Mfumo wa nchi umekaa kunyenyekeana

de Gunner

JF-Expert Member
Nov 2, 2021
1,382
2,878
Trust me kama huna title lazma unyenyekee, bila hivyo watakupiga chini au kukufanyia vizabina mpk wakushushe...

Mm naexperience na hili swala, utathaminika sio kwamba unaujuzi au weledi. Utathaminika endapo utakidhi mahitaji na matakwa ya muajiri wako. Watu hawapendi changamoto, hawapendi maendeleo hasa ikiwa watagundua unakwenda kuwazidi.

Hii mindset yawezekana tumerithi mojakwamoja kutoka kwa mkoloni, na kutokana na kukosa maarifa. Ukiajiriwa ndo utajua na maanisha nini. Makazini kuna vitimbwili ambavyo waajiliwa huvijua ila inabidi wakaushie tu, wavizoee then nawao wakipandishwa wawafanyie walio chini yao.

Waafrika tunalaana kubwa sana. Unakuta jitu liko professional kabisa ila lina mindset za kujiona kama lilisoma lenyewe tu hio kada. Likichalenjiwa kidogo tu linaona kama huyo anaechalenji kalidharau. Mfumo wa uongozi makazini umekaa kunyenyekeana sana. Hii yote ni kutokana na siasa mbovu, utawala duni na ujinga ulio kithiri miongoni mwa waafrika.
 
Matokeo hayajawahi kuwa matarajio ya taasisi yoyote hapa nchini,bali una uwezo kiasi gani kuwafurahisha wakubwa wako.

Kuna taasisi moja niliona getini kwa kiongozi yanapishana magari yenye mbuzi na mikaa kutoka kwa watendaji wake wadogo ngazi ya mikoa na wilaya😁😁.

Boss asipoona hayo kesho utajikuta usikokujua.
 
Trust me kama huna title lazma unyenyekee, bila hivyo watakupiga chini au kukufanyia vizabina mpk wakushushe...

Mm naexperience na hili swala, utathaminika sio kwamba unaujuzi au weledi. Utathaminika endapo utakidhi mahitaji na matakwa ya muajiri wako. Watu hawapendi changamoto, hawapendi maendeleo hasa ikiwa watagundua unakwenda kuwazidi.

Hii mindset yawezekana tumerithi mojakwamoja kutoka kwa mkoloni, na kutokana na kukosa maarifa. Ukiajiriwa ndo utajua na maanisha nini. Makazini kuna vitimbwili ambavyo waajiliwa huvijua ila inabidi wakaushie tu, wavizoee then nawao wakipandishwa wawafanyie walio chini yao.

Waafrika tunalaana kubwa sana. Unakuta jitu liko professional kabisa ila lina mindset za kujiona kama lilisoma lenyewe tu hio kada. Likichalenjiwa kidogo tu linaona kama huyo anaechalenji kalidharau. Mfumo wa uongozi makazini umekaa kunyenyekeana sana. Hii yote ni kutokana na siasa mbovu, utawala duni na ujinga ulio kithiri miongoni mwa waafrika.
Hii ni kweli kabisa... NI Africa tu au ni ulimwenguni kote tu? kwamba ndiyo asili ya binadamu
 
Trust me kama huna title lazma unyenyekee, bila hivyo watakupiga chini au kukufanyia vizabina mpk wakushushe...

Mm naexperience na hili swala, utathaminika sio kwamba unaujuzi au weledi. Utathaminika endapo utakidhi mahitaji na matakwa ya muajiri wako. Watu hawapendi changamoto, hawapendi maendeleo hasa ikiwa watagundua unakwenda kuwazidi.

Hii mindset yawezekana tumerithi mojakwamoja kutoka kwa mkoloni, na kutokana na kukosa maarifa. Ukiajiriwa ndo utajua na maanisha nini. Makazini kuna vitimbwili ambavyo waajiliwa huvijua ila inabidi wakaushie tu, wavizoee then nawao wakipandishwa wawafanyie walio chini yao.

Waafrika tunalaana kubwa sana. Unakuta jitu liko professional kabisa ila lina mindset za kujiona kama lilisoma lenyewe tu hio kada. Likichalenjiwa kidogo tu linaona kama huyo anaechalenji kalidharau. Mfumo wa uongozi makazini umekaa kunyenyekeana sana. Hii yote ni kutokana na siasa mbovu, utawala duni na ujinga ulio kithiri miongoni mwa waafrika.
Kitu ulichoongea Ndio Uhalisia wenyewe kuhusiana na suala la mahusiano mahala pa Kazi kwenye hizi nchi za ki-Afrika. Hii ni kutokana na mifumo mibovu ya kiutawala na uongozi iliyopo kwenye hizi nchi zetu. Watu wengi sana wanapenda zaidi kunyenyekewa, kusifiwa, kutukuzwa na kuona kwamba watu wengine wote hasa walio chini yake basi Wanajikomba au kujipendekeza kwake. Kupendwa na boss kutatokana na juhudi za kujikomba kwa watu walio chini yake, wala siyo kutokana na suala la kuheshimiana mahala pa Kazi pamoja na utendaji Kazi uliopo bora kwa kuzingatia weledi, miongozo na taratibu za Kazi.

That's why, ukiwa na akili timamu sawa sawa kabisa, kuishi Afrika ni mateso makubwa sana tena ni mzigo mzito Sana katika maisha yako.
 
Kitu ulichoongea Ndio Uhalisia wenyewe kuhusiana na suala la mahusiano mahala pa Kazi kwenye hizi nchi za ki-Afrika. Hii ni kutokana na mifumo mibovu ya kiutawala na uongozi iliyopo kwenye hizi nchi zetu. Watu wengi sana wanapenda zaidi kunyenyekewa, kusifiwa, kutukuzwa na kuona kwamba watu wengine wote hasa walio chini yake basi Wanajikomba au kujipendekeza kwake. Kupendwa na boss kutatokana na juhudi za kujikomba kwa watu walio chini yake, wala siyo kutokana na suala la kuheshimiana mahala pa Kazi pamoja na utendaji Kazi uliopo bora kwa kuzingatia weledi, miongozo na taratibu za Kazi.

That's why, ukiwa na akili timamu sawa sawa kabisa, kuishi Afrika ni mateso makubwa sana tena ni mzigo mzito Sana katika maisha yako.
Hakika nyanja zote wame apply huu mfuomo. Hata ukiamua kujiajiri napo lazima ulambe miguu viongozi ili biashara zako zisonge.. so kweli usemavyo kuishi humu ni mateso.
 
Back
Top Bottom