Mishahara ya viongozi wa Tanzania

Kuna mtu anayejua mshahara wa raisi wa Tanzania ni kiasi gani?

Kuna mtu kaniambia ni $200,000 na kitu kwa mwaka...sikuamini lakini akanihakikishia kuwa taarifa zake ni za uhakika.

Bado ninasita kuamini ingawaje sina taarifa zozote na sijawahi kuona mahala popote pale kuhusu mshahara wa raisi.

Na mshahara wa makamu wa raisi..?
Waziri mkuu..?
Spika wa bunge..?
Mkuu wa majeshi ya ulinzi, polisi,magereza..?
Jaji mkuu..?

Kama kuna mtu anayejua...ni wapi tunaweza kupata taarifa hizi?
Rais hana mshahara. Yeye kama yeye ni pesa na ndiyo maana hata taswira za marais huwekwa kwenye pesa. Utamlipaje mtu kwa pesa yake mwenyewe? Anakua tuu anahudumiwa kila kitu atakacho kiwe au kifanyike. Ukiona rais anajilimbikizia mali, basi huyo ni tamaa tuu ya mali. Kwanza mtu akishakuwa rais kamwe hawezi lala njaa au kupata sonona ya pesa mara baada ya ku staafu kwani mifumo iliyopo tuu inatambua ahudumiwe vipi hadi anaingia kaburini
 
Kuna mtu anayejua mshahara wa raisi wa Tanzania ni kiasi gani?

Kuna mtu kaniambia ni $200,000 na kitu kwa mwaka...sikuamini lakini akanihakikishia kuwa taarifa zake ni za uhakika.

Bado ninasita kuamini ingawaje sina taarifa zozote na sijawahi kuona mahala popote pale kuhusu mshahara wa raisi.

Na mshahara wa makamu wa raisi..?
Waziri mkuu..?
Spika wa bunge..?
Mkuu wa majeshi ya ulinzi, polisi,magereza..?
Jaji mkuu..?

Kama kuna mtu anayejua...ni wapi tunaweza kupata taarifa hizi?

Na kodi wanazokatwa ni kiasi gani ?? Au hawakatwi kodi ??
 
Inabidi kwanza tuachane na utaratibu wa wabunge kujiidhinishia maslahi yao wenyewe; hii haiendani na mantiki yeyote ya kawaida, achalia mbali utawala bora!
Kitila Mkumbo njoo utueleze kama bado una msimamo huu au umeshabadilika? Na km umebadilika, ni kitu gani kimekubadilisha? Kuna haja ya kuwaamini wapinzani kama mnakuwa na lugha mbili tofauti kabla, na baada ya kuingia serikalini?

Mimi siku zote naamini Watz karibia wote tunafanana kwa kila kitu kuanzia ubinafsi, wizi, unafiki, uoga, uongo n.k Hivyo basi tukiwapa Chadema au chama kingine nchi hakuna jipya lolote! Zaidi huenda mambo yakawa mabaya zaidi
 
Kitila Mkumbo njoo utueleze kama bado una msimamo huu au umeshabadilika? Na km umebadilika, ni kitu gani kimekubadilisha? Kuna haja ya kuwaamini wapinzani kama mnakuwa na lugha mbili tofauti kabla, na baada ya kuingia serikalini?

Mimi siku zote naamini Watz karibia wote tunafanana kwa kila kitu kuanzia ubinafsi, wizi, unafiki, uoga, uongo n.k Hivyo basi tukiwapa Chadema au chama kingine nchi hakuna jipya lolote! Zaidi huenda mambo yakawa mabaya zaidi
:D :D :D :D utaratibu wa hapa Afrika ni kwamba unapokula hutakiwi kuongea ongea, ni tabia mbaya. Hutakaa umuone Mhe. Kitila hapa jukwaani akiitetea hio hoja yake kwa sababu ni mnufaika wa mfumo huo.
 
Back
Top Bottom