hofu na zaidi ili kuondoa aibu na kunusura hali ya mambo katika club mojawapo, sitashangaa kuona mechi ikishindikana kuchezwa na mtu kupewa point za bure na baadae issue nzima kumalizwa kiaina aina au mchezo kuvunjika kwa timu mojawapo kuweka mpira kwapani ili tu kuoko club mojawapo na viongozi wake ambao mpaka sasa wako katika hali mbaya kutokana na pessure na kelele za mashabiki wa timu yao.

Msije kesuma sikuwaambia.
 
Kutokana na siasa za CCM mmiliki halali wa Simba na Yanga, mchezo utaisha kwa sare au Simba kushinda.

Nimemaliza.
Mimi ni uto lia lia na nakuunga mkono. Simba ina nafasi kubwa ya kushinda derby maana wachezaji watafia uwanjani, watacheza kwa jihadi kubwa maana hawana cha kupoteza sababu kombe lishaenda jangwani kwa matokeo ya leo.

Yanga wasiwadharau , Simba ni timu kubwa iliyopoteza mwelekeo tu na wanaweza kuamkia mechi na Yanga hadi kuchukua kombe, Yanga wahakikishe wanacheza ile staili walicheza na Mamelodi ya kukaba njia na wakabie kwa nguvu kwenye half ya Simba mechi nzima, wasiwape Simba uhuru wa kuposess mpira sababu possession itawapa Simba morali, dawa Mzize na Musonda wote waanze na waambiwe wakabe sana kuanzia box ya Simba maana hilo litaivuruga sana Simba , watashindwa kupanga mashambulizi na watapoteana na kuuwawa kirahisi tu.
 
Kutokana na siasa za CCM mmiliki halali wa Simba na Yanga, mchezo utaisha kwa sare au Simba kushinda.

Nimemaliza.
Kispika na viongozi wa 5imba waliokalia kimya kauli ya Kispika kuhusu kushutumu Serikali safari ya South Africa ya mashabiki wa Yanga ndio wakati wao huu kulipa gharama,hakuna atakaeikoa 5imba kutokana na kashfa zile.
 
Mimi ni uto lia lia na nakuunga mkono. Simba ina nafasi kubwa ya kushinda derby maana wachezaji watafia uwanjani, watacheza kwa jihadi kubwa maana hawana cha kupoteza sababu kombe lishaenda jangwani kwa matokeo ya leo.

Yanga wasiwadharau , Simba ni timu kubwa iliyopoteza mwelekeo tu na wanaweza kuamkia mechi na Yanga hadi kuchukua kombe, Yanga wahakikishe wanacheza ile staili walicheza na Mamelodi ya kukaba njia na wakabie kwa nguvu kwenye half ya Simba mechi nzima, wasiwape Simba uhuru wa kuposess mpira sababu possession itawapa Simba morali, dawa Mzize na Musonda wote waanze na waambiwe wakabe sana kuanzia box ya Simba maana hilo litaivuruga sana Simba , watashindwa kupanga mashambulizi na watapoteana na kuuwawa kirahisi tu.
Washindwe kufia kwa Mashujaa na Ihefu ndio waje kufia kwa Yanga,kwa timu gani haswa waliyonayo? Tulishasema hatutarudia tena ule ujinga wa miaka ya 1980s,koloizdad akiingia kwenye mfumo wetu 5+ zinamuhusu,atucheki na kima safari hii na anaewaponza ni huyo Kispika wao. Tushaomba match hii tupewe tena watu wa Temeke halafu mtaona kama tutacheka na kima kono la nyani linakuja tena.
 
Mimi ni uto lia lia na nakuunga mkono. Simba ina nafasi kubwa ya kushinda derby maana wachezaji watafia uwanjani, watacheza kwa jihadi kubwa maana hawana cha kupoteza sababu kombe lishaenda jangwani kwa matokeo ya leo.

Yanga wasiwadharau , Simba ni timu kubwa iliyopoteza mwelekeo tu na wanaweza kuamkia mechi na Yanga hadi kuchukua kombe, Yanga wahakikishe wanacheza ile staili walicheza na Mamelodi ya kukaba njia na wakabie kwa nguvu kwenye half ya Simba mechi nzima, wasiwape Simba uhuru wa kuposess mpira sababu possession itawapa Simba morali, dawa Mzize na Musonda wote waanze na waambiwe wakabe sana kuanzia box ya Simba maana hilo litaivuruga sana Simba , watashindwa kupanga mashambulizi na watapoteana na kuuwawa kirahisi tu.

Mnafiki kolozdad wewe, simba akishinda mechi inayokuja ni kwa sababu ya maelezo kutoka juu, eti achukue ubingwa mavi ya kuku. Last season si alishinda mechi ya pili je alichukua nini? Wao kama wanayo hiyo spirit kama unavyojinasibu tungeona kwa ihefu na mashujaa
 
Katika mechi iyayo ya Simba na Yanga, yoyote anaweza kupoteza au wakatoa sare japo wengi wanaona Simba ana nafasi kubwa ya kupoteza huo mchezo. Kwenye soka, lolote linaweza kutokea na ndio maana Simba hii dhaifu bado naipa nafasi ya kuweza kushinda au hata kutoa sare japo hata mashabiki wenyewe wa Simba ni kama wameshakata tamaa.

Hata hivyo, ni hatari zaidi kwa mustakabali wa Simba iwapo Simba itafungwa kuliko kama Yanga akifungwa. Kwa lugha nyinine, Simba akifungwa, madhara yanaweza kuwa makubwa wakati Yanga akifungwa, itachukuliwa tu ni moja ya matokeo ya mchezo wa soka na Yaga itabaki salama.

Nayasema haya kutokana na mwenendo mzima wa timu ya Simba kwenye ligi na katika mechi za kimataifa hasa katika michezo ya hivi karibuni na reaction ya mashabiki wa Simba kwa viongozi wa Club na mfddhili wa club yao, MO Dewji.

Hivyo kutokana na hofu na zaidi ili kuondoa aibu na kunusura hali ya mambo katika club mojawapo, sitashangaa kuona mechi ikishindikana kuchezwa na mtu kupewa point za bure na baadae issue nzima kumalizwa kiaina aina au mchezo kuvunjika kwa timu mojawapo kuweka mpira kwapani ili tu kuoko club mojawapo na viongozi wake ambao mpaka sasa wako katika hali mbaya kutokana na pessure na kelele za mashabiki wa timu yao.

Msije kesuma sikuwaambia.
Kitakachoiua Simba ni bàadhi ya Wachezaji waandamizi kutaka kuondoka na mashabiki kuwakatia tamaa Hadi kuanza kuwatolea maneno machafu.
 
Mnafiki kolozdad wewe, simba akishinda mechi inayokuja ni kwa sababu ya maelezo kutoka juu, eti achukue ubingwa mavi ya kuku. Last season si alishinda mechi ya pili je alichukua nini? Wao kama wanayo hiyo spirit kama unavyojinasibu tungeona ya ihefu na mashujaa
Kolo hana timu kwa kweli.
 
Mimi ni uto lia lia na nakuunga mkono. Simba ina nafasi kubwa ya kushinda derby maana wachezaji watafia uwanjani, watacheza kwa jihadi kubwa maana hawana cha kupoteza sababu kombe lishaenda jangwani kwa matokeo ya leo.

Yanga wasiwadharau , Simba ni timu kubwa iliyopoteza mwelekeo tu na wanaweza kuamkia mechi na Yanga hadi kuchukua kombe, Yanga wahakikishe wanacheza ile staili walicheza na Mamelodi ya kukaba njia na wakabie kwa nguvu kwenye half ya Simba mechi nzima, wasiwape Simba uhuru wa kuposess mpira sababu possession itawapa Simba morali, dawa Mzize na Musonda wote waanze na waambiwe wakabe sana kuanzia box ya Simba maana hilo litaivuruga sana Simba , watashindwa kupanga mashambulizi na watapoteana na kuuwawa kirahisi tu.
Kwanini hawakufia uwanjani kwenye mechi ya Mashujaa na Ihefu?
 
Katika mechi iyayo ya Simba na Yanga, yoyote anaweza kupoteza au wakatoa sare japo wengi wanaona Simba ana nafasi kubwa ya kupoteza huo mchezo. Kwenye soka, lolote linaweza kutokea na ndio maana Simba hii dhaifu bado naipa nafasi ya kuweza kushinda au hata kutoa sare japo hata mashabiki wenyewe wa Simba ni kama wameshakata tamaa.

Hata hivyo, ni hatari zaidi kwa mustakabali wa Simba iwapo Simba itafungwa kuliko kama Yanga akifungwa. Kwa lugha nyinine, Simba akifungwa, madhara yanaweza kuwa makubwa wakati Yanga akifungwa, itachukuliwa tu ni moja ya matokeo ya mchezo wa soka na Yaga itabaki salama.

Nayasema haya kutokana na mwenendo mzima wa timu ya Simba kwenye ligi na katika mechi za kimataifa hasa katika michezo ya hivi karibuni na reaction ya mashabiki wa Simba kwa viongozi wa Club na mfddhili wa club yao, MO Dewji.

Hivyo kutokana na hofu na zaidi ili kuondoa aibu na kunusura hali ya mambo katika club mojawapo, sitashangaa kuona mechi ikishindikana kuchezwa na mtu kupewa point za bure na baadae issue nzima kumalizwa kiaina aina au mchezo kuvunjika kwa timu mojawapo kuweka mpira kwapani ili tu kuoko club mojawapo na viongozi wake ambao mpaka sasa wako katika hali mbaya kutokana na pessure na kelele za mashabiki wa timu yao.

Msije kesuma sikuwaambia.
Simba apigwe kama punda
 
Back
Top Bottom