balibabambonahi
JF-Expert Member
- Apr 5, 2015
- 14,591
- 12,735
Buju hakuwa dhulmati umemsingizia.Shule za Lesheya ziko IPTL Tegeta.Tena Andrew Father ilikuwa pale darajan Tegeta .Green Acres ya Buju ndo iko Salasala😅😅😅
Buju hakuwa dhulmati umemsingizia.Shule za Lesheya ziko IPTL Tegeta.Tena Andrew Father ilikuwa pale darajan Tegeta .Green Acres ya Buju ndo iko Salasala😅😅😅
Mzee alikua ni master kabisa...walienda walioenda na hakucheka na mtu! Ila mwishoni aliokoka kweli na trakea ikawa kanisa badala ya baa...woiso wa Wop ni kijana mdogo sana...sidhani hata kama 44 anafika...ila kwa umri wa woiso kulikua hamna namna ya namna ya kutafuta hela kipindi chao...hela ilikua haipatikani instagram ilibidi uichukue kwa watu!
.ndio, oisso nyingi zinakuwa za romboR.I.P mfanyabiashara.
Woiso atakuwa ni mchaga wa Rombo huyu.
Yeye alikuwa mtu matukio. Maisha aliyoishi Lesheya kuanzia mwaka 1980 hapa Mwenge kama mfanyabiashara, jambazi, muuaji, mwizi kisha kuwa muumini wa Full Gospel Fellowship ni kama Cinema.Nilijua ndio yule anayetengeneza na kuuza bidhaa za ngozi hapa nchini ama ni ubini
Marehemu hakuwahu kusoma na wajinga...pia aliacha husia wajinga wasikanyageR.i.P Classmate....😥
Ngoja nifanye niwahi msibani
sio yeyeMh sio uyu wa W.O.P?
Waiso products ni wa mkuu,huyu ni wa tarakeaMh sio uyu wa W.O.P?
Kwenye kutafuta hela alikuwa hacheki na kimaMzee alikua ni master kabisa...walienda walioenda na hakucheka na mtu! Ila mwishoni aliokoka kweli na trakea ikawa kanisa badala ya baa...woiso wa Wop ni kijana mdogo sana...sidhani hata kama 44 anafika...ila kwa umri wa woiso kulikua hamna namna ya namna ya kutafuta hela kipindi chao...hela ilikua haipatikani instagram ilibidi uichukue kwa watu!
nilipataga dili la ku supply materials shulen kwake kuna mwananangu akaniambia huyo dingii ni mgaigai balaa alishawah kumfanyia kazi akawa kila akienda kufuatilia malipo yake anamkuta hayat kaweka bastora mezan anasafishasafisha virisasi inabid muhuni azuge alipita kusalimia baada kupata hii clue nikapita zangu hiviNampata sana kuna wakati nilikuwa na ukaribu naye sana lakini kwa jinsi alivyokuwa anawaliza watu nikaamua kuwa naye mbali
Watu wa kaskazini ndo wameshika uchumi pembezoni mwa daslam na mjini kati manzese na mabibo.R.I.P mfanyabiashara.
Woiso atakuwa ni mchaga wa Rombo huyu.
Siyo huyo wa bidhaa za ngozi,huyu marehemu mishe zake tangu ujana ni wizi na ujambazi akiwa na Mchungaji Munishi enzi hizo. Marehemu ana visa vingi sana na ni mtu katili sana. Ngoja aende wanakostahili watu dizaini yake.Wa Salasala bidhaa za ngozi na shule ya Cornelius, Tarakea pale Mwenge kwenye soko la mbao ni huyo huyo Lesheya Woiso.
Kwahiyo kwa maneno mafupi hapa unataka kusema kuwa Maombi ya Waliodhulumiwa nae kwa Mungu haraka sana Israeli Kayatekeleza Kivitendo zaidi au?Alikuwa dhulmati sana huyu.
Ila ameacha assets worth billions of money. Amewahi kuchoma mtu ndani ya nyumba ili amiliki mali, hiyo ni mapema mwanzoni mwa 1980sIla ukiangalia watu wanavyopata pesa sahv na ukivuta picha miaka 80s mtu hana shamba wala kazi rasmi sasa sijui mtu kama huyu namma nyingine ya kupata pesa itakuwa ni ipi 😀
Ndiyo maana yake. Kwanza alinza kuchanganyikiwa akili ndiyo sasa Israili kaja kufanya finishing.Kwahiyo kwa maneno mafupi hapa unataka kusema kuwa Maombi ya Waliodhulumiwa nae kwa Mungu Israeli Kayatekeleza Kivitendo zaidi au?