Mkuu naweza pata mawasiliano ya hao wadau, hizi za group tigo washatufanyia kitu mbayaWee bana,, kuna wadau wanakuunga fresh tu bila hiyo takataka ya leseni
Gharama yake ipoje hii!?Nimejimilikisha ki'Pocket WiFi cha Airtel.. Nakipenda, natembea nacho popote ninapoenda 20gb zinanitosha mwezi mzima kwa 20k..
Kuna wenzako kadhaa walikuwa na ubishi kama huu wa kwako....Hiyo laki 2 ya Airtel basi umepigwa
Ni kishikwambi mkuuni zile za mkopo?
51k unapewa ofa ya 20gbGharama yake ipoje hii!?
Na zile router za 50k za tigo zimstolewa kwa akina nani?Kuna wenzako kadhaa walikuwa na ubishi kama huu wa kwako....
Kumbe hawakujua kuna aina 2 za vifurushi, Home na Business.
Home, inabidi ulipie 200k ya router, na inakuwa yako, na minimum bundle per month ni 70k.
Business, hauuziiwi router, so basically inakuwa siyo mali yako, na kifurushi cha chini kwa mwezi kinaanzia 110k.
Kwa hiyo wao wakawa wanakomaa router ni 110k siyo 200k. Kumbe hiyo 110k ni wanayolipia every month.
Kwa 200k router ikiwa yako unaweza kutumia mtandao wowote? Swali lingine,hizo router zinakuwa na line ya simu ambayo unaweza kuiweka au kuitoa au kutumia line nyingine?Kuna wenzako kadhaa walikuwa na ubishi kama huu wa kwako....
Kumbe hawakujua kuna aina 2 za vifurushi, Home na Business.
Home, inabidi ulipie 200k ya router, na inakuwa yako, na minimum bundle per month ni 70k.
Business, hauuziiwi router, so basically inakuwa siyo mali yako, na kifurushi cha chini kwa mwezi kinaanzia 110k.
Kwa hiyo wao wakawa wanakomaa router ni 110k siyo 200k. Kumbe hiyo 110k ni wanayolipia every month.
Router sina uhakika kama inasoma mitandao mingine...Kwa 200k router ikiwa yako unaweza kutumia mtandao wowote? Swali lingine,hizo router zinakuwa na line ya simu ambayo unaweza kuiweka au kuitoa au kutumia line nyingine?
We nawe! Unagombana hadi na vidole?Zinaitwa Routers mkuu.
Siyo rooters
vipi after miezi mitatu bundle 70k limekuja110K
Tangu mwezi wa 9 hadi leo nalipia nila ku skip lakini hakuna kifurushi cha 70Kvipi after miezi mitatu bundle 70k limekuja
Hata mimi niliwastukia kwenye hiyo hoja ya miezi mitatu.Tangu mwezi wa 9 hadi leo nalipia nila ku skip lakini hakuna kifurushi cha 70K
Walituongopea tu
Tangu mwezi wa 9 hadi leo nalipia nila ku skip lakini hakuna kifurushi cha 70K
Walituongopea tu
110KKwa hiyo unalipa shilingi ngapi sasa hivi?