Mishahara ya viongozi wa Tanzania

Naomba utoe reference, Field Marshall ES. Hizo data ulizotoa zinapatikana wapi na je, ziko public kwa watanzania wote?
 
Mkulu Rwabugiri,

Ndio maana huwa hatuelewi ni kwa nini mkapa had to do na yote aliyoyafanya na ufisadi kwa sababu hakukuwa na any convincing reason kabisaaa!

mkuu mugizi,

Yaani hata katiba ya taifa lako, mimi nikakutafutie nikusomee halafu nikuletee hapa are you serious au unatania? what dataz wewe ulikuwa hujui kuwa hii ni maneno ya katiba ya jamhuri? damn!

Wakati hii ishu inapitishwa in the middle 0f 90s bungeni na wabunge wote wa CCM na upinzani, wewe ulikuwa wapi mkuu?
 
Briefly, ni 80% ya mishahara yao walipokuwa job, magari mawili SUV mapya kila mwaka, nyumba mbili za serikali Dar na Dodoma, Wafanyakazi wa ndani ya nyumba na nje wasiozidi watano, both Dar na dodoma, Askari wa kulinda nyumba zote mbili, safari za matibabu ulaya mara mbili kwa mwaka wao na wake zao na walinzi wakifuatana na mpishi mmoja na msaidizi wa karibu, free msosi wa government, walinzi wawili personal na mengineyo!

All this ni mpaka watakapoitwa kwenye haki.

Nina wasiwasi na hizi. Hasa hiyo ya magari na nyumba za Dodoma! Mwinyi ana nyumba gani Dodoma? Najua wanalipiwa safari ya nje ambazo zinategemea cheo cha mhusika.

Najua wanapatiwa magari lakini sidhani kama ni mapya kila mwaka! Na idadi ya magari nayo inategemea cheo cha mhusika. Hiyo ya msosi.....................mmmhhhh!
 
Na hata hiyo ya safari ya matibabu imekaa kiaina! Pengine ni check-up inayozungumziwa? Safari ya matibabu si itategemea maradhi yake?

Au akishauguwa mara mbili kwa mwaka inabidi ajijue akiugua mara ya tatu?
 
Allow me to chip in in this mjadala!

Very interesting topic; but Field Marshall ES; I understand your data are related to retired president, how about Prime Ministers

Thanks from Mtakuja Village attending Siku Ya Gulio Katerero.
Kasheshe
 
1.
Nina wasiwasi na hizi. Hasa hiyo ya magari na nyumba za Dodoma! Mwinyi ana nyumba gani Dodoma?

Mkuu kama hujui ni kuuliza sio kurukia rukia usioyajua, haya huyajui hawa wakulu siku zote niko nao ninawaona kwa karibu tena sana, ndio maana ninayajua haya sio kwa kusimuliwa, Miwnyi kama marais wengine wote wastaafu na mawaziri wakuu wastaafu, ana nyumba ya serikali Dar na Dodoma, othewise useme sasa akiwa Dodoma anakaa wapi? Au kwa nani?

Kwa taarifa yako nyumba yake iko Area C, ambako pia kuna makazi ya Msuya, Warioba, Salim, na Kingunge, lakini wengine kina Malecela, Kawawa, mawaziri viongozi wa Zenji, katibu mkuu wa CCM wako Kilimani Area karibu na nyumba ya Waziri Mkuu ukipita kituo cha Relwe, kuelekea Dodoma Hotel.

2.
Najua wanalipiwa safari ya nje ambazo zinategemea cheo cha mhusika.

Nonesense! Maraisi wanalipwa hela tofauti na mawaziri wakuu, kwa sababu hawafanani mishahara, kwa hiyo 80% ya mshahara wa waziri mkuu haiwezi kuwa sawa na 80% ya raisi mstaafu,

Wanapokwenda nje wanalipiwa kila kitu na posho ikiwa ni pamoja na First Class ticket ya anything kuanzia ndege mpaka treni, walinzi wawili, mke, mpishi na msaidizi mmoja wa ndani,

However, rais mstaafu anasafiri na at least watu kumi na wote wanalipiwa na serikali, na pia ana bajeti maalum kwa ajili ya shughuli za serikali na siku zote anakuwa standby iwapo atahitajiwa na the sitting rais kwenda popote kumuwakilisha

3.
Najua wanapatiwa magari lakini sidhani kama ni mapya kila mwaka! Na idadi ya magari nayo inategemea cheo cha mhusika. Hiyo ya msosi.....................mmmhhhh!

Another nonesense, wakitoka kwenye power kwanza wanachukua benzi mbili walizokuwa wakizitumia a ll the time kwa kazi za official, zinakuwa zao binafsi, on top of that serikali inatoa SUV mbili moja kwa mke moja kwa Mstaafu mwenyewe, na ni wajibu wa serikali kuyabadilisha kila mwishoni mwa mwaka,

So far wengi wao wamekuwa hawajali sana, lakini kuna mmoja anayefuatilia kila mwaka na kubadilishiwa, nyumba zao Dar na Dododma ni lazima zifanyiwe ukarabati kila mwisho wa mwaka, wote wana bajeti maalum ya kuhakikisha kuwa bustani zao zinatunzwa ipasavyo, mazingira ya nyumba zao yanatunzwa ipasavyo, na chakula juu, hizi hela hupewa kiongozi wa wasaidizi wote wa mstaafu.

4.
Na hata hiyo ya safari ya matibabu imekaa kiaina! Pengine ni check-up inayozungumziwa? Safari ya matibabu si itategemea maradhi yake? Au akishauguwa mara mbili kwa mwaka inabidi ajijue akiugua mara ya tatu?

Kama kuna aina hapo ni moja tu nayo ni wewe kutokujua unachokisema, wastaafu wanatakiwa kwenda Europe, US au nje tu ya nchi mara mbili kwa mwaka, kwa ajili ya medical check-up, all paid by the government, hii ni must!

Kuugua has nothing to do na hii medical check-up, ila inakuwa covered na dharura ikitokea anakwenda anyways, I mean hata kama ameshakwenda kuchekiwa mara mbili na mwaka haujaisha akiguaa ghafla anakwenda, ndio maana Kawawa siku zote yupo London kuitbiwa, sio kwa bahati mbaya!

Ahsante Mkuu!
 
FMES......heshima mbele mkuu

......hao wanaojiuliza uliza naona wanataka kupata habari toka kwako........na wala si jingine..........wee rudia kusoma maswali/doubts yao/zao utagundua nasema nini......
 
FMeS! Tatizo lako ni hayo majigambo na lugha ya matusi. Si wewe peke yako uliyekaribu na hao viongozi. Mimi binafsi sioni sababu ya kukuamini ati kwa sababu unadai hawa ni maswahiba zako.

Wewe unakaa nao lakini wengine ndiyo wanaohusika katika kutayarisha hayo mafao. Mimi ningekuamini zaidi ungetaja waraka wa serikali unaotoa hizo stahili zote ulizozitaja. Mpaka sasa ushahidi wako haujani'convince'.

Ujue kuna tofauti kati ya kutengewa nyumba na kupewa nyumba. Nyumba ya Mkapa Masaki amepewa wala si kutengewa. sasa hiyo ya Dodoma aliyopewa ni ipi? Nyumba hizo za Dodoma wametengewa, bado ni za serikali. Kama walizinunua wenyewe au kujenga wenyewe na wangependa kuendelea kuzitumia, serikali inachukua jukumu ya kuzitunza na kuzifanya makazi RASMI ya mhusika.

Hayo magari kama wanapewa mapya kila mwaka ( ulivyodai awali), basi sasa hivi Mwinyi angekuwa na zaidi ya 40, maana la zamani harudishi kama walipewa. Uliponijibu ndiyo ukaelezea kuwa wanatengewa na serikali magari mawili kila mwaka (sio yao) ambayo wakishayatumia bila shaka yanarudi kwenye pool ya magari ya serikali. Usemi wako wa mwanzo ungewafanya baaadhi ya watu waamini kuwa hawa wastaafu wana mlundiko wa magari wliyonunuliwa na serikali wakati si hivyo.

Unachanganya tena mada. Hii mada inahusu viongozi wa serikali (si CCM) na hawa wanajumuisha Rais, Makamu wake, Waziri Mkuu, Spika, Jaji Mkuu. Wewe umekurupukia Rais peke yake. Hawa wengine nao wanastahili zao ambazo zinaendana na cheo chao na si mshahara wao. Si wote kwa mfano wanaojengewa nyumba wakistaafu. Baadhi yao wanatengewa makazi kwa ajili ya matumizi yao. Wakifariki, yanarudi serikalini.

Stahili ya mheshimiwa Rais mstaafu ni safari mbili nje ya nchi, kila mwaka, bila kujali ameenda kwa ajili ya nini. Hizi analipiwa kila kitu. Sasa wewe mwenzetu, swahiba wao, unataka kutudanganya kuwa hizi ni za matibabu tuu! Safari ya matibabu (ulivyotaka kutudanganya) ni tofauti na ya check-up. Ndiyo maana nikapinga logic yako. Rais mstaafu akiugua anahaki ya kutibiwa popote inapobidi bila kujali mara ngapi ameugua.

Wakati unamlaumu Kuhani uwe unajiangalia na wewe mwenyewe.

Amandla.
 
BTW, Mheshimiwa Rais mstaafu akisafiri nje analipiwa yeye, mke wake na wasidizi wawili! Hamna mahali panaposema MPISHI! Hii ni kutokana na Political Service Retirement Benefits Act, 1999 (No. 3 of 1999).
Official Gazette, 1999-04-16, No. 3, pp. 259-444
!

Haya tuambie, Mkuu FMeS hizo dataz zako za magari mapya, misosi na wapishi umezitoa wapi?

Muogope Mungu!

Amandla.
 
Ulizeni na Mishahara, marupurupu na mafao ya viongozi kama hao hapa jirani tu KENYA.
Mjue pia wapo watumishi wengine wa UMMA na kampuni binafsi wanamzidi hata Raisi wetu mshahara. La maana la kuuliza hapa lingekuwa je, wanatimiza wajibu wao ipasavyo kwa nafasi tulizowapa? Hawatuiibii?
 
1.

Mkuu kama hujui ni kuuliza sio kurukia rukia usioyajua, haya huyajui hawa wakulu siku zote niko nao ninawaona kwa karibu tena sana, ndio maana ninayajua haya sio kwa kusimuliwa, miwnyi kama marais wengine wote wastaafu na mawaziri wakuu wastaafu, ana nyumba ya serikali dar na dodoma, othewise useme sasa akiwa dodoma anakaa wapi? Au kwa nani?

Kwa taarifa yako nyumba yake iko area c, ambako pia kuna makazi ya msuya, warioba, salim, na kingunge, lakini wengine kina malecela, kawawa, mawaziri viongozi wa zenji, katibu mkuu wa ccm wako kilimani area karibu na nyumba ya waziri mkuu ukipita kituo cha relwe, kuelekea dodoma hotel.

2.

Nonesense! Maraisi wanalipwa hela tofauti na mawaziri wakuu, kwa sababu hawafanani mishahara, kwa hiyo 80% ya mshahara wa waziri mkuu haiwezi kuwa sawa na 80% ya raisi mstaafu,

wanapokwenda nje wanalipiwa kila kitu na posho ikiwa ni pamoja na first class ticket ya anything kuanzia ndege mpaka treni, walinzi wawili, mke, mpishi na msaidizi mmoja wa ndani,

however, rais mstaafu anasafiri na at least watu kumi na wote wanalipiwa na serikali, na pia ana bajeti maalum kwa ajili ya shughuli za serikali na siku zote anakuwa standby iwapo atahitajiwa na the sitting rais kwenda popote kumuwakilisha

3.

Another nonesense, wakitoka kwenye power kwanza wanachukua benzi mbili walizokuwa wakizitumia a ll the time kwa kazi za official, zinakuwa zao binafsi, on top of that serikali inatoa suv mbili moja kwa mke moja kwa mstaafu mwenyewe, na ni wajibu wa serikali kuyabadilisha kila mwishoni mwa mwaka,

so far wengi wao wamekuwa hawajali sana, lakini kuna mmoja anayefuatilia kila mwaka na kubadilishiwa, nyumba zao dar na dododma ni lazima zifanyiwe ukarabati kila mwisho wa mwaka, wote wana bajeti maalum ya kuhakikisha kuwa bustani zao zinatunzwa ipasavyo, mazingira ya nyumba zao yanatunzwa ipasavyo, na chakula juu, hizi hela hupewa kiongozi wa wasaidizi wote wa mstaafu.

4.

Kama kuna aina hapo ni moja tu nayo ni wewe kutokujua unachokisema, wastaafu wanatakiwa kwenda europe, us au nje tu ya nchi mara mbili kwa mwaka, kwa ajili ya medical check-up, all paid by the government, hii ni must!

Kuugua has nothing to do na hii medical check-up, ila inakuwa covered na dharura ikitokea anakwenda anyways, i mean hata kama ameshakwenda kuchekiwa mara mbili na mwaka haujaisha akiguaa ghafla anakwenda, ndio maana kawawa siku zote yupo london kuitbiwa, sio kwa bahati mbaya!

Ahsante mkuu!
mkuu fmes.i salute you.
 
Hayo magari kama wanapewa mapya kila mwaka ( ulivyodai awali), basi sasa hivi Mwinyi angekuwa na zaidi ya 40

Nimesema wanabadilishiwa magari kila mwaka sikusema wanapewa, yanalkuwa yao isipokuwa zile benzi mbili wanazochukua wakitoka kwenye power zile zinakuwa zao binafsi, vipi una matatizo ya kuelewa? Mengine nitakujibu later ngoja niwahi kujenga taifa kwanza!

Yote niliyoyasema nimeyaona wakifanyiwa, ya katiba sijui inasema nini ila ninajua ilipitishwa in the middle ya 90s, lakini nitakurudia tena mkuu!
 
Another nonesense, wakitoka kwenye power kwanza wanachukua benzi mbili walizokuwa wakizitumia a ll the time kwa kazi za official, zinakuwa zao binafsi, on top of that serikali inatoa SUV mbili moja kwa mke moja kwa Mstaafu mwenyewe, na ni wajibu wa serikali kuyabadilisha kila mwishoni mwa mwaka,

Bwana DJ fundi hebu soma tena maneno yangu hapa eti nimesema wanapewa magari mwaili kila mwaka mpaka Mwinyi awe na magari 40?

Sasa wewe na Kuhani ndio mnaita hii intellectual hapa JF?
 
FMES......heshima mbele mkuu

......hao wanaojiuliza uliza naona wanataka kupata habari toka kwako........na wala si jingine..........wee rudia kusoma maswali/doubts yao/zao utagundua nasema nini......

Mkuu Ogah,

Heshima mbele usiwe na wasi wasi nao ninawajua vizuri sana na majibu nitawapa si unajua JF ni kumkoma nyani tu mpaka mwisho!
 
FMeS! Tatizo lako ni hayo majigambo na lugha ya matusi. Si wewe peke yako uliyekaribu na hao viongozi. Mimi binafsi sioni sababu ya kukuamini ati kwa sababu unadai hawa ni maswahiba zako. Wewe unakaa nao lakini wengine ndiyo wanaohusika katika kutayarisha hayo mafao. Mimi ningekuamini zaidi ungetaja waraka wa serikali unaotoa hizo stahili zote ulizozitaja. Mpaka sasa ushahidi wako haujani'convince'.

Ujue kuna tofauti kati ya kutengewa nyumba na kupewa nyumba. Nyumba ya Mkapa Masaki amepewa wala si kutengewa. sasa hiyo ya Dodoma aliyopewa ni ipi? Nyumba hizo za Dodoma wametengewa, bado ni za serikali. Kama walizinunua wenyewe au kujenga wenyewe na wangependa kuendelea kuzitumia, serikali inachukua jukumu ya kuzitunza na kuzifanya makazi RASMI ya mhusika.

Hayo magari kama wanapewa mapya kila mwaka ( ulivyodai awali), basi sasa hivi Mwinyi angekuwa na zaidi ya 40, maana la zamani harudishi kama walipewa. Uliponijibu ndiyo ukaelezea kuwa wanatengewa na serikali magari mawili kila mwaka (sio yao) ambayo wakishayatumia bila shaka yanarudi kwenye pool ya magari ya serikali. Usemi wako wa mwanzo ungewafanya baaadhi ya watu waamini kuwa hawa wastaafu wana mlundiko wa magari wliyonunuliwa na serikali wakati si hivyo.

Unachanganya tena mada. Hii mada inahusu viongozi wa serikali (si CCM) na hawa wanajumuisha Rais, Makamu wake, Waziri Mkuu, Spika, Jaji Mkuu. Wewe umekurupukia Rais peke yake. Hawa wengine nao wanastahili zao ambazo zinaendana na cheo chao na si mshahara wao. Si wote kwa mfano wanaojengewa nyumba wakistaafu. Baadhi yao wanatengewa makazi kwa ajili ya matumizi yao. Wakifariki, yanarudi serikalini.

Stahili ya mheshimiwa Rais mstaafu ni safari mbili nje ya nchi, kila mwaka, bila kujali ameenda kwa ajili ya nini. Hizi analipiwa kila kitu. Sasa wewe mwenzetu, swahiba wao, unataka kutudanganya kuwa hizi ni za matibabu tuu! Safari ya matibabu (ulivyotaka kutudanganya) ni tofauti na ya check-up. Ndiyo maana nikapinga logic yako. Rais mstaafu akiugua anahaki ya kutibiwa popote inapobidi bila kujali mara ngapi ameugua.

Wakati unamlaumu Kuhani uwe unajiangalia na wewe mwenyewe.

Amandla............

Haya yote ni nonesense, hujui unachokisema nitakusaidia baadaye nikirudi tena, later bro!
 
Briefly, ni 80% ya mishahara yao walipokuwa job, magari mawili SUV mapya kila mwaka, nyumba mbili za serikali Dar na Dodoma, Wafanyakazi wa ndani ya nyumba na nje wasiozidi watano, both Dar na dodoma, Askari wa kulinda nyumba zote mbili, safari za matibabu ulaya mara mbili kwa mwaka wao na wake zao na walinzi wakifuatana na mpishi mmoja na msaidizi wa karibu, free msosi wa government, walinzi wawili personal na mengineyo!

All this ni mpaka watakapoitwa kwenye haki.

Kwa vile hukusema wanapewa "magari mawili SUV mapya kila mwaka" na sasa unadai kuwa wanabadilishiwa ( najua macho yangu yana matatizo ndiyo maana sioni hili neno kwenye bandiko lako) tuu basi tuseme kuwa hata huo wa 80% nao wanakopeshwa? Maana kila kitu katika sentensi yako inahusu kuazimwa na si kupewa. Na hizo nyumba zote mbili, nazo wanaazimwa? Na ni lazima ziwe Dar na Dodoma?

Na hiyo ya kutibiwa nayo utaikana? Augue, asiugue, vitrip viwili vipo kutibiwa maradhi yasiyokuwepo!

Haya hayapo katika katiba (your ignorance shows). Yako katika Sheria ya Mafao ya viongozi wa Kisiasa ya mwaka 1999, namba 3 ya mwaka 1999. Nimeisoma na si kuambiwa na mpishi au dereva wa mstaafu!

Hayo ya intellectual yana kutatiza sana? Mimi Kuhani nataniana nae kwa hiyo anaweza kuniita lolote alitakalo ingawa ukweli unabaki kuwa nilikimbia umande.

Amandla.
 
Haya yote ni nonesense, hujui unachokisema nitakusaidia baadaye nikirudi tena, later bro!

Yote niliyoyasema nimeyaona wakifanyiwa, ya katiba sijui inasema nini ila ninajua ilipitishwa in the middle ya 90s

Unayaita nonsense wakati hata sheria yenyewe hujaisoma (Mwaka 1999 si katikati ya 90s)? Au huelewi maana ya neno nonsense?

Niliyosema yanatosha.
 
Fundi,FMES,

..naona mmejikita zaidi kwa viongozi wastaafu.

..napenda kujua mishahara na marupurupu ya viongozi wakuu walioko madarakani.

NB:

..hivi mbona mshahara wa CEO wa Tanroads wananchi walikuwa wepesi kuutaja, lakini inapokuja kwa viongozi serikali kuu tunapatwa kigugumizi?
 
Mkapa alijuwa kuwa chini ya UBEPARI tulioanza kuukumbatia rasmi miaka ya tisini....Asipokula yeye mara baada ya mwalimu kufa basi wengine watafanya the same atakapoondoka madarakani.

Wenye "MENO" watakaofutia...
Akamwahi JK...Sasa JK na yeye naona atawahi chake na mtiririko utaendela kwani ni Mtoto wa Mwinyi then wa .....
Oh nimesahau kuna Sumayes na Lowassasss...Kaazi kweli kweli
 
Back
Top Bottom