Mjamzito afumaniwa akijamiiana hospitalini

sami.jpg
 
Labda uganda iliyopakana na tz kwa wanyankole kule kiganda cha kati mpk kuelekea Sudan kusini hakiingiliani na kihaya kabisaaa,

Ndio wana asili moja lakini niamini mganda kwa kupenda chini muhaya bado mwanafunzi
Kupenda ngono ni tabia za MTU na sio kabila nchi au mkoa .

MTU mweusi popote alipo duniani anausudu ngono
 
Mi huwa sielewi starehe ya mapenzi inayotumia akili na ufahamu wa mtu, namna gani watu wengine wanavyolifanya na kulichukulia!

Hivi saikolojia yako inaweza kukaa sawa na kupandisha mihemko ya mapenzi kwenye kadamnasi iliyopo sehemu ya umma?

Kuna siku nilishuhudia mke wa marehemu akizini na jamaa tuliokuwa pamoja kwenye msafara wa kusindikiza maiti ya mumewe kwenda kuzika kijijini kwao!

Tulipofika "senta" moja usiku umeingia tukaamua kulala ili alfajiri tuendelee na msafara.

Lakini maiti ya mume ipo garini, jamaa linachukua mke wa marehemu uchochoroni kwenda kufanya naye mapenzi!

Sa'huwa najiuliza mtu kama huyo anakuwa mtimilifu kiakili kweli?
Ni mzima kabisa mihemkoo tu..hata wewe unaweza jikuta kwenye situation kama hizo siku moja.
 
Kwangu mimi haiwezeka
Ni mzima kabisa mihemkoo tu..hata wewe unaweza jikuta kwenye situation kama hizo siku moja.
Kwangu mimi haiwezekani.

Tamaa za mapenzi hazinimalizi akili na kunipotezea ufahamu.

Huzibeba kama kojo, ambapo likinibana siwezi kuliachilia hadharani ilimradi tu eti nimebanwa.

Lazima nitafute sehemu ya falagha kukojolea.

Huo mfano nimetoa kuonesha kuwa mapenzi hayawezi kunipanda kichwani, hadi nikadhalilika, nitayafanya pindipo kuna nafasi na falagha ya kutosha.
 
Back
Top Bottom