Stavros Myles
JF-Expert Member
- Jun 7, 2020
- 350
- 390
Nisikuchoshe kukupa salamu nyingi mno, ninataka kuzungumzia suala la Mtandao wa Tigo nchini Tanzania kushindwa kuhimili mahitaji ya Internet kwa wateja wao.
Si kwamba wanashindwa kutoa vifurushi vya Internet, shida kubwa ni kwamba mtandao wao hausomi kabisa na hata ukifanya kazi speed ya Internet haipandi juu ya Kb 10. Shida ni nini?
Au labda kwa Upande wa Mbeya tumetupwa na kuonwa tuko wachache? Je, kampuni ya Tigo inajua ni kwa kiasi gani hii service mbovu inafukuza wateja wake?
My take: Tigo kwa jiji la Mbeya wajitafakari katika suala la Internet, huu ujanjaujanja utawagharimu mno kwa kupoteza wateja.
PS: Nalalamika kwakuwa nimenunua bando. Nitahamia Mitandao mingine. Hii Ofa yao ya 1.5k inakutia wazimu alafu unakumbwa na sonona mbeleni.
UPDATES.
Baada ya muda saizi nimepokea meseji kutoka Tigo, meseji hiyo imekuja na ujumbe wakunitumia settings za Internet. Kuna mitandao mingine kila ukikaa unashangaa uliingiaje
Si kwamba wanashindwa kutoa vifurushi vya Internet, shida kubwa ni kwamba mtandao wao hausomi kabisa na hata ukifanya kazi speed ya Internet haipandi juu ya Kb 10. Shida ni nini?
Au labda kwa Upande wa Mbeya tumetupwa na kuonwa tuko wachache? Je, kampuni ya Tigo inajua ni kwa kiasi gani hii service mbovu inafukuza wateja wake?
My take: Tigo kwa jiji la Mbeya wajitafakari katika suala la Internet, huu ujanjaujanja utawagharimu mno kwa kupoteza wateja.
PS: Nalalamika kwakuwa nimenunua bando. Nitahamia Mitandao mingine. Hii Ofa yao ya 1.5k inakutia wazimu alafu unakumbwa na sonona mbeleni.
UPDATES.
Baada ya muda saizi nimepokea meseji kutoka Tigo, meseji hiyo imekuja na ujumbe wakunitumia settings za Internet. Kuna mitandao mingine kila ukikaa unashangaa uliingiaje