johnthebaptist
JF-Expert Member
- May 27, 2014
- 84,938
- 143,539
Mbunge wa Nzega Vijijini Dr Kigwangalla amesema kampuni ya HK Group sasa iko tayari kuwekeza katika Vilabu vikubwa nchini Simba SC na Dar Young Africans
Ikumbukwe Mwekezaji Mo Dewji amesema ameanza kukata tamaa na Uwekezaji wake pale Simba
Dr Kigwangalla ametoa ofa hiyo kupitia ukurasa wake wa twitter!
Ikumbukwe Mwekezaji Mo Dewji amesema ameanza kukata tamaa na Uwekezaji wake pale Simba
Dr Kigwangalla ametoa ofa hiyo kupitia ukurasa wake wa twitter!