Mlipuko huu wa Rooters za WIFI kwa kampuni za Simu ipi ni nzuri Kwa matumizi nyumbani?

Kuna ile kampuni ya simu ilipotea ghafla miaka kama 5 iliyopita, nilikuwa natumia router yao unlimited naangalia YouTube/download siku nzima bila shida hata enzi hizo, hautakuwa na shida sasa.
Smile? Au Smarts!
 
Kwa mitandao ya simu Airtel wapo friendly zaidi, Gharama ndogo za kujisajili ambayo ni laki 2, wanakupa router na powerbank incase umeme unakatika ama upo nje ya nyumba. Vifurushi vyao vinaanzia 70,000 kwa mwezi

Voda pia wapo vizuri ila wame target zaidi wafanyabiashara, usajili bure ila utahitaji ka kila mwezi kulipa, vifurushi vinaanzia 120,000

Tigo wao gharama ghali sana kujiunga 650,000 ila kwa mwezi ni 70,000


Angalia kwako mambo haya
1. Unapata 5G? Kama unapata ni mtandao upi?
2. Pima speed zote za 4G na 5G angalia mtandao upi unazidi speed husika unayotaka kununua...

Then chagua mtandao kutokana na quality ya mtandao ya eneo lako, u naweza toa hela nyingi ukaishia kupata speed mbovu.
Hiyo laki 2 ya Airtel basi umepigwa
 
Wazee ninatumia computer ya Dell windows 7. Tangu juzi imegoma kuunganisha mobile hotspot kwenye simu kama inavyoonyesha kwenye screenshot. Nimejaribu troubleshootings zote lakini bado imegoma kuunganisha. Tatizo linaweza kuwa nini? Je, naweza kufanya nini zaidi ili iweze kukubali? Asante.

1708851755226.png
 
Kwanini usiwe na ya peke yako? Postpaid?

Wakuu. Tukiendelea kujadili hii topic hapa nao hawa vipi?
View attachment 2914424

Kuna mtu kawatumia?

Nina simu 2 kwa sasa natumia bundle kubwa sana kwa siku. P
Nilikua na Ile Post paid ya tigo ya watu watatu kuna mmoja anazingua halipi tumezimiwa.

Nadhani Airtel inahusika kwenda.
 
Naona kama kwa sasa limeingia wimbi la kutangaza na kuuza Rooters za WIFI kwa makampuni ya simu nchini.
Kila mmoja anavutia kwake kwa vifurushi vya Mbps 10, 20 na 30 ambavyo ni kwa 4G na 5G unlimited mwezi mzima.

Je, ninunue toka kwa kampuni gani ambayo huduma zake katika hili ni reliable na price friendly kwa matumizi ya nyumbani?

Msaada tafadhali kwa walio experienced huduma hii iliyokuja kwa kasi!

Sent from my SM-A125F using JamiiForums mobile app


Router sio ubora, ubora ni strength ya supplier, no one beat Vodacom in Tanzania.
 
Chukua router ambayo ni multipurpose ili usiwe kifungoni amua kati ya D-Link wireless router au TP-link
Mkuu nimefanya hivyo lakini habari mbaya nilizopata ni kuwa VODACOM hawatoi huduma hiyo ya Unlimited kwa Router ambazo sio zao.
Kuuliza na Airtel nao naambiwa lazima ununue za kwao jee hapo inakuwaje?

Sent from my SM-A125F using JamiiForums mobile app
 
Naona kama kwa sasa limeingia wimbi la kutangaza na kuuza Rooters za WIFI kwa makampuni ya simu nchini.
Kila mmoja anavutia kwake kwa vifurushi vya Mbps 10, 20 na 30 ambavyo ni kwa 4G na 5G unlimited mwezi mzima.

Je, ninunue toka kwa kampuni gani ambayo huduma zake katika hili ni reliable na price friendly kwa matumizi ya nyumbani?

Msaada tafadhali kwa walio experienced huduma hii iliyokuja kwa kasi!

Sent from my SM-A125F using JamiiForums mobile app
Ni Routers !
 
Naona kama kwa sasa limeingia wimbi la kutangaza na kuuza Rooters za WIFI kwa makampuni ya simu nchini.
Kila mmoja anavutia kwake kwa vifurushi vya Mbps 10, 20 na 30 ambavyo ni kwa 4G na 5G unlimited mwezi mzima.

Je, ninunue toka kwa kampuni gani ambayo huduma zake katika hili ni reliable na price friendly kwa matumizi ya nyumbani?

Msaada tafadhali kwa walio experienced huduma hii iliyokuja kwa kasi!

Sent from my SM-A125F using JamiiForums mobile app
Zinaitwa Routers mkuu.

Siyo rooters
 
Mkuu nimefanya hivyo lakini habari mbaya nilizopata ni kuwa VODACOM hawatoi huduma hiyo ya Unlimited kwa Router ambazo sio zao.
Kuuliza na Airtel nao naambiwa lazima ununue za kwao jee hapo inakuwaje?

Sent from my SM-A125F using JamiiForums mobile app
Hata kama wangekuwa wanakubali router za 5G ni chache na bei ni ndefu sana
 
Wazee ninatumia computer ya Dell windows 7. Tangu juzi imegoma kuunganisha mobile hotspot kwenye simu kama inavyoonyesha kwenye screenshot. Nimejaribu troubleshootings zote lakini bado imegoma kuunganisha. Tatizo linaweza kuwa nini? Je, naweza kufanya nini zaidi ili iweze kukubali? Asante.

View attachment 2915851
ni zile za mkopo?
 
Back
Top Bottom