Mjamzito afumaniwa akijamiiana hospitalini

Mganda na Muhaya ni jamii ileile tu, ndio maana Iddi Amini alidai mkoa wa Kagera ni sehemu ya uganda kwasababu Wahaya na Waganda wanayo asili moja, Lugha ya kiganda na kihaya ni sawa na American English na British English.
Acha uongo....

Lugha ya kihaya na kiganda hazifanani hata kidogo....mhaya hamuelewi kabisa mganda...

Lugha ya kihaya inafanana 100% na kinyankole na kidogo kitooro ( kinyoro) ambao ni baadhi ya jamii za kiganda chache zinazopakana na karagwe na misenyi....

Iddi amini alidai sehemu ya kasikazini mwa mto kagera kuwa ni Uganda kwa sababu eneo lilikuwa eneo la buganda kingdom jimbo la buddu kabla ya ukoloni...lakin baada ya ukoloni lilikuwa tu sehemu ya Tanzania baada ya mipaka ya wajerumani...
 
Acha uongo....

Lugha ya kihaya na kiganda hazifanani hata kidogo....mhaya hamuelewi kabisa mganda...
Sijui ni kwanini wasema mimi muongo na wakati huo huo unaniunga mkono!!,

Unasema; "Kihaya 100% zinafanana na kinyankole na kitooro ambazo ni jamii za KIGANDA"--- na Mimi nilisema Kiganda kinafanana na kihaya nikiwa na maana hiyohiyo ya hizo jamii za kiganda za Wanyankole na hao Watoro.

Pia umeniunga mkono kwamba Iddi Amini alidai "sehemu" ya kagera ni eneo lake na nakushukuru umetuwekea fact ya kihistoria inayounga mkono nilichosema. Sasa inakuaje uniite mimi Muongo??
 
Sijui ni kwanini wasema mimi muongo na wakati huo huo unaniunga mkono!...
Unakaza fuvu bado...

Kuna tofauti kubwa kati ya lugha ya kiganda na jamii za Uganda kama nchi

Lugha ya kiganda inaongelewa na kabila la wabaganda tu sio Wananchi wote wa uganda...

Wew unataka kusema kusema waganda (wananchi wa nchi ya Uganda) wote wanaongea kiganda ambayo ni lugha ya kabila kubwa la uganda.

Hoja yangu ni kihaya na kiganda kugha za makabila ya wahaya na waganda ( kama kabila) respectively na hicho ndo ulichosema kuwa lugha ya kiganda na kihaya zinafanana kitu ambacho sio kweli hata kidogo...labda kama unataka kuikana hoja yako...

Kwenye hoja ya iddi amini...wew ulisema idd amin alitaka mkoa mzima wa kagera kuwa sehemu y uganda...kwa sababu ilikuwa uganda...jambo ambalo nimekupinga kwa kusema sio mkoa mzima wa kagera...bali ni kisehemu kidogo cha mkoa wa kagera kasikazini mws mto kagera ndo ilikuws sehemu ya uganda pekee ikiwa jimbo la buddu la buganda kingdom...
 
Unawaona hawa wakaka wanaojipa ubini wa ma pastor pia? Utaskia son of Apostle nani sijui. Kila mtu anashinda mechi zake
Hili sijawahi kulisikia!

Sasa watu huwa na ubin wa jina la kikristu saazingine mfano John.

Sasa unathibitishaje kwamba huu ubin ni wa Pastor John na si wa mzazi wake?
 
Mchoma nyama amewahi kumuona Mgonjwa huyo mume alikuwa amezubaa wapi naye?.
 
Back
Top Bottom