TOUCHBOY TERMINATOR
Member
- Aug 19, 2021
- 38
- 58
UNATAKA WASILIPWE? SIO KAZI RAHISI. HIYO NI MOJA YA KAZI YA KODI.Wakati pesa yako ya Kodi inaliwa ovyo , ni fala Tu atakuwa Na mawazo Kama yako
UNATAKA WASILIPWE? SIO KAZI RAHISI. HIYO NI MOJA YA KAZI YA KODI.Wakati pesa yako ya Kodi inaliwa ovyo , ni fala Tu atakuwa Na mawazo Kama yako
Rais hana mshahara. Yeye kama yeye ni pesa na ndiyo maana hata taswira za marais huwekwa kwenye pesa. Utamlipaje mtu kwa pesa yake mwenyewe? Anakua tuu anahudumiwa kila kitu atakacho kiwe au kifanyike. Ukiona rais anajilimbikizia mali, basi huyo ni tamaa tuu ya mali. Kwanza mtu akishakuwa rais kamwe hawezi lala njaa au kupata sonona ya pesa mara baada ya ku staafu kwani mifumo iliyopo tuu inatambua ahudumiwe vipi hadi anaingia kaburiniKuna mtu anayejua mshahara wa raisi wa Tanzania ni kiasi gani?
Kuna mtu kaniambia ni $200,000 na kitu kwa mwaka...sikuamini lakini akanihakikishia kuwa taarifa zake ni za uhakika.
Bado ninasita kuamini ingawaje sina taarifa zozote na sijawahi kuona mahala popote pale kuhusu mshahara wa raisi.
Na mshahara wa makamu wa raisi..?
Waziri mkuu..?
Spika wa bunge..?
Mkuu wa majeshi ya ulinzi, polisi,magereza..?
Jaji mkuu..?
Kama kuna mtu anayejua...ni wapi tunaweza kupata taarifa hizi?
Kuna mtu anayejua mshahara wa raisi wa Tanzania ni kiasi gani?
Kuna mtu kaniambia ni $200,000 na kitu kwa mwaka...sikuamini lakini akanihakikishia kuwa taarifa zake ni za uhakika.
Bado ninasita kuamini ingawaje sina taarifa zozote na sijawahi kuona mahala popote pale kuhusu mshahara wa raisi.
Na mshahara wa makamu wa raisi..?
Waziri mkuu..?
Spika wa bunge..?
Mkuu wa majeshi ya ulinzi, polisi,magereza..?
Jaji mkuu..?
Kama kuna mtu anayejua...ni wapi tunaweza kupata taarifa hizi?
Baadhi hawakatwi kodiNa kodi wanazokatwa ni kiasi gani ?? Au hawakatwi kodi ??
Wanaokatwa ni wapi?Baadhi hawakatwi kodi
Benki zipo ndiyo kazi yakeBond ni nini?
#YNWA
Vipi kitila mkumbo unaikumbuka hii comment.Inabidi kwanza tuachane na utaratibu wa wabunge kujiidhinishia maslahi yao wenyewe; hii haiendani na mantiki yeyote ya kawaida, achalia mbali utawala bora!
Naona mnafukua makaburi. Enzio Profesa hana mpango wowote wa kuwania ubunge.Vipi kitila mkumbo unaikumbuka hii comment.
Kitila Mkumbo njoo utueleze kama bado una msimamo huu au umeshabadilika? Na km umebadilika, ni kitu gani kimekubadilisha? Kuna haja ya kuwaamini wapinzani kama mnakuwa na lugha mbili tofauti kabla, na baada ya kuingia serikalini?Inabidi kwanza tuachane na utaratibu wa wabunge kujiidhinishia maslahi yao wenyewe; hii haiendani na mantiki yeyote ya kawaida, achalia mbali utawala bora!
utaratibu wa hapa Afrika ni kwamba unapokula hutakiwi kuongea ongea, ni tabia mbaya. Hutakaa umuone Mhe. Kitila hapa jukwaani akiitetea hio hoja yake kwa sababu ni mnufaika wa mfumo huo.Kitila Mkumbo njoo utueleze kama bado una msimamo huu au umeshabadilika? Na km umebadilika, ni kitu gani kimekubadilisha? Kuna haja ya kuwaamini wapinzani kama mnakuwa na lugha mbili tofauti kabla, na baada ya kuingia serikalini?
Mimi siku zote naamini Watz karibia wote tunafanana kwa kila kitu kuanzia ubinafsi, wizi, unafiki, uoga, uongo n.k Hivyo basi tukiwapa Chadema au chama kingine nchi hakuna jipya lolote! Zaidi huenda mambo yakawa mabaya zaidi
Fake newsBaadhi hawakatwi kodi