Stroke
JF-Expert Member
- Feb 17, 2012
- 34,786
- 41,159
Huduma za Internet kwa mitandao ya Tigo, Voda na Airtel kwa Tanzania ni mbovu mno.
Mtu unaweka bundle lakini mpaka inaisha unakuta hujatumia ipasavyo kutokana na kukatika katika kwa huduma husika.
Muda mwingi network hakuna hata ikiwa ni maeneo ya mjini kabisa.
Hivi wahusika mnajielewa kweli??
Kwanini mnachukua pesa zetu halafu mnatoa huduma mbovu.
Acheni wizi kwa watanzania, mnachukua pesa bila kutoa huduma za kueleweka.
Mtu unaweka bundle lakini mpaka inaisha unakuta hujatumia ipasavyo kutokana na kukatika katika kwa huduma husika.
Muda mwingi network hakuna hata ikiwa ni maeneo ya mjini kabisa.
Hivi wahusika mnajielewa kweli??
Kwanini mnachukua pesa zetu halafu mnatoa huduma mbovu.
Acheni wizi kwa watanzania, mnachukua pesa bila kutoa huduma za kueleweka.