Uongozi wa simba msisubirie fursa iwafuate itafuteni- Yanga walikua na mpango wa kupeleka mashabiki south baada tu ya draw ya robo

Masikio Masikio

JF-Expert Member
Apr 12, 2023
1,940
3,676
Nimeona mashabiki wa simba wanalalamika sana kwamba Yanga inapendelewa kitu ambacho mashabiki wengi wa simba hawakitambui fursa inatafutwa haikufuati

Yanga kabla ya mechi ya mzunguko wa kwanza vs mamelodi tayari walishakuwa na mkakati wa baadhi ya mashabiki wachache kwenda south afrika na hawakuishia hapo wakapeleka ombi serekalini

Uongozi wa simba hawakua na mkakati wowote ule wa kupeleka mashabiki misri leo hii serekali imekubali kuipa Yanga nguvu wananalamika inapendelewa hapana uongozi wao umelala usingizi wa pono yaani serekali ndo ikufuate ikuombe kupeleka mashabiki misri hapana usipokua mtu wa kujiongeza utafeli sana kwenye maisha au utasubiri sana

Uongozi wa simba unatakiwa ufahamu fursa inatafutwa na ni mara chache sana inakufuata- simba walishacheza mara tofauti South Afrika robo fainal (vs kaizer chiefs, na orland pirates ) lakin hawajawah kuwaomba msaada kwa serekali wa kupeleka mashabiki wao south afrika
 
Makolo Yana akili basi,ni kichwa cha mwendawazimu hili timu na CAF wamedhibitisha.
JamiiForums-1701649393.jpg
 
Nimeona mashabiki wa simba wanalalamika sana kwamba Yanga inapendelewa kitu ambacho mashabiki wengi wa simba hawakitambui fursa inatafutwa haikufuati..
Hebu acheni upumbavu Aisee! Mna pesa ya kuwalipia mashabiki waingie Bure uwanjani, halafu ukaombe msaada serikalini wa kusafirisha mashabiki!? Kwa nini usiwalipie Tena!? Hii nchi kweli inaongozwa kwa rimoti na yule mzurulaji wa zamani!
 
Hebu acheni upumbavu Aisee! Mna pesa ya kuwalipia mashabiki waingie Bure uwanjani, halafu ukaombe msaada serikalini wa kusafirisha mashabiki!? Kwa nini usiwalipie Tena!? Hii nchi kweli inaongozwa kwa rimoti na yule mzurulaji wa zamani!
Hukukatazwa kwenda kuomba
Kwanini Yanga ombi lao kukubaliwa muanze kulalamika kwamba wanapendelewa
 
Nimeona mashabiki wa simba wanalalamika sana kwamba Yanga inapendelewa kitu ambacho mashabiki wengi wa simba hawakitambui fursa inatafutwa haikufuati

Yanga kabla ya mechi ya mzunguko wa kwanza vs mamelodi tayari walishakuwa na mkakati wa baadhi ya mashabiki wachache kwenda south afrika na hawakuishia hapo wakapeleka ombi serekalini

Uongozi wa simba hawakua na mkakati wowote ule wa kupeleka mashabiki misri leo hii serekali imekubali kuipa Yanga nguvu wananalamika inapendelewa hapana uongozi wao umelala usingizi wa pono yaani serekali ndo ikufuate ikuombe kupeleka mashabiki misri hapana usipokua mtu wa kujiongeza utafeli sana kwenye maisha au utasubiri sana

Uongozi wa simba unatakiwa ufahamu fursa inatafutwa na ni mara chache sana inakufuata- simba walishacheza mara tofauti south afrika robo fainal (vs kaizer chiefs, na orland pirates ) lakin hawajawah kuwaomba msaada kwa serekali wa kupeleka mashabiki wao south afrika
We ni mjinga ka walivyo andika wajinga wengne kwakua leo ni siku ya WAJINGA!!!!
 
Ukishabikia sanaaaa Simba na Yanga. kichwani lazima zipungue.

KUNA VIJANA WENGI MNO AKILI ZIMEWARUKA KABISA, HAWANA FUTURE WAO NI KUWAZA SIMBA NA YANGA TU.....

MSIPOTEZE MUDA NA UPUUZI WA SIMBA NA YANGA.
HIZO TIMU NI VYOMBO VYA PROPAGANDA VYA SELIKALI KUWAPOTEZA MABOYA.

MY MESSAGE
MWENYE MASIKIO NA ASIKIE
 
Nimeona mashabiki wa simba wanalalamika sana kwamba Yanga inapendelewa kitu ambacho mashabiki wengi wa simba hawakitambui fursa inatafutwa haikufuati

Yanga kabla ya mechi ya mzunguko wa kwanza vs mamelodi tayari walishakuwa na mkakati wa baadhi ya mashabiki wachache kwenda south afrika na hawakuishia hapo wakapeleka ombi serekalini

Uongozi wa simba hawakua na mkakati wowote ule wa kupeleka mashabiki misri leo hii serekali imekubali kuipa Yanga nguvu wananalamika inapendelewa hapana uongozi wao umelala usingizi wa pono yaani serekali ndo ikufuate ikuombe kupeleka mashabiki misri hapana usipokua mtu wa kujiongeza utafeli sana kwenye maisha au utasubiri sana

Uongozi wa simba unatakiwa ufahamu fursa inatafutwa na ni mara chache sana inakufuata- simba walishacheza mara tofauti south afrika robo fainal (vs kaizer chiefs, na orland pirates ) lakin hawajawah kuwaomba msaada kwa serekali wa kupeleka mashabiki wao south afrika

Umeanza kushabikia mpira mwaka huu? Au matukio ya nyuma huwa hukumbuki?
 
nini cha ajabu mbon elimu bure huku serikali ikiendelea kuomba misaada
Elimu ni kitu cha lazima kwa hiyo kuwa Bure ni ile wananchi wote waweze kumudu au uwezo wako wa kuelewa ni finyu!?. Hiyo nyingine ni starehe tu, kama huna uwezo nayo unaachana nayo. Unataka starehe kwa kulipiwa!? Mwisho utapakatwa.
 
Ushahidi ni mwingi sana wa serikali kuiona utopolo ni timu yao. Viongozi simba wapambane tu kivyao , serikali wanaiona utopolo kama timu ya taifa na hata katazo la waziri la kuvaa jezi za wapinzani lililenga kuwasapot utopolo.
 
Rage alivowaita mbumbumbu alikuwa mbele ya wakati
Team haijaomba support wenzao wameomba lakini wanataka walalamike kwa kutopewa msaada ambao hawakuomba

Halafu hawajui kijiografia kwenda Misri na bus na safari ngumu au tuseme isiyowezekana labda utumie wiki 2 njiani

Lakini kwa Madiba bondeni ni chap tu siku 2 umeingia jburg

Mbumbumbu akili hawana
 
Rage alivowaita mbumbumbu alikuwa mbele ya wakati
Team haijaomba support wenzao wameomba lakini wanataka walalamike kwa kutopewa msaada ambao hawakuomba

Halafu hawajui kijiografia kwenda Misri na bus na safari ngumu au tuseme isiyowezekana labda utumie wiki 2 njiani

Lakini kwa Madiba bondeni ni chap tu siku 2 umeingia jburg

Mbumbumbu akili hawana
Sudan kuna vita unapita wapi sababu misri kwa kutoka kwetu lazima upite sudan
 
Back
Top Bottom