News Alert: Mkenya awa Mwafrika wa kwanza kushinda tuzo ya mwalimu bora duniani

huon mwenzio kakutana na trump, sijui ndo katoboa maisha ila hongera ziende kwa mwalimu kwa bidii zake.
ha ha ha ha,kuonana na mtu ili utokee kwenye picha katika hali ya kiuchumi hiyo sio kufanikiwa bali ni kuendekeza umasikini.Tulitegemea tuone,labda amepiga hatua ya kumiliki vyuo kadhaa au viwanda kadhaa n.k
 
Br. Peter Tabichi mwalimu katika Shule ya Upili ya Keriko Mixed Day, Njoro, Nakuru, alipewa heshima ya kufungua rasmi US Congress. Tabichi, ambaye mapema mwakani alijishindia tuzo la mwalimu bora duniani, na kitita cha $1Million, atahutubia pia kikao cha 64th U.N General Assembly baadaye wiki hii. Tabichi amekuwa mwalimu kwa takriban miaka 12 na ni muumini wa kanisa la Katoliki na mfuasi wa 'order' ya Mt. Francis, ambayo ilibuniwa karne ya 13. Alifungua US Congress kwa maombi ya amani, almaarufu kama, 'the Franciscan prayer of peace'. Ameteuliwa pia kama 'Champion for children in conflict and crisis' na Varkey Foundation. Katika ziara yake ya US, baada ya kupatana na rais Donald Trump, alizuru kwenye makao makuu ya World Bank, Google, UNICEF ECW(Education Cannot Wait) na U.N General Assembly. Congratulations Br. Tabichi for making Kenya proud. https://www.theeastafrican.co.ke/ne...ith-prayer/4552908-5277654-5yt6i3z/index.html
 
Alafu wazungu tunawaita BEBERU trust me wazungu hawana choyo kama mamtu meusi.
Tuondoe dhana ya kuwaona vibaya wanatuletea Chandarua,kondomu za bure,ARV,chanjo mbali mbali n.k
Mzungu hahusiki hapa, hizi ni bidii za mwalimu Tabichi. Basi. Aliwagaragaza walimu 10,000 kutoka nchi 179 na akatajwa kama mwalimu bora duniani. Yupo U.S kuhutubia viongozi wa dunia nzima kwenye kikao cha U.N General Assembly, sio wazungu. Wao ndio wameamua kumshobokea kwasababu ya mafanikio yake. Tujiamini kama waafrika bana, na tupambane kwasababu tunaweza sio kwasababu ya rangi ya ngozi zetu. Hii dhana yako sio ya karne hii, ilipitwa na wakati, tena zamani sana.
 
Nani alietoa hizo hela? Nani alietangaza mshindi?,Nani aliempa chance ya hiyo UN general Assembly, Walikuwa fair kumtangaza mshindi halali tofauti na sisi mimtu meusi? Kwa nini anakuja kutamburika nje huku ndani ya nchi yake analipwa mshahara wa kutia huruma
Mzungu hahusiki hapa, hizi ni bidii za mwalimu Tabichi. Basi. Aliwagaragaza walimu 10,000 kutoka nchi 179 na akatajwa kama mwalimu bora duniani. Yupo U.S kuhutubia viongozi wa dunia nzima kwenye kikao cha U.N General Assembly, sio wazungu. Wao ndio wameamua kumshobokea kwasababu ya mafanikio yake. Tujiamini kama waafrika bana, na tupambane kwasababu tunaweza sio kwasababu ya rangi ya ngozi zetu. Hii dhana yako sio ya karne, hii ilipitwa na wakati, tena zamani sana.
 
Nani alietoa hizo hela? Nani alietangaza mshindi?,Nani aliempa chance ya hiyo UN general Assembly, Walikuwa fair kumtangaza mshindi halali tofauti na sisi mimtu meusi? Kwa nini anakuja kutamburika nje huku ndani ya nchi yake analipwa mshahara wa kutia huruma
Boss, hebu tuelewane. Tuzo la kila mwaka, la mwalimu bora duniani, huwa linadhaminiwa na Varkey Foundation wakishirikiana na UNICEF. Mwalimu Tabichi alikabidhiwa tuzo hilo mapema mwaka huu kwenye hafla ambayo ilikuwa kule Dubai. Tuzo hilo na Varkey Foundation ni miradi ya huyu bilionea kutoka India ambaye anaishi Dubai.
Sunny_Varkey_2015.jpg
Sunny Varkey, founder and chairman of Varkey Foundation. Alafu wakati wewe hapo unawaza kuhusu mishahara. Mwalimu Tabichi amekuwa akitumia 80% ya mshahara wake kuwafadhili wanafunzi ambao wametoka kwenye familia masikini.
 
Mzungu hahusiki hapa, hizi ni bidii za mwalimu Tabichi. Basi. Aliwagaragaza walimu 10,000 kutoka nchi 179 na akatajwa kama mwalimu bora duniani. Yupo U.S kuhutubia viongozi wa dunia nzima kwenye kikao cha U.N General Assembly, sio wazungu. Wao ndio wameamua kumshobokea kwasababu ya mafanikio yake. Tujiamini kama waafrika bana, na tupambane kwasababu tunaweza sio kwasababu ya rangi ya ngozi zetu. Hii dhana yako sio ya karne hii, ilipitwa na wakati, tena zamani sana.
Mkuu wetu anaitumia sana "dhana" hiyo, itakuwa naye Kapitwa na wakati..
 
Back
Top Bottom