Mkuu wa Majeshi wa Kenya alitaka azikwe bila Jeneza na asicheleweshwe kuzikwa

Kwanza hii ya kujenga makaburi kama chumba cha mapumziko na maiti kuwekwa kwenye mbao(jeneza) siyo sawa.

Mtu anatakiwa aoze kisha mchakato wa maisha ya viumbe wengine uendelee. Sasa unamweka mtu kwenye box na kujenga kaburi simenti haiko sawa.
ni heshima kubwa mwili ukipumzishwa kaburini bila kujazwa udongo na ni fasheni ya wenye hela. Angalia makaburi ya wenye hela yalivyojengewa marumaru ghali ni kufuru tupu. Huna hela utazikwa kwa kufukiwa na udongo kaburini kama zamani.
 
ni heshima kubwa mwili ukipumzishwa kaburini bila kujazwa udongo na ni fasheni ya wenye hela. Angalia makaburi ya wenye hela yalivyojengewa marumaru ghali ni kufuru tupu. Huna hela utazikwa kwa kufukiwa na udongo kaburini kama zamani.
Ukishakuwa mzoga hauna heshima yoyote sana sana utanuka tu uwe kero kwa walio hai.
 
Kwanza hii ya kujenga makaburi kama chumba cha mapumziko na maiti kuwekwa kwenye mbao(jeneza) siyo sawa.

Mtu anatakiwa aoze kisha mchakato wa maisha ya viumbe wengine uendelee. Sasa unamweka mtu kwenye box na kujenga kaburi simenti haiko sawa.
Watu wanaipa heshima mizoga badala ya kuidispose ili decomposition ifanyike.

Mimi mzoga wangu usizikwe na jeneza ili kutunza mazingira
 
hiyo mifupa ilizikwa kwa heshima stahiki
Heshima katika muktadha upi?

Heshima ni kuzikwa na wengi wenye kujua thamani ya wanayemzika alikuwa binadamu kama wao na hapo wanamsitiri kwa Kila mtu kushiriki kuchota mchanga kwenye chepe na kufukia kaburi.

Ila Kwako wewe kuwekwa jeneza kwenye kaburi kwa kutumia mashine nyenzo ya tatu huku pembeni watu wenye Hela wakiwa kwenye mavazi mweusi na miwani tinted wakiwa wanaangalia huku wamekunja mikono,ndiyo heshima?

Msanii ,huyu jamaa anahitaji msaada wa kujua nini maana ya heshima.
 
Watu wanaipa heshima mizoga badala ya kuidispose ili decomposition ifanyike.

Mimi mzoga wangu usizikwe na jeneza ili kutunza mazingira
Haya mambo ya kuiga usasa tunayo sisi wakristo.

Ni tabia ya hovyo sana,mtu akifa azikwe kwa sanda nyepesi ili kuruhusi decomposition. Bacteria wakidecompose viumbe wengine wapate chakula na kuishi,na rutuba kwa mimea pia.

Hiyo ndiyo Sheria ya uumbaji. Siyo kumvalisha misuti ya gharama,jeneza la bei ghali na kuweka zege chini na kufunika mfuniko juu.

Hata Kiranga niliona siku Moja akisema hakubaliani na mtindi huu wa mazishi huko Marekani.
 
Kwanza hii ya kujenga makaburi kama chumba cha mapumziko na maiti kuwekwa kwenye mbao(jeneza) siyo sawa.

Mtu anatakiwa aoze kisha mchakato wa maisha ya viumbe wengine uendelee. Sasa unamweka mtu kwenye box na kujenga kaburi simenti haiko sawa.
Kwamba wanapunguza mbolea au sio 😂
Lakini ile maana kamili ya msemo tumeumbwa kwa udongo na tutarudi kwa udongo, inakosa mashiko.
 
Kwamba wanapunguza mbolea au sio 😂
Lakini ile maana kamili ya msemo tumeumbwa kwa udongo na tutarudi kwa udongo, inakosa mashiko.
Hapo juu nimeliongelea hili,mkuu.

Ni ujinga wa sisi tulio wakristo na usasa usio na maana.

Mtu akifa,mweke kwenye vazi jepesi(sanda),kisha ahifadhiwe kwenye ardhi. Hizi mambo za kumweka ndani ya mbao kisha Tena na kaburi unalitia zege,na unamvalisha nguo kibao unaenda kinyume na Sheria ya uumbaji.

Imeandikwa kwenye Biblia "mwanadamu ulizaliwa uchi,na utarudi uchi kwenye tumbo la nchi".
 
Back
Top Bottom